moyo wa bilionea
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 327
- 649
Fr. Kitima namkubali sana. Hakika TEC kumpa hiyo nafasi waliona kitu. Nilianza kumjua kuwa ni mtu makini tangu akiwa VC wa St. Augustine University, wakati huo alikuwa anahojiwa mara kwa mara siku za jumamosi na Phillip Mwihava clouds fm.