Kombora la Urusi latua sehemu ya maduka makubwa Ukraine

Kombora la Urusi latua sehemu ya maduka makubwa Ukraine

Mkuu,ukiona Viongozi wa magharobi wanashirikiana ku-condemn tukio moja,basi wenye akili wanajuwa kwamba tukio hilo limekuwa staged na jeshi la Zelensky kutafuta sababu ya kulaani Putin - mbona majeshi ya ki-neo NAZI (Azov) yameanza kuvurimisha makombora waliyo pewa juzi juzi na utawala wa USA,makombora hayo yamelenga kwenye mkusanyiko wa watu wengi,mfano: Supermarkets,Mashule,Hospitali nk - Raia wengi kwenye majimbo ya kusini mwa Ukraine walio kombolewa nRra jeshi la Urusi na washirika wao wamepoteza maisha,cha ajabu sija wahi kusikia Viongozi wa magharibi wakilaani jeshi la Zelensky kuwaua Rais wasio na hatia

Kumbukeni mauuaji ya mji wa BUCHA alisingiziwa Putin,kalaaniwa na Biden pamoja na Viongozi wa Ulaya,baadae waandishi wa habari wa magharibi walikuja kubaini kwamba jeshi la Ukraine ndilo lilihusika kwa lengo la kutaka NATO iwe involved kwenye vita ili kusaidia jeshi la Ukraine linalo lemewa na VITA - na bado, nina uhakika jeshi la Zelensky litakuja ku-stage matukio mengi ya kupanga including Chemical attack kwa raia wake baada ya kupewa ushauri na USA, halafu wamulahumu Putin kwamba ndie anahusika, lengo ni kutafuta kisingizio cha kutaka NATO ingilie kati.

Binafsi namchunkulia Zelensky ni mtu mwenye EGO ya kijinga na hatari sana kwa amani Duniani, ujinga wake wa kag'ang'ania kupigana vita wakati anajuwa wazi kwamba hawezi kushinda vita bali anaweza kusababisha WW3 Dunia yote ikaangamizwa kwa mabom/makombora ya thermonuclear hilo tu linadhilisha Zelensky alivyo na akili za ajabu sana.
he mkuu leo uliamkia kilevi gani, unapiga uongo na proPutin wanakupa likes za nguvu
 
Inavyosemekana wapiganaji wa kigeni kutoka marekani na nchi nyengine wanauliwa na Nazist sasaivi kisha wanawachoma, mpaka sasa haijulikani sababu gani, huenda wameweka mkakati kuwa yyte anaekataa kupigana na kuonyesha kurudi kwao wanamuuwa

A crematorium was found in Azvostal where Azovites burned bodies of American and foreign mercenaries. Amongst the ashes, American sniper rifles were found. Fragments of American passports and other documents were also found. It is not understood why they burned them.
 
Inavyosemekana wapiganaji wa kigeni kutoka marekani na nchi nyengine wanauliwa na Nazist sasaivi kisha wanawachoma, mpaka sasa haijulikani sababu gani, huenda wameweka mkakati kuwa yyte anaekataa kupigana na kuonyesha kurudi kwao wanamuuwa

A crematorium was found in Azvostal where Azovites burned bodies of American and foreign mercenaries. Amongst the ashes, American sniper rifles were found. Fragments of American passports and other documents were also found. It is not understood why they burned them.
Wanataka kupoteza ushahidi, lakini vile wanaweza kuwa wana wanawafanyi vitendo hivyo kwa kuhofia kwamba pindi askali hao wakukodi watiwa mbaroni na jeshi la Urusi likiwabinya tu watatoa siri - hivyo ni heri wakauwawa mapema kabla hawajakamatwa na wanajeshi wa Urusi.
 
wapalestina kila siku wana kong'otwa kama hivi na wa Israel lakini hakuna yeyote anaye paza sauti yake kwa kisingizio kuwa Israel ni taifa la Mungu hivyo lina ruhusa ya kuuwa 'kunguru ( mwaarabu) ' yeyote yule ulimwenguni, ebu waacheni na wazungu nao wachapane kidogo
 
Inavyosemekana wapiganaji wa kigeni kutoka marekani na nchi nyengine wanauliwa na Nazist sasaivi kisha wanawachoma, mpaka sasa haijulikani sababu gani, huenda wameweka mkakati kuwa yyte anaekataa kupigana na kuonyesha kurudi kwao wanamuuwa

A crematorium was found in Azvostal where Azovites burned bodies of American and foreign mercenaries. Amongst the ashes, American sniper rifles were found. Fragments of American passports and other documents were also found. It is not understood why they burned them.
hii ni propaganga moja ya hataree sana kutoka Russia na itawafanya wapiganaji wamluki woote kutokuiamini na kuikimbia Ukraine
 
Sisi tunachojua Russia kaishiwa Silaha,na nyie wenyewe mlituhabarisha.
Hapo kuna watu nchi nyingine ndio inafanya hivyo Russia wanampakazia tu
Lazima kuna nchi nyingine wamekosana nayo kwanza russia alikimbia kiev pili makombora yaliisha muda mrefu pia hatavkama yangekuwepo russia anatatizo la njaa kwa sasa na sizan kama ana hamu ya kupiga kwa njaa kali aliyonayo
HAPO NI KUMSINGIZIA RUSSIA AMBAYE HAYUPO VITANI

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,ukiona Viongozi wa magharobi wanashirikiana ku-condemn tukio moja,basi wenye akili wanajuwa kwamba tukio hilo limekuwa staged na jeshi la Zelensky kutafuta sababu ya kulaani Putin - mbona majeshi ya ki-neo NAZI (Azov) yameanza kuvurimisha makombora waliyo pewa juzi juzi na utawala wa USA,makombora hayo yamelenga kwenye mkusanyiko wa watu wengi,mfano: Supermarkets,Mashule,Hospitali nk - Raia wengi kwenye majimbo ya kusini mwa Ukraine walio kombolewa nRra jeshi la Urusi na washirika wao wamepoteza maisha,cha ajabu sija wahi kusikia Viongozi wa magharibi wakilaani jeshi la Zelensky kuwaua Rais wasio na hatia

Kumbukeni mauuaji ya mji wa BUCHA alisingiziwa Putin,kalaaniwa na Biden pamoja na Viongozi wa Ulaya,baadae waandishi wa habari wa magharibi walikuja kubaini kwamba jeshi la Ukraine ndilo lilihusika kwa lengo la kutaka NATO iwe involved kwenye vita ili kusaidia jeshi la Ukraine linalo lemewa na VITA - na bado, nina uhakika jeshi la Zelensky litakuja ku-stage matukio mengi ya kupanga including Chemical attack kwa raia wake baada ya kupewa ushauri na USA, halafu wamulahumu Putin kwamba ndie anahusika, lengo ni kutafuta kisingizio cha kutaka NATO ingilie kati.

Binafsi namchunkulia Zelensky ni mtu mwenye EGO ya kijinga na hatari sana kwa amani Duniani, ujinga wake wa kag'ang'ania kupigana vita wakati anajuwa wazi kwamba hawezi kushinda vita bali anaweza kusababisha WW3 Dunia yote ikaangamizwa kwa mabom/makombora ya thermonuclear hilo tu linadhilisha Zelensky alivyo na akili za ajabu sana.
Kaka tafadhali amka katika ndoto zako. BUCHA yalitokea mauaji ya hovyo yaliyotekelezwa na askari wa Kirusi. Ukiandika "waandishi wa habari wa magharibi walikuja kubaini kwamba jeshi la Ukraine ndilo lilihusika" lete ushuhuda hata mmoja!!! HUna!
Kinyume wanahabari waliokwenda Bucha walisikia ushuhuda wa raia wa Bucha waliosimulia jinsi gani ndugu, majirani, watoto wao walivyouawa hovyo na askari Warusi.

Bomu lile kwenye duka halikuwa mauaji kwa makusudi, ni mfano to jinsi gani Urusi inatumia silaha nyingi za hovyo kwa sababu haina akiba ya kutosha ya mabomu janja (intelligent weapons - hizo ambazo tunaonyeshwa mara kwa mara na washabiki wa Putin humo).
 
Hamna RAIA hata mmoja humo TAIFA kama RUSSIA haliwezi kuua RAIA

Ila RUSSIA kama TAIFA TEULE linanipa sana burudani maana linapiga kwenye mshono pale pale unapofuka moshi
Waache kuficha silaha kwenye sehemu za RAIA maana TAIFA TEULE LA RUSSIA halitasita kupeleka moto huko huko hatakama itakua nisehem zanyumba za ibada

Ila RUSSIA ananikosha zaidi anavyowatwanga hawa jamaa huku vikao vya VIKOBA vya g7 vikiwa vinaendelea kupiga UMBEA

GO RUSSIA GOOO

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri bado kusikia Urusi iliteuliwa na nani??? Labda na Bwana wa Majeshi Madhaifu? Maana ina matatizo kidogo kupata maendeleo??
 
Iliteuliwa nawapenda haki na amani ulimwenguni kote

Sent using Jamii Forums mobile app
Una ushahidi wowote? Kura ya wapenda haki na amani kuita Urusi "Taifa Teule? Ndoto yako tu.
Kwa nini wateue nchi ambaye ni mkoloni mkubwa duniani (ardhi yote kutoka baada ya Moscow hadi Wladiwostok ni makoloni yake...)?
Nchi iliyoenda kuua watu wa Afghanistan, Georgia, Chechnya, Syria, Ukraine? (kwa ubaya na uwongo sawa jinsi Marekani iliua watu Iraki, Afghanistan, Vietnam) . . .
Nchi inayojaribu sasa kurudisha ukoloni wake juu ya Ukraine ? Na kufanya makelele ya kurudisha ukoloni Lithuania?
 
Back
Top Bottom