Kombora la Urusi latua sehemu ya maduka makubwa Ukraine

Kombora la Urusi latua sehemu ya maduka makubwa Ukraine

Ukitaka kujua unafiki wa wester media anzia hapa uzuri watu wengi siku hizi wameamka usingizini wanajua propaganda zaoView attachment 2276166
Lete ushahidi kwa nukuu hizi, taja vyanzo. Hatuko hapo shule ya vidudu ambako kila moja anasema anachotaka wengine huamini tu. Iliandikwa wapi, tarehe gani? Kama huwezi kuonyesha, heri unyamaze maana kama huna chanzo unasambaza propaganda baya tu.
 
i have my reservations about bbc
Reservations safi sana! Wewe unachukua habari zako wapi? Je ni kituokinachoeleza imepata habari zake wapi? Inayojisahihisha wakati mwingine na kusema wazi: Tumekosa? -- Najua kasoro za BBC, ila katika usafi wa taarifa nimeona wako mbele mara nyingi (si wakati wote!).
 
Lete ushahidi kwa nukuu hizi, taja vyanzo. Hatuko hapo shule ya vidudu ambako kila moja anasema anachotaka wengine huamini tu. Iliandikwa wapi, tarehe gani? Kama huwezi kuonyesha, heri unyamaze maana kama huna chanzo unasambaza propaganda baya tu.

Tatizo mapenzi yenu juu ya Ukraine yanafanya mnaanza kupotoka haya baadhi ya ushahidi wa hizo topic huo hapo nyingine unaweza kusearch chukua heading kama ilivyo ingiza google utapelekwa moja kwa moja kwenye site husika

Zimeandikwa lini na nani wameandika na kila kitu angalia hapo utaona au unataka ushahidi gani mwingine?

Hakuna propaganda inasambazwa basi pingana na The Guardian hapo kwamba wanasambaza propaganda
20220629_191705.jpg
20220629_191846.jpg
20220629_192013.jpg
 
Reservations safi sana! Wewe unachukua habari zako wapi? Je ni kituokinachoeleza imepata habari zake wapi? Inayojisahihisha wakati mwingine na kusema wazi: Tumekosa? -- Najua kasoro za BBC, ila katika usafi wa taarifa nimeona wako mbele mara nyingi (si wakati wote!).
mkuu i love to be kosolewad ,and by that i learn more and also learn how to learn and re-learn. yes uko right my sources could be right ama wrong .i normaly follow a telegram channel intel slava z Intel Slava Z
 
Tatizo mapenzi yenu juu ya Ukraine yanafanya mnaanza kupotoka haya baadhi ya ushahidi wa hizo topic huo hapo nyingine unaweza kusearch chukua heading kama ilivyo ingiza google utapelekwa moja kwa moja kwenye site husika

Zimeandikwa lini na nani wameandika na kila kitu angalia hapo utaona au unataka ushahidi gani mwingine?

Hakuna propaganda inasambazwa basi pingana na The Guardian hapo kwamba wanasambaza propagandaView attachment 2276631View attachment 2276634View attachment 2276635
Asante sana, nashukuru. Ila: Kwa nini hujataja vyanzo tangu mwanzo? Sasa tumeona 3 kati ya sentensi 8 tulizopewa kama nukuu. Basi hata kama umeleta nukuu zote (mimi naona ni kosa kuleta sentensi kama nukuu bila kuonyesha chanzo, kama ni pro- au contra ya kitu chochote) sahihi, mpangilio wako unadai eti kabla ya uvamizi wa Putin media za magharibi waliona kasoro tu huko Ukraine na baada ya uvamizi wanasifu tu. Hii si kweli .

Media zinazofaa kuheshimiwa zinatoa taarifa kila upande: sifa na kasoro, uzuri na ubaya.
Hata baada ya Putin kuanzsha vita yake, nimeona taarifa zilizoeleza matatizo ya ufisadi nchini Ukraine; commentaries zilizoeleza jinsi gani kiasi cha ufisadi inaweza kuwa kizuizi cha kupokea nchi katika Umoja wa Ulaya na kadhalika.

Jinsi unavyoleta vichwa vya habari unapiga propaganda. Mfano makala ya Josh Cohen kupitia Reuters - je umeisoma???
Ndani yake kuna ukosoaji mwingi kwa makundi wa kulia - pamoja na sentensi
"To be clear, the Kremlin’s claims that Ukraine is a hornets’ nest of fascists are false: far-right parties performed poorly in Ukraine’s last parliamentary elections, and Ukrainians reacted with alarm to the National Militia’s demonstration in Kiev."
Jinsi unavyoleta mambo hapa unaonekana kushikamana na hao wanaosambaa uwongo eti Ukraine inatawaliwa na WaNAzi, au zaidi (jinsi wanavyosema watu kadhaa nchini Urusi): Ukraine wote wana roho ya Unazi wanahitaji "kukombolewa" kama wanataka au la.
Ambayo yote ni uwongo mtupu bila msingi.
Nakubali kabisa kuhesabu na kujadili Wanazi wa Ukraine, lakini pamoja na Wanazi wa Urusi na changamoto ya kichaa katika nchi za Ulaya MAshariki ambako kote kuna makundi madogo ya Wanazi wanaotembea na ishara za watu hao waliojaribu kuangamiza mababu yao.
 
Back
Top Bottom