Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Tukio hili lilifanyika huko kisongo kwa nabii mkuu msemaji wa serikali ya mbinguni Dr GeorDavie.
Sina shaka Konde boy kabeba baraka hizo, Wasafi itabidi wajipange ili kutengua baraka za nabii mkuu, ila ni ngumu sana kupindua pasipo kuwasiliana na nabii mkuu.
Sina shaka Konde boy kabeba baraka hizo, Wasafi itabidi wajipange ili kutengua baraka za nabii mkuu, ila ni ngumu sana kupindua pasipo kuwasiliana na nabii mkuu.