Konde Boy atamkiwa baraka na Nabii Mkuu kupitia wimbo wake wa "Mwaka Wangu"

Konde Boy atamkiwa baraka na Nabii Mkuu kupitia wimbo wake wa "Mwaka Wangu"

Bado yupo fit mbona!
Hujasikia hivi majuzi kampa ndinga mpya komandoo Mashimo?

Hao kina Mwamposa na bro Suguye wao ni kupaka mafuta tu na kugawa keki za upako, ila huyu mwamba huwa anagawa vitu vyenye thamani ya mamilioni ya pesa kwa wahitaji, so hana mkono wa birika kama hao uliowataja.
Hao mpunga wao bado mdogo, huyu mwamba size yake ni akina Mwingila, Gwajima, Mzee wa upako ,Kakobe, Mwakasege ndo wanatunishiana misuli kifedha. Hivyo lazima atoe sadaka nono kwa wahitaji. Hiyo ya Mashimo ilinipita ila ya Gozbert na prophet Bashando niliipata.
 
Hao mpunga wao bado mdogo, huyu mwamba size yake ni akina Mwingila, Gwajima, Mzee wa upako ,Kakobe, Mwakasege ndo wanatunishiana misuli kifedha. Hivyo lazima atoe sadaka nono kwa wahitaji. Hiyo ya Mashimo ilinipita ila ya Gozbert na prophet Bashando niliipata.
Mashimo yupo na ndinga mpya kapewa na huyu mwamba
Imekaa ki bongo flavor sana
Hivi hujui kuwa huyu nabii ni mwanamziki mahiri pia?
 
Back
Top Bottom