highland
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 295
- 853
hapo hata ningekua mm ningecheka😀Huyu nambii mkuu alimwambia millard ayo kuwa alimuona Yesu...
Kidogo Millard Ayo acheke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo hata ningekua mm ningecheka😀Huyu nambii mkuu alimwambia millard ayo kuwa alimuona Yesu...
Kidogo Millard Ayo acheke
Mbingu zipo nyingi bro, kuna mbingu a kwanza mpaka ya saba.Duh! Nabii mkuu wa serikali ya mbinguni? Hiki ni cheo kikubwa kuliko cha yule aliyetundikwa msalabani.
Mbingu zipo nyingi bro, kuna mbingu a kwanza mpaka ya saba.
Hatujui ni mbingu gani anayoesemea.
Kwa nini ungecheka?hapo hata ningekua mm ningecheka😀
Kina nyoshi hawamfikii uyu jamaa.....Amevuka viwango vya zumaridi. Anashindana na wakongoman
Si ndiyo itakuwa waumini wake wanamuona ivo coz alisema ashakutana na Yesu akampa funguo nyingiiiii eti akafungue watu😅😅😅😅😅😅nabii msemaji mkuu wa serikali ya mbinguni
Tupo karne mpya mpendwa, ya kale yote yamepita sasa ni mapya tu.MIMI MKRISTO KWA IMANI YANGU.
HAWA WANAOJIITA MITUME, NABII, KUHANI, NABII MKUU, SIJUI NANI NA NANI.
YESU NA WANAFUNZI WAKE HAWAKUWAHI KUJIKWEZA NA KUJIPA UKUU AU UTAKATIFU, HATA PALE WALIPO PITIA MATESO.
LUKA 23:3 Pilato akamwuliza, akisema, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajibu akamwambia, Wewe wasema.
NABII, MTUME HATAKI ULINZI WA YESU KRISTO ANATAKA WA MABODIGADI!
Wanawake wa siku hizi wanajilengesha wenyewe, kugongwa kunawahusu wakijilengeshaNi huyu huyu aliyezaa na mke wa mchungaji wake msaidizi!?
Mbinguni alikopaa YesuMbingu zipo nyingi bro, kuna mbingu a kwanza mpaka ya saba.
Hatujui ni mbingu gani anayoesemea.
PeponiMbingu ni nini?
Anaitwa nani?Nabii wa kanisani kwetu kwenye ibada wiki iliyopita[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2298512
Ni watoto haoKina nyoshi hawamfikii uyu jamaa.....
Watu wabishi wamekuwepo tangu enzi na enzi, nabii anapiga kazi huku wabishi wanabishana.Si ndiyo itakuwa waumini wake wanamuona ivo coz alisema ashakutana na Yesu akampa funguo nyingiiiii eti akafungue watu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Peponi
Wewe wasemaKwahiyo Mbinguni ni sehemu ya kufikirika?
Wewe wasema