Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Amevuka viwango vya zumaridi. Anashindana na wakongomanHakuna cha nabii mkuu, hapo ni tapeli mkuu.
Ulishaona wapi mwanaume anayeshindana na mwanamke kutandika mkorogo ili aonekane mweupe?
Kwenye suala la kujichubua, huenda Geor Davie anashindana na mfalme Zumaridi.
Hao mpunga wao bado mdogo, huyu mwamba size yake ni akina Mwingila, Gwajima, Mzee wa upako ,Kakobe, Mwakasege ndo wanatunishiana misuli kifedha. Hivyo lazima atoe sadaka nono kwa wahitaji. Hiyo ya Mashimo ilinipita ila ya Gozbert na prophet Bashando niliipata.Bado yupo fit mbona!
Hujasikia hivi majuzi kampa ndinga mpya komandoo Mashimo?
Hao kina Mwamposa na bro Suguye wao ni kupaka mafuta tu na kugawa keki za upako, ila huyu mwamba huwa anagawa vitu vyenye thamani ya mamilioni ya pesa kwa wahitaji, so hana mkono wa birika kama hao uliowataja.
Umepata shida kwa konde boy kubarikiwa?Nabi au nabii? Mikorogo
😂 😂 😂Duh! Nabii mkuu wa serikali ya mbinguni? Hiki ni cheo kikubwa kuliko cha yule aliyetundikwa msalabani.
😂😂😂Bwashee usimseme vibaya mtumishi, anao uwezo wa kukulaani ujue.
😂 😂 😂Amevuka viwango vya zumaridi. Anashindana na wakongoman
Acha wivu bwasheehii nchi inavituko sana[emoji28][emoji28][emoji28] eti msemaji wa mbinguni dahhh bado kuna mazombi yanamuamini
Muache nabii mkuu apige kazi, huu ni mwaka wakeHii nchi ina ujinga mwingi sana, mwezake kiongozi wa malaika yuko wapi? Msiuchezee ufalme wa mbingu
Imekaa ki bongo flavor sanaMuache nabii mkuu apige kazi, huu ni mwaka wake
Hii nchi ina watu wenye majungu sana, sasa mmeanza kumsengenya msemaji wa serikali ya mbinguni, mwatafuta laana nyie.Amevuka viwango vya zumaridi. Anashindana na wakongoman
Mashimo yupo na ndinga mpya kapewa na huyu mwambaHao mpunga wao bado mdogo, huyu mwamba size yake ni akina Mwingila, Gwajima, Mzee wa upako ,Kakobe, Mwakasege ndo wanatunishiana misuli kifedha. Hivyo lazima atoe sadaka nono kwa wahitaji. Hiyo ya Mashimo ilinipita ila ya Gozbert na prophet Bashando niliipata.
Hivi hujui kuwa huyu nabii ni mwanamziki mahiri pia?Imekaa ki bongo flavor sana
Najua kwenye burudani yuko poaHivi hujui kuwa huyu nabii ni mwanamziki mahiri pia?
Amechangamka sanaNajua kwenye burudani yuko poa
Tena mkuuKumbe Kuna nabii
[emoji23]hatari sana[emoji2962]
Kipo bwashee, ukuje tu usome kisha uwe nabii uanzishe huduma yako, yaani hutalala njaaHivi kile chuo chake cha kusomea unabii hapo moshi bado kipo nikasomee kidogo unabii
Ayo ndiyo nani?Huyu nambii mkuu alimwambia millard ayo kuwa alimuona Yesu...
Kidogo Millard Ayo acheke