Konde Boy atamkiwa baraka na Nabii Mkuu kupitia wimbo wake wa "Mwaka Wangu"

Hao mpunga wao bado mdogo, huyu mwamba size yake ni akina Mwingila, Gwajima, Mzee wa upako ,Kakobe, Mwakasege ndo wanatunishiana misuli kifedha. Hivyo lazima atoe sadaka nono kwa wahitaji. Hiyo ya Mashimo ilinipita ila ya Gozbert na prophet Bashando niliipata.
 
Mashimo yupo na ndinga mpya kapewa na huyu mwamba
Imekaa ki bongo flavor sana
Hivi hujui kuwa huyu nabii ni mwanamziki mahiri pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…