Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
-
- #61
Kwa mujibu wa Biblia Yesu alipopaa alikwenda juu mbinguni (hapa humaanisha mbinguni ni juu na sio chini), hata Eliya alipoondoka duniani alipaa na kwenda juu akiwa na gari la kukokotwa na farasi.Sasa nimeuliza Mbinguni ni wapi, umesema Peponi. Labda uniambie ni kwenye Sayari nyingine, lakini hii tunayoshi Peponi haipo kwenye ramani, ndio maana nawaza kwa sauti, Je Peponi sehemu ya kufikirika? Unaweza kuniweka sawa na wengine wakapata faida vilevile.
kweli kabisa, ndio maana Nabii mkuu anajichubuaTupo karne mpya mpendwa, ya kale yote yamepita sasa ni mapya tu.
Akiwa na makunyanzi wstamsimanga pia, akiwa na ukurutu na mapunye watasema karogwa ama hana hela, sasa ana make up kisasa halafu mnamsimanga!kweli kabisa, ndio maana Nabii mkuu anajichubua
Watakipata wanachokitafuta kubishana na mshikaji wa YesuWatu wabishi wamekuwepo tangu enzi na enzi, nabii anapiga kazi huku wabishi wanabishana.
Hawana lolote, mshikaji wa Yesu anapiga kazi wa hamna wa kumzuiaWatakipata wanachokitafuta kubishana na mshikaji wa Yesu