Kondoa: Afisa Manunuzi amlalamikia Mkurugenzi kwa kutukana watumishi, asema ubabe wake umezidi

Hata Mimi sielewe kwa Idara ya TISS na Takukuru mpaka leo wameacha wajibu wao kwa viongozi kama Mkurugenzi huyo ambaye taarifa ziko wazi hata mitaani ?!
 
Bei ya petrol laziama ipande kwa hii vita inayoendelea ya urusi vs ukraine
 
Mimi boss anitukane kazini mbona kesho yake magazeti yote nchini yataandika habari zangu.
 
DED ni kada wa CCM hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…