Kongamano la Ladies In Red

Kongamano la Ladies In Red

ndiyo ile wanaita mvumilivu hula mbovu, right?

dah,
vijanaa wana roho ngumu sana, maana wanavumilia mambo mzito mno,

acheni wale bata tu maana wanayopitia si mchezo dah 🐒
Kuna mabarobaro wanakunywa vimininiko kutoka kwenye Urethra kisa tu ameona kuna funguo ya Range Rover pamoja na kitita cha laki 5 ya chai! Kijana anajikaza AKA kujizima data 😃
 
Mwanne Othman ndo hajapata kwenda huko!
1733511568377.jpg

Yupo busy anahudumia ndoa yake Mashallah .
 
Kama mchumba, au mke wako amekwenda kwenye kongamano la Ladies In Red wao wanasema na kudai ni Kongamano mahususi la Mahusiano linalofanyika Mbezi Garden Hotel.
View attachment 3170670

Mwanaume mwenzangu anza kupiga hesabu zako mapema na tafakuri kubwa ya mahusiano yako. Moja ya wazungumzaji wakuu ni Bhoke kutoka kipindi cha Dadaz cha EATV.
Upuuzi wa sie wanaume wa tz. Kwa talibans huwezi sikia huu ujinga
 
Back
Top Bottom