Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mm simpendagiYule dada hafai nadhani kuna sapot kubwa sana nyuma yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm simpendagiYule dada hafai nadhani kuna sapot kubwa sana nyuma yake
Kuna mabarobaro wanakunywa vimininiko kutoka kwenye Urethra kisa tu ameona kuna funguo ya Range Rover pamoja na kitita cha laki 5 ya chai! Kijana anajikaza AKA kujizima data 😃ndiyo ile wanaita mvumilivu hula mbovu, right?
dah,
vijanaa wana roho ngumu sana, maana wanavumilia mambo mzito mno,
acheni wale bata tu maana wanayopitia si mchezo dah 🐒
Kaenda kufanya nini?Kwa mbaliiii 😃
Ahaha hana kazi za kufanya au anasubir picha ya pamojaItakuwa sehemu ya Ujumbe 😃
Kubeba mikobaKijan wa ovyo 😃 labda kawasindikiza dada zake 😃
Umasikini mbayaNa kutumwa tissues dada zake wakitaka kwenda toilet 😃
Mh sio kwamba yupo na kiben tenMwanne Othman ndo hajapata kwenda huko!
View attachment 3170822
Yupo busy anahudumia ndoa yake Mashallah .
Upuuzi wa sie wanaume wa tz. Kwa talibans huwezi sikia huu ujingaKama mchumba, au mke wako amekwenda kwenye kongamano la Ladies In Red wao wanasema na kudai ni Kongamano mahususi la Mahusiano linalofanyika Mbezi Garden Hotel.
View attachment 3170670
Mwanaume mwenzangu anza kupiga hesabu zako mapema na tafakuri kubwa ya mahusiano yako. Moja ya wazungumzaji wakuu ni Bhoke kutoka kipindi cha Dadaz cha EATV.
Mkutano wa Beijing pamoja na TALWA hawawezi kukubali hili jambo, kwanini malinza mwanaume zisiende kwa mwanamke mmoja, akiwa na wake wengi itafanya mgawanyo kuwa sio mzuri wa usawaWakajadili na hili
View attachment 3170838