Kongamano la Ladies In Red

Kongamano la Ladies In Red

muelezane huko kwenye Ladies in Red na itapendeza zaid kuliko kusubiri March 8, maana itakua ni mbali sana,

elezaneni ukweli tafadhali, sawa mama?

Usiwafiche wala usiogope 🐒
Hiyo mishangazi ni misafi ndiomana vijana wanaipenda 😹

Hao wa kunuka midomo wafikishie mwenyewe ujumbe…!!
 
Mwanaume mwenzangu anza kupiga hesabu zako mapema na tafakuri kubwa ya mahusiano yako. Moja ya wazungumzaji wakuu ni Bhoke kutoka kipindi cha Dadaz cha EATV.
Media siku hizi zimekuwa za hovyo, hao sijui ndo presenters ni hovyo hovyo, imagine eti Kina Diva, huyo Bhoke na wapuuzi wengine wana vipindi vyao, na mtu mwenye akili timamu unakaa unasikiliza hao matahira?
 
Hao mademu zake wanaonuka sema kazunguka sana gentleman 😹
nashauri pisi kali zote wakaguliwe getini ikiwa wameswaki ama laa!

kwasasababu ni kero na usumbufu kwa wengine ndrugu zango.

halafu wanakuaga wanaongea hadi mate yanaruka?

Na ukimpa mike, itakulazimu kutumia spirit na tangawizi kupunguza harufu kali 🐒
 
Media siku hizi zimekuwa za hovyo, hao sijui ndo presenters ni hovyo hovyo, imagine eti Kina Diva, huyo Bhoke na wapuuzi wengine wana vipindi vyao, na mtu mwenye akili timamu unakaa unasikiliza hao matahira?
Mkuu yaani nimesoma hii hoja utadhani nakusikiliza 😃 umeongea kwa uchungu sana 😃
 
Back
Top Bottom