Kongamano la Ladies In Red

ndiyo ile wanaita mvumilivu hula mbovu, right?

dah,
vijanaa wana roho ngumu sana, maana wanavumilia mambo mzito mno,

acheni wale bata tu maana wanayopitia si mchezo dah 🐒
Kuna mabarobaro wanakunywa vimininiko kutoka kwenye Urethra kisa tu ameona kuna funguo ya Range Rover pamoja na kitita cha laki 5 ya chai! Kijana anajikaza AKA kujizima data 😃
 
Upuuzi wa sie wanaume wa tz. Kwa talibans huwezi sikia huu ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…