Kongamano la Ukombozi la kudai Katiba mpya Tanzania

Kongamano la Ukombozi la kudai Katiba mpya Tanzania

Tusikatishane tamaa. Suala la katiba mpya ni la kila mpenda haki nchi hii. Muda wa kudai katiba mpya ni sasa. Siyo kusubiri mpaka 2025.
Mtu mwenye akili timamu huwezi tena kumuamini Lipumba, ni takataka tu inayotafuta njia ya kuendelea kupiga pesa, Cuf haina tena ruzuku, huu ni ubunivu wa kutafuta pesa kwenye ile account yao ya NMB.

Ni wajinga wenzake tu ndio watakaokubali kutumika na Lipumba kwa maslahi yake binafsi.

Yani sasa hivi ndio nimeelewa kumbe ni bora ile rasimu ya Warioba licha ya kina Samwel Sitta na wajinga wenzake kuinajisi lakini ingepitishwa hivyohivyo leo hii tungekuwa tayari tuna tume huru ya uchaguzi zingesalia hoja chache tungeshinikiza zifanyiwe kazi kama serikali tatu.

Wakenya wenzetu wamepitisha kwanza katiba yao mpya na sasa wanadai BBM.
 
Kungekuwa na kongamano la kushinikiza kutekelezwa kwa katiba tuliyonayo sawa ila kushinikiza katiba mpya huku hii inavurugwa kila leo ni nonsense
 
Lipumba anaanza tena mambo yake 🤣🤣🤣!!! Hizi siasa za bongo unaweza tamani gharika ipite kianze kizazi kipya cha wanasiasa.
Hatutanii na hatuja kurupuka kuratibu hili......ccm wenyewe wanajua mziki wa cuf huwa haturudi nyuma
 
Shauri yenu, kuna mtu hapa atakubaliana na vuguvugu halafu katiba ikipita atasema sasa anagombea kwa katiba mpya, anaanza tena moja, amalize mi5 ya kwanza halafu ije ile mingine mi5, tutakoma ubishi. Naomba msiniharibie hesabu, mimi sasa nimeisha anza ku count down, mpaka sasa amebakiza miaka 4 na miezi 11. Niwashauri tu kwamba utawala huu hauwezi kutupa katiba ya wananchi. Vuteni subira aje mtu mwenye utu ndio tutengeneze katiba nyingine, hapa mtachemsha tu!

Umewaza mbali kidogo.

What if wimbo wa kuongeza muhula umepata chorus ya Katiba Mpya?

Thinking out of boxes
 
Uzinduzi wa Kongamano la kuanzisha mchakato wa kudai katiba mpya litafanyika tar 20/12/2020

It is essential for the entire opposition, freedom and human rights activists, the press, and peace lovers including the religious bodies; to join and team up in full support of this move regardless of who has initiated it.
 
Umewaza mbali kidogo.

What if wimbo wa kuongeza muhula umepata chorus ya Katiba Mpya?

Thinking out of boxes
Akishajua anaogopewa ni rahisi kufanya mile anachotaka.....tuwe makini nahili.

Wazee wetu wasinge jitoa kwa hali na Mali tusinge pata uhuru Tanganyika
 
Back
Top Bottom