Kongamano la Wahariri limeacha maswali mengi. Nani yuko nyuma?

Kongamano la Wahariri limeacha maswali mengi. Nani yuko nyuma?

Mkuu naomba niulize jambo maana hii issue ya kwamba mgao inatengenezwa Ili majenereta ama mikataba ya IPTL/DOWANS irudi inarudiwa rudiwa Sana.

Tanzania kwenye mpango wa taifa imeeleza kufocus kwenye energy mix yaani umeme sio tu kupitia Maji ila gesi, joto ardhi, upepo, solar n.k Sasa wote tunafahamu focus ipo kwenye gesi in fact Kinyerezi 3 Iko mbioni kujengwa Ili gesi izidi kuongeza mchango wake kwenye umeme.

Sasa wote tunafahamu zaidi ya 60% za umeme wa Tz unategemea gesi sio Maji na pia umeme wa gesi ni gharama sana kufua kuliko wa Maji.

1. Je kwanini wapiga Dili wasihujumu gesi maana ndio tegemeo kwenye umeme Tz?

2. Maintenance ya Bomba/mitambo ya gesi ni gharama kuliko umeme wa Maji kwanini wasihujumu gesi wavune mabilion?

3. Pia majenereta Yana faida kiasi gani Hadi yarudishe cost za mgao? Sababu hata hao mafisadi Wana viwanda/mashamba/mahoteli n.k?

Ntashukuru kwa majibu yenu
Mtoa mada na geng lake akikujib uni tag. Nimekaa paleee
 
Siku nikifa, naomba nizikwe na bendera ya Tanzania. Hata nikiwa na dhambi nyingi kiasi gani, malaika wakiiona bendera , hawatoruhusu nipelekwe jehanamu kwa sababu huku nilikotoka ni jehanamu tosha!

Kwanini niwekwe jehanamu mara mbili?
Duh !
 
Kongamano la Wahariri naweza kusema limeacha maswali mengi sana kuliko mafanikio tuliyotarajia tuyaone kutokea hapo.

1. Nani aliyewalipa posho na malazi kwa siku zote walizokaa Iringa(Yeye mlipaji ananufaikaje kwa fedha zake alizotoa)

2. Wametajwa wabunge, majaji, mawaziri kuwa ndio wanalimiki Ranchi ya Usangu je ni Kweli Ranchi ya Usangu inamilikiwa na watu binafsi au Serikali? ukweli ukoje kwenye hili. (Kwanini hadi leo wameshindwa kutaja majina yao)

3. Wametajwa watu wanaotumia maji ya mto Ruaha kwa shughuli za Kilimo, je Sheria inasemaje kuhusu wanaotumia maji? ziko Water Use Permit zinazotolewa na Mamlaka za Kiserikali za Mabonde ya Mito chini ya Wizara ya Maji na zinalipiwa ada nadhani kila mwaka kama sikosei.

Kosa la hao wenye vibali vya kutumia maji liko wapi? kwanini watangazwe kwamba ni wahalifu ilihali wanatumia maji kisheria na kama mtu anatumia maji bila kibali sheria inasemaje?

4. Kuna Fununu kwamba Kongamano hilo limeandaliwa mahususi kuwahadaa watanzania kwamba Mradi wa Bwawa la JNHPP hautafanya kazi hata kama utakamalika kwa sababu maji ya mto Ruaha yamekaushwa na wakulima na wafugaji.

5. Point Namba 4 ndio inatajwa sana kufadhili kongamano na kundi hilo hilo hilo la wahariri ndio kila leo linakwenda kwenye Mradi wa JNHPP na kusifia kwamba hakuna kilichosimama.

Huku wakitambua mradi huo umecheleweshwa na mkandarasi kwa miaka 2na una mambo mengi yanahitaji majibu kuhusu shilingi Trilioni 1.5 ambazo mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kuchelewesha mradi kwa mujibu wa mkataba.

Maswali ambayo Kina Balile na Kina Pascal Mayala licha ya kuwa Wanasheria wabobevu wameshindwa kuyauliza kwenye mamlaka husika hadi leo na hatujui kwanini wanafanya hivyo?

Kwa ufupi Wahariri wote wameandaa kongamano hilo ili kutengeneza hadaa na kuwaandaa kisaikolojia watanzania li kufanikisha lengo lao la kuonyesha tatizo la umeme halitakwisha leo wala kesho ili zile biashara zingine za Majenereta na Mikataba mingine iendelee ya kuiuzia umeme Tanesco. kwa kigezo cha kukosekana maji

Uthibitisho ya hayo siku chache Kabla ya Kongamano hilo, Mwenyekiti wa MERICA, Habib Mchange alifanya PRESS alitamka kwamba tutamlaumu Januari Makamba umeme wa mgao atafanya nini kama maji Ruaha hayapo?

MERICA imeshindwa kuuliza kwa nini umeme haukukatika katika kipindi chote cha miaka 6 iliyopita je hali ya ukame imekuja tu baada ya Januari kuwa Waziri? na je kuhusu madai ya baadhi ya watumishi wasio waadilifu wa TANESCO kufungulia maji ya Mabwawa ili yasijae kuzalisha umeme nalo kwa nini halizungumziwi.

Kwanini wazungumziwe kundi moja tu la wakulima na wafugaji ndio waliomaliza maji? na je miaka yote 6 ambayo umeme ulikuwa haukatiki wafugaji na wakulima waliacha shughuli za kilimo na ufugaji? kwanini maswali hayo hayapati nafasi? na kwanini kongamano hilo halikuwashirikisha wakulima na wafugaji kupitia vyama vyao kama MVIWATA na Chama cha Wafugaji Tanzania.

Tuendelee kutafakari kwa pamoja kuhusu kongamano hili na mambo yaliyojificha nyuma ya pazia ila uzuri duniani hakuna siri hasa jambo likishashirikisha watu zaidi ya mmoja na Makamu wa Rais ukweli aliofichwa ataufahamu.

Rejea nyingine muhimu juzi Waziri wa Nishati, Januari Makamba alinukuliwa akisema itahitajika misimu 2 ya mvua kujaza bwawa la nyerere.

Saidoo25.


Nlipoona jina la mchange tu linatajwa nkaishia hapo ...
 
Hakuna cha uchambuzi hala anaewindwa ni mr makamba,, huyu jamaa watu wanamuwinda sana kwasababu ana IQ kubwa sana ndani ya system,, wakimwa gusha huyu, kuelekea 2025 njia yao itakua imekua cake walk kuelekea magogoni, yupo huyo, mwigulu, kinana,,, na kadhalika,, hawa watawindwa sana manake hawa ndo strategists wakubwa waccm kuelekea 2025
Anaandamwa kwa sababu ya kukosekana kwa Umeme mengine ni porojo tu !!
 
Kongamano la Wahariri naweza kusema limeacha maswali mengi sana kuliko mafanikio tuliyotarajia tuyaone kutokea hapo.

1. Nani aliyewalipa posho na malazi kwa siku zote walizokaa Iringa(Yeye mlipaji ananufaikaje kwa fedha zake alizotoa)

2. Wametajwa wabunge, majaji, mawaziri kuwa ndio wanalimiki Ranchi ya Usangu je ni Kweli Ranchi ya Usangu inamilikiwa na watu binafsi au Serikali? ukweli ukoje kwenye hili. (Kwanini hadi leo wameshindwa kutaja majina yao)

3. Wametajwa watu wanaotumia maji ya mto Ruaha kwa shughuli za Kilimo, je Sheria inasemaje kuhusu wanaotumia maji? ziko Water Use Permit zinazotolewa na Mamlaka za Kiserikali za Mabonde ya Mito chini ya Wizara ya Maji na zinalipiwa ada nadhani kila mwaka kama sikosei.

Kosa la hao wenye vibali vya kutumia maji liko wapi? kwanini watangazwe kwamba ni wahalifu ilihali wanatumia maji kisheria na kama mtu anatumia maji bila kibali sheria inasemaje?

4. Kuna Fununu kwamba Kongamano hilo limeandaliwa mahususi kuwahadaa watanzania kwamba Mradi wa Bwawa la JNHPP hautafanya kazi hata kama utakamalika kwa sababu maji ya mto Ruaha yamekaushwa na wakulima na wafugaji.

5. Point Namba 4 ndio inatajwa sana kufadhili kongamano na kundi hilo hilo hilo la wahariri ndio kila leo linakwenda kwenye Mradi wa JNHPP na kusifia kwamba hakuna kilichosimama.

Huku wakitambua mradi huo umecheleweshwa na mkandarasi kwa miaka 2na una mambo mengi yanahitaji majibu kuhusu shilingi Trilioni 1.5 ambazo mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kuchelewesha mradi kwa mujibu wa mkataba.

Maswali ambayo Kina Balile na Kina Pascal Mayala licha ya kuwa Wanasheria wabobevu wameshindwa kuyauliza kwenye mamlaka husika hadi leo na hatujui kwanini wanafanya hivyo?

Kwa ufupi Wahariri wote wameandaa kongamano hilo ili kutengeneza hadaa na kuwaandaa kisaikolojia watanzania li kufanikisha lengo lao la kuonyesha tatizo la umeme halitakwisha leo wala kesho ili zile biashara zingine za Majenereta na Mikataba mingine iendelee ya kuiuzia umeme Tanesco. kwa kigezo cha kukosekana maji

Uthibitisho ya hayo siku chache Kabla ya Kongamano hilo, Mwenyekiti wa MERICA, Habib Mchange alifanya PRESS alitamka kwamba tutamlaumu Januari Makamba umeme wa mgao atafanya nini kama maji Ruaha hayapo?

MERICA imeshindwa kuuliza kwa nini umeme haukukatika katika kipindi chote cha miaka 6 iliyopita je hali ya ukame imekuja tu baada ya Januari kuwa Waziri? na je kuhusu madai ya baadhi ya watumishi wasio waadilifu wa TANESCO kufungulia maji ya Mabwawa ili yasijae kuzalisha umeme nalo kwa nini halizungumziwi.

Kwanini wazungumziwe kundi moja tu la wakulima na wafugaji ndio waliomaliza maji? na je miaka yote 6 ambayo umeme ulikuwa haukatiki wafugaji na wakulima waliacha shughuli za kilimo na ufugaji? kwanini maswali hayo hayapati nafasi? na kwanini kongamano hilo halikuwashirikisha wakulima na wafugaji kupitia vyama vyao kama MVIWATA na Chama cha Wafugaji Tanzania.

Tuendelee kutafakari kwa pamoja kuhusu kongamano hili na mambo yaliyojificha nyuma ya pazia ila uzuri duniani hakuna siri hasa jambo likishashirikisha watu zaidi ya mmoja na Makamu wa Rais ukweli aliofichwa ataufahamu.

Rejea nyingine muhimu juzi Waziri wa Nishati, Januari Makamba alinukuliwa akisema itahitajika misimu 2 ya mvua kujaza bwawa la nyerere.

Saidoo25.



Huyo Habibu Mchange amekuwa akitumika na CCM kwenye siasa chafu sana. Kuna wakati walikuwa na Zito wakiihujumu CDM, ilifikia wakati akatumika hadi kuwatengenezea ugaidi akina Rwakatare kwa ufadhilii wa Mwigulu nchemba
 
Mkuu bila serikali kusimama kidete na kuacha kufauta matakwa ya hawa wazungu hilo bwawa litapigwa danadana Sana.

Kujibu swali lako kwann hawataki likamilike? Kukamilika kwa bwawa hilo kutamaanisha uhakika wa umeme tena wenye gharama nafuu na hivyo kichochea shughuli za kiviwanda na kukua kwa uchumi. Kitu ambacho kitapunguza utegemezi wa Tanzania kwa hawa donor countries. Ndiyo maana wanaleta za kuleta.

Kwann hahujumu umeme wa gesi? Umeme wa gesi uzalishaji wake unahitaji teknolojia ya hali ya juu sana na mitambo ya kisasa na gharama yake ni kubwa pia umeme wake ni ghali.

Tunayo hiyo teknolojia na hiyo mitambo? Jibu ni hapana. Kwahiyo hakuna ukombozi wowote wa kiuchumi kupitia umeme wa gesi. Tutaendelea kuwategemea

Mkuu tutaendelea kuwategemea wazungu kwa umeme au tutaendelea kuwategemea kwa kipi?
 
Huyo Habibu Mchange amekuwa akitumika na CCM kwenye siasa chafu sana. Kuna wakati walikuwa na Zito wakiihujumu CDM, ilifikia wakati akatumika hadi kuwatengenezea ugaidi akina Rwakatare kwa ufadhilii wa Mwigulu nchemba
Mimi huyu mtoto alivyohongwa pesa na Koka tu kuuza ubunge wa Kibaha mjini nilishamdharau tangu siku ile.
 
Mimi huyu mtoto alivyohongwa pesa na Koka tu kuuza ubunge wa Kibaha mjini nilishamdharau tangu siku ile.

Mchange ni mjinga sana, na amekuwa akitumika na CCM kwenye mipango mingi ya kuichafua CDM. Huyu ni mfuasi mkubwa wa Zito, kwani wamekuwa wakitumika sana kwenye operation nyingi za kuihujumu CDM.
 
Mkuu bila serikali kusimama kidete na kuacha kufauta matakwa ya hawa wazungu hilo bwawa litapigwa danadana Sana.

Kujibu swali lako kwann hawataki likamilike? Kukamilika kwa bwawa hilo kutamaanisha uhakika wa umeme tena wenye gharama nafuu na hivyo kichochea shughuli za kiviwanda na kukua kwa uchumi. Kitu ambacho kitapunguza utegemezi wa Tanzania kwa hawa donor countries. Ndiyo maana wanaleta za kuleta.

Kwann hahujumu umeme wa gesi? Umeme wa gesi uzalishaji wake unahitaji teknolojia ya hali ya juu sana na mitambo ya kisasa na gharama yake ni kubwa pia umeme wake ni ghali.

Tunayo hiyo teknolojia na hiyo mitambo? Jibu ni hapana. Kwahiyo hakuna ukombozi wowote wa kiuchumi kupitia umeme wa gesi. Tutaendelea kuwategemea
Kwamba tukiga hatua tutapunguza utegemezi au ndo tutahitaji zaidi? China wamepunguza kwa USA?
 
Kwamba tukiga hatua tutapunguza utegemezi au ndo tutahitaji zaidi? China wamepunguza kwa USA?
China na USA wanategemeana mkuu. Ndiyo maana unaona hakuna anayempiga mkwara mwenzake kama hvi vinchi vyetu vinavyopewa masharti kila uchwao
 
Mchange ni mjinga sana, na amekuwa akitumika na CCM kwenye mipango mingi ya kuichafua CDM. Huyu ni mfuasi mkubwa wa Zito, kwani wamekuwa wakitumika sana kwenye operation nyingi za kuihujumu CDM.
Zitto ameharibu sana future za vijana kisiasa kwa uselfish wake.

Huyu Mkigoma mwenzake naye Abdul Nondo naye awe makini sana maana anaonekana kama mkia wa Zitto.
 
Tutaendelea kuwategemea kiuchumi. Yaani ili Mambo yetu yaende ni lazima tuakakope kwao.

Umeme wa maji ndio utazuia sisi kukopa kwao? Kipindi tunatumia umeme wa maji kabla ya gas tulikuwa hatuwategemei?
 
Kongamano la Wahariri naweza kusema limeacha maswali mengi sana kuliko mafanikio tuliyotarajia tuyaone kutokea hapo.

1. Nani aliyewalipa posho na malazi kwa siku zote walizokaa Iringa(Yeye mlipaji ananufaikaje kwa fedha zake alizotoa)

2. Wametajwa wabunge, majaji, mawaziri kuwa ndio wanalimiki Ranchi ya Usangu je ni Kweli Ranchi ya Usangu inamilikiwa na watu binafsi au Serikali? ukweli ukoje kwenye hili. (Kwanini hadi leo wameshindwa kutaja majina yao)

3. Wametajwa watu wanaotumia maji ya mto Ruaha kwa shughuli za Kilimo, je Sheria inasemaje kuhusu wanaotumia maji? ziko Water Use Permit zinazotolewa na Mamlaka za Kiserikali za Mabonde ya Mito chini ya Wizara ya Maji na zinalipiwa ada nadhani kila mwaka kama sikosei.

Kosa la hao wenye vibali vya kutumia maji liko wapi? kwanini watangazwe kwamba ni wahalifu ilihali wanatumia maji kisheria na kama mtu anatumia maji bila kibali sheria inasemaje?

4. Kuna Fununu kwamba Kongamano hilo limeandaliwa mahususi kuwahadaa watanzania kwamba Mradi wa Bwawa la JNHPP hautafanya kazi hata kama utakamalika kwa sababu maji ya mto Ruaha yamekaushwa na wakulima na wafugaji.

5. Point Namba 4 ndio inatajwa sana kufadhili kongamano na kundi hilo hilo hilo la wahariri ndio kila leo linakwenda kwenye Mradi wa JNHPP na kusifia kwamba hakuna kilichosimama.

Huku wakitambua mradi huo umecheleweshwa na mkandarasi kwa miaka 2na una mambo mengi yanahitaji majibu kuhusu shilingi Trilioni 1.5 ambazo mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kuchelewesha mradi kwa mujibu wa mkataba.

Maswali ambayo Kina Balile na Kina Pascal Mayala licha ya kuwa Wanasheria wabobevu wameshindwa kuyauliza kwenye mamlaka husika hadi leo na hatujui kwanini wanafanya hivyo?

Kwa ufupi Wahariri wote wameandaa kongamano hilo ili kutengeneza hadaa na kuwaandaa kisaikolojia watanzania li kufanikisha lengo lao la kuonyesha tatizo la umeme halitakwisha leo wala kesho ili zile biashara zingine za Majenereta na Mikataba mingine iendelee ya kuiuzia umeme Tanesco. kwa kigezo cha kukosekana maji

Uthibitisho ya hayo siku chache Kabla ya Kongamano hilo, Mwenyekiti wa MERICA, Habib Mchange alifanya PRESS alitamka kwamba tutamlaumu Januari Makamba umeme wa mgao atafanya nini kama maji Ruaha hayapo?

MERICA imeshindwa kuuliza kwa nini umeme haukukatika katika kipindi chote cha miaka 6 iliyopita je hali ya ukame imekuja tu baada ya Januari kuwa Waziri? na je kuhusu madai ya baadhi ya watumishi wasio waadilifu wa TANESCO kufungulia maji ya Mabwawa ili yasijae kuzalisha umeme nalo kwa nini halizungumziwi.

Kwanini wazungumziwe kundi moja tu la wakulima na wafugaji ndio waliomaliza maji? na je miaka yote 6 ambayo umeme ulikuwa haukatiki wafugaji na wakulima waliacha shughuli za kilimo na ufugaji? kwanini maswali hayo hayapati nafasi? na kwanini kongamano hilo halikuwashirikisha wakulima na wafugaji kupitia vyama vyao kama MVIWATA na Chama cha Wafugaji Tanzania.

Tuendelee kutafakari kwa pamoja kuhusu kongamano hili na mambo yaliyojificha nyuma ya pazia ila uzuri duniani hakuna siri hasa jambo likishashirikisha watu zaidi ya mmoja na Makamu wa Rais ukweli aliofichwa ataufahamu.

Rejea nyingine muhimu juzi Waziri wa Nishati, Januari Makamba alinukuliwa akisema itahitajika misimu 2 ya mvua kujaza bwawa la nyerere.

Saidoo25.


Kujua nani yuko nyuma inasaidia nini hasa!?
Makongamano kama haya huwa yanafadhiliwa na mashirika ya kimataifa kuzingatia unyeti wa mambo ya mazingira kimataifa...
 
Mkuu naomba niulize jambo maana hii issue ya kwamba mgao inatengenezwa Ili majenereta ama mikataba ya IPTL/DOWANS irudi inarudiwa rudiwa Sana.

Tanzania kwenye mpango wa taifa imeeleza kufocus kwenye energy mix yaani umeme sio tu kupitia Maji ila gesi, joto ardhi, upepo, solar n.k Sasa wote tunafahamu focus ipo kwenye gesi in fact Kinyerezi 3 Iko mbioni kujengwa Ili gesi izidi kuongeza mchango wake kwenye umeme.

Sasa wote tunafahamu zaidi ya 60% za umeme wa Tz unategemea gesi sio Maji na pia umeme wa gesi ni gharama sana kufua kuliko wa Maji.

1. Je kwanini wapiga Dili wasihujumu gesi maana ndio tegemeo kwenye umeme Tz?

2. Maintenance ya Bomba/mitambo ya gesi ni gharama kuliko umeme wa Maji kwanini wasihujumu gesi wavune mabilion?

3. Pia majenereta Yana faida kiasi gani Hadi yarudishe cost za mgao? Sababu hata hao mafisadi Wana viwanda/mashamba/mahoteli n.k?

Ntashukuru kwa majibu yenu
Umeangalia kwenye bodi ya tanesco wapi kina nani, Kuna yule mwanamama aliyekuwa wakili wa dowans na tanesco huku na baadae kuitia hasara tanesco lakini Leo karudishwa tanesco
 
Kongamano la Wahariri naweza kusema limeacha maswali mengi sana

Maswali ambayo Kina Balile na Kina Pascal Mayala licha ya kuwa Wanasheria wabobevu wameshindwa kuyauliza kwenye mamlaka husika hadi leo na hatujui kwanini wanafanya hivyo?

Saidoo25.
Mkuu saidoo25 , asante, hoja zako hizi, zinafikirisha!.Hii ndio critical thinking.

P
 
Back
Top Bottom