Kongamano la Wahariri limeacha maswali mengi. Nani yuko nyuma?

Kongamano la Wahariri limeacha maswali mengi. Nani yuko nyuma?

Mkuu naomba niulize jambo maana hii issue ya kwamba mgao inatengenezwa Ili majenereta ama mikataba ya IPTL/DOWANS irudi inarudiwa rudiwa Sana.

Tanzania kwenye mpango wa taifa imeeleza kufocus kwenye energy mix yaani umeme sio tu kupitia Maji ila gesi, joto ardhi, upepo, solar n.k Sasa wote tunafahamu focus ipo kwenye gesi in fact Kinyerezi 3 Iko mbioni kujengwa Ili gesi izidi kuongeza mchango wake kwenye umeme.

Sasa wote tunafahamu zaidi ya 60% za umeme wa Tz unategemea gesi sio Maji na pia umeme wa gesi ni gharama sana kufua kuliko wa Maji.

1. Je kwanini wapiga Dili wasihujumu gesi maana ndio tegemeo kwenye umeme Tz?

2. Maintenance ya Bomba/mitambo ya gesi ni gharama kuliko umeme wa Maji kwanini wasihujumu gesi wavune mabilion?

3. Pia majenereta Yana faida kiasi gani Hadi yarudishe cost za mgao? Sababu hata hao mafisadi Wana viwanda/mashamba/mahoteli n.k?

Ntashukuru kwa majibu yenu
🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu, ukweli ni kuwa kitu chochote kwa sasa kikihusisha tu wizara ya nishati ambako makamba yupo basi lazima uyasikie mengi sana mabaya.........watu watadadavua kinafiki, watamwaga hisia zao hasi, watu watapewa maneno ya wasiwasi a.k.a kuogofya hadi wakimbie. KATU HUTOSIKIA NENO LA MATUMAINI HATA MOJA. Hivyo ndivyo atendewavyo makamba; kuna dhamira ya wazi 'ya kumuua' ambayo hauhitaji hata kutumia darubini kuiona.

Tunazuiwa hata kusikiliza nini kizuri anasema; negative comments mwanzo mwisho......ukijifanya umesikia lolote zuri utatukaniwa hadi your great great grandparents. Siajabu, katika maswali yako haya, ukakutana na katusi huko mbele maana ni maswali yanayohitaji facts na sio longolongo.

Humu akitajwa tu makamba, unacholazimishwa kufanya ni kutaja wizi/madili (usiulize kaiba nini, lini, wapi na kivipi; utatukanwa); unalazimika kutaja biashara ya generators (ukiuliza kivipi utaambulia matusi au majibu yatakushangaza na kukuchekesha); utalazimika kumwita makamba mnafiki kwa hoja kuwa alilipinga bwawa akiwa waziri wa mazingira na sasa analisimamiaje? (Ukisema kuwa alikuwa anafanya kazi yake kwa kipindi hicho kutoa concerns za kimazingira km waziri wa mazingira.......na hii ni kama kweli aliwahi kulipinga. Na kiitifaki wazo lako linaposhindwa kufanya kazi basi hauna budi kuungana na kutekeleza wazo bora zaidi lililopita kitu am ambacho ndo anafanya; utaishia kutukanwa)
 
mimi pia nilijiuliza maswali mengi sana, ila ukweli utajulikana ngoja waje wajuzi wa mambo wasaidie uchambuzi huu mujarab. ila mtoa post nakupa kongole kwa uchambuzi makini sana. KINA BALILE, MCHANGE, KITENGE waje na maelezo
Kila ninaposikia "Mchange" nasikia kichefuchefu ... Nakumbuka jinsi alivyouza ubunge wake kwa Mzee Makamba sitakaa nisahau
 
1. Mkuu labda tusaidiane kwanini wazungu hawapendi mradi huo ilihali ndio hao hao sio tu wametukopesha tujenge ila wanatuuzia vifaa na teknolojia??

2. Ndani ya nchi kina nani hawataki Bwawa liishe? Mbona umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea gesi kwanini wasihujumu gesi ambayo ni gharama zaidi ila wahujumu umeme wa Maji ambao ni cheap? Yaani why uhujumu 40 percent uache 60 percent?

Nadhani ifike mahala tuchukue responsibility wenyewe maana hii tabia ya kusakizia Kila kitu mabeberu kwa failure zetu wenyewe hazitusaidii lolote.
huwa nikisoma mada za humu,nyingi ni lawama tu
 
Hakuna cha uchambuzi hala anaewindwa ni mr makamba,, huyu jamaa watu wanamuwinda sana kwasababu ana IQ kubwa sana ndani ya system,, wakimwa gusha huyu, kuelekea 2025 njia yao itakua imekua cake walk kuelekea magogoni, yupo huyo, mwigulu, kinana,,, na kadhalika,, hawa watawindwa sana manake hawa ndo strategists wakubwa waccm kuelekea 2025
We nawe neno iQ unalitumia vibaya sana . Yani utaje vilaza apa tena wanaongoza nchi iliyo jaa vilaza afu uwafanye kuwa na iyo IQ? Tafakar..!ila hoja unayo sema tumizi la Neno IQ ndio limeharibu
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu, ukweli ni kuwa kitu chochote kwa sasa kikihusisha tu wizara ya nishati ambako makamba yupo basi lazima uyasikie mengi sana mabaya.........watu watadadavua kinafiki, watamwaga hisia zao hasi, watu watapewa maneno ya wasiwasi a.k.a kuogofya hadi wakimbie. KATU HUTOSIKIA NENO LA MATUMAINI HATA MOJA. Hivyo ndivyo atendewavyo makamba; kuna dhamira ya wazi 'ya kumuua' ambayo hauhitaji hata kutumia darubini kuiona.

Tunazuiwa hata kusikiliza nini kizuri anasema; negative comments mwanzo mwisho......ukijifanya umesikia lolote zuri utatukaniwa hadi your great great grandparents. Siajabu, katika maswali yako haya, ukakutana na katusi huko mbele maana ni maswali yanayohitaji facts na sio longolongo.

Humu akitajwa tu makamba, unacholazimishwa kufanya ni kutaja wizi/madili (usiulize kaiba nini, lini, wapi na kivipi; utatukanwa); unalazimika kutaja biashara ya generators (ukiuliza kivipi utaambulia matusi au majibu yatakushangaza na kukuchekesha); utalazimika kumwita makamba mnafiki kwa hoja kuwa alilipinga bwawa akiwa waziri wa mazingira na sasa analisimamiaje? (Ukisema kuwa alikuwa anafanya kazi yake kwa kipindi hicho kutoa concerns za kimazingira km waziri wa mazingira.......na hii ni kama kweli aliwahi kulipinga. Na kiitifaki wazo lako linaposhindwa kufanya kazi basi hauna budi kuungana na kutekeleza wazo bora zaidi lililopita kitu am ambacho ndo anafanya; utaishia kutukanwa)
We kubali kwamba wenzio wanaanzia ulipoishia wewe kufikiri. Nothing more nothing less
 
Hivi na wewe unajiita mfikiriaji?!!!!!
Ulio wahofia kuja kumpinga uyo unaye mkingia kifua ndio wafikiriaji . Mimi ni kweli sio mfikiriaji ,kwani huwa hawampingi kwa hoja ?? Think big bro!
 
Ulio wahofia kuja kumpinga uyo unaye mkingia kifua ndio wafikiriaji . Mimi ni kweli sio mfikiriaji ,kwani huwa hawampingi kwa hoja ?? Think big bro!
Mimi niliwazungumzia ambao tayari walishampinga na mashaka yangu yalikuwa juu ya kukosekana kwa ushahidi wa wazi wa tuhuma kibao apewazo huyo jamaa.....wizi, uuzaji wa generators n.k sawa na maswali aliyouliza yule mdau niliyemquote. Au tukariri tu?!!! Mkisema mwizi basi tuitikie tu tawire. Jazia taarifa tuungane; tofauti na hapo itaonekana majungu tu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu, ukweli ni kuwa kitu chochote kwa sasa kikihusisha tu wizara ya nishati ambako makamba yupo basi lazima uyasikie mengi sana mabaya.........watu watadadavua kinafiki, watamwaga hisia zao hasi, watu watapewa maneno ya wasiwasi a.k.a kuogofya hadi wakimbie. KATU HUTOSIKIA NENO LA MATUMAINI HATA MOJA. Hivyo ndivyo atendewavyo makamba; kuna dhamira ya wazi 'ya kumuua' ambayo hauhitaji hata kutumia darubini kuiona.

Tunazuiwa hata kusikiliza nini kizuri anasema; negative comments mwanzo mwisho......ukijifanya umesikia lolote zuri utatukaniwa hadi your great great grandparents. Siajabu, katika maswali yako haya, ukakutana na katusi huko mbele maana ni maswali yanayohitaji facts na sio longolongo.

Humu akitajwa tu makamba, unacholazimishwa kufanya ni kutaja wizi/madili (usiulize kaiba nini, lini, wapi na kivipi; utatukanwa); unalazimika kutaja biashara ya generators (ukiuliza kivipi utaambulia matusi au majibu yatakushangaza na kukuchekesha); utalazimika kumwita makamba mnafiki kwa hoja kuwa alilipinga bwawa akiwa waziri wa mazingira na sasa analisimamiaje? (Ukisema kuwa alikuwa anafanya kazi yake kwa kipindi hicho kutoa concerns za kimazingira km waziri wa mazingira.......na hii ni kama kweli aliwahi kulipinga. Na kiitifaki wazo lako linaposhindwa kufanya kazi basi hauna budi kuungana na kutekeleza wazo bora zaidi lililopita kitu am ambacho ndo anafanya; utaishia kutukanwa)
Mkuu tatizo watu wanaongozwa na hisia sana, ukienda YouTube Ile video January anayotangaza Bwawa kujazwa Maji aisee hakuna pongezi ni lawama na matusi mpaka unashindwa kuelewa kwamba Bwawa likiisha shida, lisipoisha shida Sasa wanataka Nini?

Na ukiuliza aliiba Nini na wapi hakuna majibu, hivi kweli ulete mgao kuuza majenereta? Mgao kwa siku Moja tu unaleta hasara zaidi ya Billion 1 hayo majanereta utauza mangapi Hadi yakupe billion 1 Kila siku??

So weird.
 
Mimi niliwazungumzia ambao tayari walishampinga na mashaka yangu yalikuwa juu ya kukosekana kwa ushahidi wa wazi wa tuhuma kibao apewazo huyo jamaa.....wizi, uuzaji wa generators n.k sawa na maswali aliyouliza yule mdau niliyemquote. Au tukariri tu?!!! Mkisema mwizi basi tuitikie tu tawire. Jazia taarifa tuungane; tofauti na hapo itaonekana majungu tu.
🤣🤣 Mkuu tuvumiliane tuu
 
Mkuu bila serikali kusimama kidete na kuacha kufauta matakwa ya hawa wazungu hilo bwawa litapigwa danadana Sana.

Kujibu swali lako kwann hawataki likamilike? Kukamilika kwa bwawa hilo kutamaanisha uhakika wa umeme tena wenye gharama nafuu na hivyo kichochea shughuli za kiviwanda na kukua kwa uchumi. Kitu ambacho kitapunguza utegemezi wa Tanzania kwa hawa donor countries. Ndiyo maana wanaleta za kuleta.

Kwann hahujumu umeme wa gesi? Umeme wa gesi uzalishaji wake unahitaji teknolojia ya hali ya juu sana na mitambo ya kisasa na gharama yake ni kubwa pia umeme wake ni ghali.

Tunayo hiyo teknolojia na hiyo mitambo? Jibu ni hapana. Kwahiyo hakuna ukombozi wowote wa kiuchumi kupitia umeme wa gesi. Tutaendelea kuwategemea
Wao wametumia akili ipi kuweza kupata hiyo advanced technology ambayo sisi inatushinda kuipata, au uwezo wetu wa kufikiri upo limited kiasi kwamba hatuwezi fanya innovation yoyote zaidi ya kutegemea innovation walizofanya wazungu ?
 
Ulio wahofia kuja kumpinga uyo unaye mkingia kifua ndio wafikiriaji . Mimi ni kweli sio mfikiriaji ,kwani huwa hawampingi kwa hoja ?? Think big bro!
Hakuna hoja ni speculations tu, walisema anahujumu Bwawa mbona Sasa analijaza Maji?

Walisema mgao kuuza majenereta mbona umepungua kama walivyoahidi before mwaka mpya sahivi upungufu ni chini ya 150 MW!!

Tukosoe watu kwa hoja sio speculations, mimi sipendi character assassinations bila facts. In fact umeme wa Tanzania unategemea GESI sio Maji so huwezi hujumu umeme bila kuhujumu Bomba la gesi au mitambo ya Kinyerezi pale.
 
Hakuna hoja ni speculations tu, walisema anahujumu Bwawa mbona Sasa analijaza Maji?

Walisema mgao kuuza majenereta mbona umepungua kama walivyoahidi before mwaka mpya sahivi upungufu ni chini ya 150 MW!!

Tukosoe watu kwa hoja sio speculations, mimi sipendi character assassinations bila facts. In fact umeme wa Tanzania unategemea GESI sio Maji so huwezi hujumu umeme bila kuhujumu Bomba la gesi au mitambo ya Kinyerezi pale.
Binafsi nimechagua kuwa mtazamaji wa hizi movie zinazoendelea ,Mkuu Bongo hii haijawahi ishiwa vihoja ..na mapicha picha 😂😂
 
Mleta hoja wewe ni mmoja wa wahujumu uchumi wetu kwa kuharibu mti Ruaha mkuu!
Kwani wewe umepata wapi uthubutu wa kuandika upuuzi huu ambao ni kero na kichefuchefu kwa mamilioni ya wa Tz?
 
Huu mradi wa umeme wa JNHPP hauwezi kamwe kukamilika na kutoa umeme kwasabb ni tishio kwa donor countries na wasakatonge wa ndani ya nchi.

JPM alisimama kidete kwenda kinyume na matakwa ya hizi "nchi wafadhili". Ikumbuke hata kampuni inayojenga bwawa hili ilitishwa kuwa itapigwa marufuku kufanya kazi nyingine tena sehemu yoyote duniani.

Na ndiyo maana JPM kabla hajafariki ilitangazwa kuwa maji yataanza kujazwa bwawani tarehe 15 Novemba 2021. Alipofariki tu danadana zikaanza na tukaambiwa bwawa liko chini ya 40%.

Sasa tunaambiwa bwawa litajazwa kwa miaka 2. Uliona wapi? Wameandaa drama nyingine katikati ya hiyo miaka 2.

Dunia hii Ina mengi Sana. Tukae tukijua mradi huu haupendwi na wazungu. Na wasilo litaka halitekelezeki ktk nchi hizi za Afrika.
mambo ni mengi
 
Back
Top Bottom