Kongole Chadema! Kiongozi ni yule anayejua njia, anaonyesha njia, kutengeneza njia pale hakuna njia!

Kongole Chadema! Kiongozi ni yule anayejua njia, anaonyesha njia, kutengeneza njia pale hakuna njia!

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Uongozi, hufafanuliwa kama uwezo wa mtu binafsi, kikundi, au shirika wa kushawishi njia mbadala na si kufuata tu njia aliyoikuta hata kama njia hiyo inaelekea kuzimu.

Hatua ya Mbowe naye kutangaza kutetea nafasi yake, mimi naipongeza kwani itakiwezesha Chadema kuitafsiri falsafa yake ya kidemkrasia kwa tabia na vitendo.

Kujitosa kwa Mbowe katika kinyang'anyiro hicho kutatoa nafasi nzuri na adimu kwetu wapenda demokrasia kuupima ukomavu wa kisiasa ndani ya Chama hicho.

Pia tendo hili linafungua ukurasa mpya katika uendeshaji wa siasa nchini na kutoa funzo ambalo kwa hakika vyama vyote vya siasa nchini vinatakiwa kuiga mfano wake.

Nina hakika vipo, vyama vidogo na vikongwe, ambavyo Chadema wakifanikiwa kuendesha uchaguzi wake kwa ufanisi vinaweza kujikuta matatani na kuachwa kwenye mataa.

Demokrasia inatakiwa iheshimiwe, ilindwe na itetewe na wale wote wanaojipambanua kama wapenda demokrasia na chaguzi zozote zile ni lazima ziendeshwe kwa uhuru na haki.

Nawatakia wagombea wote wa nafasi ndani ya Chadema kila la heri na wawe tayari kukubali matokea na uchaguzi uitwe hivyo na si uchafuzi tunaoushuhudia wa walevi wa madaraka.
 
Uwepo wa Mbowe na Lissu kwenye kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa Chadema ni jambo jema sana kwa Chadema na naomba wote wawe huru katika kampeni zao.

CCM kwa hofu wangependa kuwaona Chadema wakivurugana...swali langu ni kwa nini wavurugane?
Kwa hawa CCM, naelewa...hakuna adui wanayemwogopa kama demokrasia.
 
Uwepo wa Mbowe na Lissu kwenye kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa Chadema ni jambo jema sana kwa Chadema na naomba wote wawe huru katika kampeni zao.

CCM kwa hofu wangependa kuwaona Chadema wakivurugana...swali langu ni kwa nini wavurugane?
Kwa hawa CCM, naelewa...hakuna adui wanayemwogopa kama demokrasia.
atakayeshinda kinyang'anyiro hicho ndiye atakayegombea urais mwaka 2025 nje na hapo labda atoke nje ya chama
 
Uongozi, hufafanuliwa kama uwezo wa mtu binafsi, kikundi, au shirika wa kushawishi njia mbadala na si kufuata tu njia aliyoikuta hata kama njia hiyo inaelekea kuzimu.

Hatua ya Mbowe naye kutangaza kutetea nafasi yake, mimi naipongeza kwani itakiwezesha Chadema kuitafsiri falsafa yake ya kidemkrasia kwa tabia na vitendo.

Kujitosa kwa Mbowe katika kinyang'anyiro hicho kutatoa nafasi nzuri na adimu kwetu wapenda demokrasia kuupima ukomavu wa kisiasa ndani ya Chama hicho.

Pia tendo hili linafungua ukurasa mpya katika uendeshaji wa siasa nchini na kutoa funzo ambalo kwa hakika vyama vyote vya siasa nchini vinatakiwa kuiga mfano wake.

Nina hakika vipo, vyama vidogo na vikongwe, ambavyo Chadema wakifanikiwa kuendesha uchaguzi wake kwa ufanisi vinaweza kujikuta matatani na kuachwa kwenye mataa.

Demokrasia inatakiwa iheshimiwe, ilindwe na itetewe na wale wote wanaojipambanua kama wapenda demokrasia na chaguzi zozote zile ni lazima ziendeshwe kwa uhuru na haki.

Nawatakia wagombea wote wa nafasi ndani ya Chadema kila la heri na wawe tayari kukubali matokea na uchaguzi uitwe hivyo na si uchafuzi tunaoushuhudia wa walevi wa madaraka.
Project ya Abdul na wewe umo?
 
Project ya Abdul na wewe umo?
Ningeku-ignore ila naomba nikuulize swali moja tu, hebu nisaidie huyo Abdul ni nani?
happyxxx, wewe kweli ni mwana demokrasia?
Je unaelewa hata maana ya demokrasia?
Bahati nzuri msimamo wangu unajulikana na unaeleweka...
Adui nambari moja wa taifa hili ni CCM, period!
 
Demokrasia ya kweli inaweza kuwepo bila uwepo wa ukomo wa uongozi? Tusijekuwa tunaonyeshwa kiini macho cha demokrasia.
 
Fair game tuanze kuipima sisi, tusinunue wajumbe wala kucheza rafu zozote. Wa kushinda ashinde kihalali.
Na hicho ndicho kinachotakiwa kifanyike na hata wengine wakijitokeza sawa tu...

In compayny gret our luf con thryf,
In honour more and never the lesse.
 
Demokrasia ya kweli inaweza kuwepo bila uwepo wa ukomo wa uongozi? Tusijekuwa tunaonyeshwa kiini macho cha demokrasia.
Kama kuna sheria, kanuni au sharti lolote linalozuia mgombea mwingine kujitokeza hapo hakuna demokrasia.

ISIPOKUWA kuna nyakati hekima na busara hutumika mathalani sifa ya mgombea kiuwezo na kiakili na hapo ndipo umri na afya huzingatiwa.

Kukaa sana madarakani nako kuna athari zake na katika hali hiyo sharti la muda wa kukaa madarakani lazima uzingatiwe kwa mapana yake.
 
Uongozi, hufafanuliwa kama uwezo wa mtu binafsi, kikundi, au shirika wa kushawishi njia mbadala na si kufuata tu njia aliyoikuta hata kama njia hiyo inaelekea kuzimu.

Hatua ya Mbowe naye kutangaza kutetea nafasi yake, mimi naipongeza kwani itakiwezesha Chadema kuitafsiri falsafa yake ya kidemkrasia kwa tabia na vitendo.

Kujitosa kwa Mbowe katika kinyang'anyiro hicho kutatoa nafasi nzuri na adimu kwetu wapenda demokrasia kuupima ukomavu wa kisiasa ndani ya Chama hicho.

Pia tendo hili linafungua ukurasa mpya katika uendeshaji wa siasa nchini na kutoa funzo ambalo kwa hakika vyama vyote vya siasa nchini vinatakiwa kuiga mfano wake.

Nina hakika vipo, vyama vidogo na vikongwe, ambavyo Chadema wakifanikiwa kuendesha uchaguzi wake kwa ufanisi vinaweza kujikuta matatani na kuachwa kwenye mataa.

Demokrasia inatakiwa iheshimiwe, ilindwe na itetewe na wale wote wanaojipambanua kama wapenda demokrasia na chaguzi zozote zile ni lazima ziendeshwe kwa uhuru na haki.

Nawatakia wagombea wote wa nafasi ndani ya Chadema kila la heri na wawe tayari kukubali matokea na uchaguzi uitwe hivyo na si uchafuzi tunaoushuhudia wa walevi wa madaraka.
Yes,
uongozi ni kuonyesha njia sio makelele na kupiga mdomo tu huku ukiendekeza kuchangiwa kila kitu, hiyo haifai, ni mfano mbaya huo :pedroP:
 
Yes,
uongozi ni kuonyesha njia sio makelele na kupiga mdomo tu huku ukiendekeza kuchangiwa kila kitu, hiyo haifai, ni mfano mbaya huo :pedroP:

Hahah kiongozi kuna mgombea wa ccm hata mmoja asiyechangiwa na wafanyabiashara pamoja na kuiba hazina nyakati zote? Tena kwa kuforce, tunafanya biashara na tunawajua so acha kuchafua watu wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo
 
Hahah kiongozi kuna mgombea wa ccm hata mmoja asiyechangiwa na wafanyabiashara pamoja na kuiba hazina nyakati zote? Tena kwa kuforce, tunafanya biashara na tunawajua so acha kuchafua watu wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo
kuchafua watu tena?
watu gani wamechafuliwa gentleman?

uongozi ni kuonyesha njia, kweli au si kweli?

kiongozi kuombaomba sana kuchangiwa mara kwa vitu mballimbali na mtu ana nguvu za kufanya kazi kabisa, huo ni mfano mzuri kweli?🐒
 
kuchafua watu tena?
watu gani wamechafuliwa gentleman?

uongozi ni kuonyesha njia, kweli au si kweli?

kiongozi kuombaomba sana kuchangiwa mara kwa vitu mballimbali na mtu ana nguvu za kufanya kazi kabisa, huo ni mfano mzuri kweli?🐒

Yes ccm na watawala wake wote kama viongozi wa mwanzo kabisa walianza kwa kuonyesha njia ya kuombaomba so sio big deal, wote wanafuata mkondo hata mama yetu anasafiri sana kwenda kuomba, kimisingi ni jadi yetu!
 
Yeriko Nyerere amesema kuwa Lissu hafai kuwa mwenyekiti kwa sababu .
1. Hajawahi kufanya vizuri kwenye nafasi au vyeo alivyowahi kushika.

2. Mwongo.
3. HANA PESA.
4.
5.
 
Hivi Mbowe katangaza nia saa ngapi nifahamishwe
Mbowe hajatangaza nia ila mimi ningependa afanye hivyo na ikiwezekana hata na wengine zaidi wajitokeze kugombea nafasi hiyo adimu.

Hapo Chadema itakuwa imejitofautisha na vyama vingine vinavyoendeshwa kimla na hivyo kuacha historia na kuwa mwongozo kwa vyama vingine.
 
Back
Top Bottom