deonova
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 742
- 419
Awali natoa pongezi kwa serikali kwa kuwasilisha bungeni muswada wa sheria ya kuyaondoa majukumu ya udhibiti ubora wa chakula na vipodozi kutoka TFDA na kuyahamishia TBS. Ni hatua nzuri ktk kuondoa muingiliano wa majukumu ya taasisi mbili (TFDA na TBS) pamoja na kupunguza mzigo wa tozo za ukaguzi kwa mfanyabiashara.
Sasa Serikali mkimalizana na hilo, ikiwapendeza, angalieni pia muingiliano wa RITA na NIDA (ktk baadhi ya majukumu). Ningependekeza jukumu la Usajili (registration) wa vifo na uzazi liondolewe kutoka RITA, lihamishiwe NIDA; ili sasa RITA ibaki na majukumu makuu mawili tu ya Ufilisi (Insolvency) na Udhamini (Trusteeship)
Naomba kuwasilisha
SOMA Serikali yaunganisha RITA na NIDA na Kufuta Mashirika mengine 20 ya Umma
Sasa Serikali mkimalizana na hilo, ikiwapendeza, angalieni pia muingiliano wa RITA na NIDA (ktk baadhi ya majukumu). Ningependekeza jukumu la Usajili (registration) wa vifo na uzazi liondolewe kutoka RITA, lihamishiwe NIDA; ili sasa RITA ibaki na majukumu makuu mawili tu ya Ufilisi (Insolvency) na Udhamini (Trusteeship)
Naomba kuwasilisha
SOMA Serikali yaunganisha RITA na NIDA na Kufuta Mashirika mengine 20 ya Umma