Kongole kwako Profesa Jay kuwa mtangazaji wa redio Clouds

Kwa iyo anahamia dar, afu wakati wa uchaguzi anahamia Moro?
Kama vile Steve Nyerere na Massanja wapo Dar sasa ivi, wanasubiri uchaguzi mwezi mmoja kabla waende Iringa na kuanza kuhudhuria misiba.
 
Hivi pinda si ni mgombea mstaafu?
Alishindwa kwenye kura za maoni urais ndani ya ccm ndio ikiwa basi mpaka sasa.
 
hawa nao ni kama walikua hawaweki akiba jmn mke mara mc mara muigizaji ye na utangazaji wapi na wapi c wamuone Jongwe awashauri agh
 
Hakika
 
Hivi pinda si ni mgombea mstaafu?
Alishindwa kwenye kura za maoni urais ndani ya ccm ndio ikiwa basi mpaka sasa.
Nimemtaja kwenye ubunge, alikuwa mbunge kwa miaka kadhaa mwisho aliona astaafu ubunge kwani kama angekuwa na nia ya kuendelea na ubunge baada ya kupigwa chini kwenye urais nafasi ilikuwepo ya kugombea ubunge kama walivyofanya kina Mwigulu, Kigwangalla,January na wengine wengi.
 
alistaafishwa na NEC, alisikika jamaa mmoja kutokea ufipa..
 
Kitaa sio poa huku pasikieni tu [emoji81] hasa ukiwa umetoka kwenye life la kupokea 300K kwa masaa!!! Acha ajishkize term ijayo agombee tena mikumi huenda akapata
Ila huyu c dhan Kama anafanyia njaa kwakweli
Na Kama hana biashara nyingine yoyote
Inayomuingizia pesa bas n ulembuken
Wake na mke alie nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…