Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

Dah nasimulia sio kama mazuri laah!! Kuna siku nilikua na mtoto wa kiislam nimepiga tako all-night, sasa asubuhi tuko bafuni ananambia ooh kiislam ukizini inatakiwa ujimwagie maji sijui mara ngapi na blah blah nyingi...Nikasema usinitanie nikamvuta nikapiga cha mwisho.
OK basically tuseme nyie ni wajanja
 
Kab is a

Kwa kawaida adhana inapopigwa hakuna mtu anayeruhusiwa kuongea na na miiko hii rais uhuru anaijua vyema sana kwasababu kenya kuna waislam na wanajua miiko katika ardhi yao.Hivyo kila mtu anapaswa kuepuka kuharibu ibada za wengine.

Kiufupi yupo vizuri sana ndiyo maana uwanja mzima walimpigia makofi kwa kufanya vile.Hakika ni jembe huyu jamaa.Nasi tujifunze kuhusu hilo maana kuna wengine hatujui hilo badala yake kuleta vurugu kwamba adhana ni kelele.

Kwa hiyo amani upendo na mshikamano wa taifa huanza na vitu vidogo kama hivi.
Kabisa
 
Pia katiba Salam za rambirambi zilizotolewa na Marais, yakwake naona itashika number moja
 
Moja ya barrier kwenye communication ni noise .Kenyatta alijua hawezi ongea kwenye noise akafikisha ujumbe ndio maana akaacha noise za Adhana ziishe ndio aendelee na hotuba.Sababu asingesikika Kasoma conmunications na kaielewa vizuri hakukariri .Bravo to Kenyatta
Adhana Sio kelele mkuu, ni wito wa kwenda kumuabudu Allah
 
Wengine hawajui hzo imani pia na huyo mwadhini angetumia akili za kuvukia barabara na sio kupayuka misibani

Hivi wewe dada, una wazazi kweli? Mbona unampinga aliekuumba!!! Je, Unamuogopa Mola wako aliekuumba ama binadamu? Eti asitishe adhana kupisha msiba, akili za wapi hizo wewe!!!! Umeniudhi sana dada yangu 😡 Muogope sana Mungu
 
Angekuwepo yule jamaa ungesikia RPC KARIKAMATE HIRO RINAPIGA MAKERERE KWENYE MKUTANO WANGU. Sijui kwa nini wakenya wanatuachaga kila idara.
 
Hivi wewe dada, una wazazi kweli? Mbona unampinga aliekuumba!!! Je, Unamuogopa Mola wako aliekuumba ama binadamu? Eti asitishe adhana kupisha msiba, akili za wapi hizo wewe!!!! Umeniudhi sana dada yangu [emoji35] Muogope sana Mungu
Wewe tumia akili umeelewa nilichoandika kweli, au upofu wa dini unakufanya usitumie akili.
Mimi sina wazazi nina jiwe ndo lililo nizaa wewe uliyezaliwa na binadamu hutaki kusikia kitu cha tofauti huoni wewe ni tatizo. Hafu sio unachoamini wewe wengine wanaamini na kukijua ndio maana nikasema ni kelele kwangu. Au na wewe wazazi wako walipata division five hadi na wewe huelewi
 
Kwa namna nyingine Kenyatta amemuonyesha muadhini kuwa awe anajiongeza kuheshimu shughuli kubwa za wengine
 
Back
Top Bottom