mjombakim
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 1,193
- 1,854
Imani inafungamana na Mungu sio wana Adamu!Hao wa msikiti si wasingetumia hzo speaker kwa leo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani inafungamana na Mungu sio wana Adamu!Hao wa msikiti si wasingetumia hzo speaker kwa leo tu
Eeeenh Heee!Moja ya Marais bora kabisa barani Africa.
Uhuru nimemvulia kofia ni zaidi ya kiongoziWakati Mh Rais Uhuru Kenyetta anatoa hotuba yake kulikuwa na mwingiliano wa Adhana kutoka moja ya msikiti ulio karibu na uwanja ule.
Cha kushangaza mara baada ya kusikia hivyo alilazimika kusubiri mpaka adhana ile iishe. Hii inaashiria nini wanabodi? Au alitulia tu kwa huzuni yake?
Wewe nawe unajua maana ya adhana!Aiseee huo msikiti una majasir sn duh kwa hali ilivyo Dodoma upige adhana saiz mmmh
HahahahaWangekuwa wao sasa, ungesikia Makafiri hayo, yanatupigia kelele.
Takbiiiiir!
Kenyatta ni bonge la gentleman hua namuelewa sanaNimemwelewa Sana Kenyata,Kaonesha HESHIMA Kubwa Sana Kwa Wenzetu Waislam!
Tumepewa Funzo Kubwa Sana na Jirani Yetu Huyu.
Hahaaa kwakweli ni majasiriAiseee huo msikiti una majasir sn duh kwa hali ilivyo Dodoma upige adhana saiz mmmh
Nimawazo yako pia uheshimiwe na wao waheshimiwe kwa imani yao kama alivyofanya uhuru.kufa kwa mtu haimaanishi vitu vingine kusimama maisha yanaendeleaWamechemka hapo msikitini aisee kwa kweli shughuli ilikuwa muhimu, sio adhana kwa nguvu
Hapa ndo tunapizidiwa kwa mbaaali na wezetu kwenye kuchangia maoni nakuhueshimu wengineAstaghafirullah,Mungu akusamehe
Hii si mara ya kwanza namuona Kenyatta anafanya hivi. Inaonekana utamaduni wa kuheshimu imani za watu kwa Kenya uko juu sana.
Ni mawazo yako yaheshimiwe pia bila kuwanyioshea wengine vidoleWaislam mnapenda kujali vitu vidogo vidogo sana.
Nimeona vijana twitter wakifurahi sana.
Kwani kuna sehemu amesema alinyamaza kwa ajili ya adhana? Labda alikua ameshikwa na kitete cha msiba, maumivu, heshima kwa marehemu.
Jamaa alikua anagugumia maumivu ya msina nyie mlishakimbilia eti ameheshimu adhana, adhana?
Hii dini bwana
Hao wa msikiti si wasingetumia hzo speaker kwa leo tu
Hii habari mbona haina Proof! ni kweli imetokea au tunaongae tu?maana sisi kwa kuzungumza.....Wakati Mh Rais Uhuru Kenyetta anatoa hotuba yake kulikuwa na mwingiliano wa Adhana kutoka moja ya msikiti ulio karibu na uwanja ule.
Cha kushangaza mara baada ya kusikia hivyo alilazimika kusubiri mpaka adhana ile iishe. Hii inaashiria nini wanabodi? Au alitulia tu kwa huzuni yake?