cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Dah kwahyo ningeandika unachopenda nisingekuwa na tatizo?Una matatizo kichwani,wahi matibabu kabla hujachelewa sana.
Mimi naona wewe ndo una matatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kwahyo ningeandika unachopenda nisingekuwa na tatizo?Una matatizo kichwani,wahi matibabu kabla hujachelewa sana.
Toka lini adhana ikawa maombi ya kumuombea mwendazake?Huwezi kusitisha ibada unajuaje pengine katika swala hiyo walikuwa wanamuombea pia Hayati JPM?
Mimi nafikiria wapo sahihi sana.
Kijambio chako[emoji23][emoji23]Unateseka ukiwa wapi?
Umesema kwa dini yako wapagani hawajui hayo na sio kila mtu ni Imani hyoKwenye uislam hakuna dharura yoyote inayo sababisha ibada ihairishwe hata vitan unatakiwa uswali, kwahiyo haiwez kuacha kupigwa adhana kisa kuna mtu kafariki kwakua Mungu ni mkubwa kuliko viumbe.
Soma vizuri[emoji3591]Elewa[emoji3591]CommentToka lini adhana ikawa maombi ya kumuombea mwendazake?
Alikuwa analia😭😭! Akashindwa kuendelea kuongea kwa uchungu!Wakati Mh Rais Uhuru Kenyetta anatoa hotuba yake kulikuwa na mwingiliano wa Adhana kutoka moja ya msikiti ulio karibu na uwanja ule. Cha kushangaza mara baada ya kusikia hivyo alilazimika kusubiri mpaka adhana ile iishe. Hii inaashiria nini wanabodi? Au alitulia tu kwa huzuni yake?
Vyovyote unavo define wewe ni sawa tu, hata watu wakibinuka no problem as Long as haiingiliani na Mambo mengine na kuleta distractionna kuimba msibani sio kelele.nakumvalia nguo za kubana marehemu na kumchezea huku mkiimba sio kelele na kumvunjia heshima
Nilisubiri kuona hii. Yule hajachapia kaunganisha mapambio na yule rais wa SA kamuelewa ndio maana karudia tena mara mbili kile alichosema. Baada ya hapo nikapata wasiwasi kama tafsiri ya Felix wa Congo DR ilikuwa halisi.Mkalimani amechapia sehemu kwenye hotuba ya rais wa SA watu wakazomea[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kumbe Tz weng wanajua kudhungu bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama hujui ni wewe Kenyatta alijua hiloUmesema kwa dini yako wapagani hawajui hayo na sio kila mtu ni Imani hyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kijambio chako[emoji23][emoji23]
Msikiti mkubwa uko karibu na uwanja.Aiseee huo msikit una majasir sn duh kwa hali ilivyo Dodoma upige adhana saiz mmmh
Watu wamemcheka mpaka kaomba msamaha kuwa najisikia Vizuri.Mkalimani amechapia sehemu kwenye hotuba ya rais wa SA watu wakazomea😄😄😄😄kumbe Tz weng wanajua kudhungu bwana🤣🤣🤣
Shangaa mbona Makanisani ibada na ratiba nyingine zinaendelea.? Magufuli kama anapendwa hakuna wakubalisha na kinyume chake.unamaanisha angeacha kuwaita waumini wake kwenda kufanya ibada?
kwa ninavyowafahamu waislamu, hakuna kitu kingine kikubwa zaidi ya ibada!
Au dege linapita karibu , utaishia kunyamaza.Hivi ukitaka kuongea na Adhana ikilia unaweza kusikilizana kweli
Fuata ushauri niliokupa acha kukata viuno hapa kwa kutafuta sifa za kijinga,naona hii mada imekuchoma kama Pasi,vumilia tu ndio imesha tokea au endelea kuyasikilizia maumivu.Dah kwahyo ningeandika unachopenda nisingekuwa na tatizo?
Mimi naona wewe ndo una matatizo
Yeah, nahsi ata yule raisi alielewa kitu hadi aliamua kurudia maneno yaleyale, ila jamaa nadhani alikuwa mbali kimawazo akashindwa kusikiliza vzr alichoongea raisi, na ukalimani unahitaji umakini wa hali ya juu na uwezo mkubwa tofaut na tafsiri.Watu wamemcheka mpaka kaomba msamaha kuwa najisikia Vizuri.
Je marehemu angekua yy angesubilia?tumuenzi
Jamaa alikuwa mbali kimawazo na hivo huenda hakusikia vzr na hivo kutoa tarifa isiyo ya kwel, ndiyo maana watu walishituka. Siyo kama alishindwa, noo hakushindwa ila mind yake ilikuwa mbal kidg😁Nilisubiri kuona hii. Yule hajachapia kaunganisha mapambio na yule rais wa SA kamuelewa ndio maana karudia tena mara mbili kile alichosema. Baada ya hapo nikapata wasiwasi kama tafsiri ya Felix wa Congo DR ilikuwa halisi.