Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

Kwakweli nimeshangaa sana. Kama alikuwa anasubiri adhana iishe maana yake anatuonesha tuishi huku tukijua kila mmoja ana imani yake na mawazo yake.
Hayo ndiyo maisha yetu ya kuheshimiana hata kama tunatofautiana imani yanavyotakiwa, lakini kuna baadhi ya wanasiasa wanatumia platform za kisiasa katika kuwagawa watu katika tofauti zao za imani, kikabila, kikanda n.k.
Big up Uhuru.
 
Mm nakumbuka mwaka flan kipindi cha nyuma sana nilikuwa na girlfriend muslim bac iyo azana siku moja ina pigwa sie tuko busy tuna shiriki tendo

mimi nakumbuka mwaka fulani nyuma nilikuwa na girl friend mkatoliki tulikuwa kwenye tendo la ndoa utamu ulimzidi alianza kuniimbia kwaya huku akikatika
 
mimi nakumbuka mwaka fulani nyuma nilikuwa na girl friend mkatoliki tulikuwa kwenye tendo la ndoa utamu ulimzidi alianza kuniimbia kwaya huku akikatika
Hahaha ukiona hivyo bac copulation zako zilikuwa useless kwake yaan mpaka ana imba na kwayaaa
Jiulize iyo akili yake iliwezaje kukumbuka wimbo ? Iyo ima prove yaan yy alikuwa hayupo na ww.
 
Kheri kk ingekuwa cha alfajir

Hapo ilikkuwa ngoma saa saba mchana
Mwenye imannyake hasikii mwazini wala mteka maji ...mie kosa langu liko wapi ?
Dah apo kusema una kosa ni kukusingizia kosa ni la mwenye imani yake
 
mimi nakumbuka mwaka fulani nyuma nilikuwa na girl friend mkatoliki tulikuwa kwenye tendo la ndoa utamu ulimzidi alianza kuniimbia kwaya huku akikatika
Inaonyesha una kibamia aisee na ilikuwa humfikishi tu, mtu akipewa mechi anasahau kila kitu sembuse hicho kitendo. Hapo umeongopea
 
Mm nakumbuka mwaka flan kipindi cha nyuma sana nilikuwa na girlfriend muslim bac iyo azana siku moja ina pigwa sie tuko busy tuna shiriki tendo
Muislamu ni binadamu kama yeyote yule.

Hafuatwi muislamu anafanya nini bali mafundisho ya uislamu ndio yanapaswa kufuatwa so hayo ni mapungufu binafsi ya mtu.
 
Inapo pigwa azana inatakiwa watu wote wanyamaze na waache kila wanacho kifanya kwaajili ya kusikiliza wito kwaajili ya ibada kwakua anaetajwa ni mwenyezi Mungu
Allah Akbar manaa yake ni Mungu mkubwa

Hivyo hata mafunzo ya kiislam yanaamrisha hivyo kuwa watu wanyamaze lakin hata waislam weng huwa hawafanyi hivyo , Kenyatta kunyamaza kwake kumetoa funzo kubwa hata kwa waislam wenyewe.
 
mimi nakumbuka mwaka fulani nyuma nilikuwa na girl friend mkatoliki tulikuwa kwenye tendo la ndoa utamu ulimzidi alianza kuniimbia kwaya huku akikatika
Dah nasimulia sio kama mazuri laah!! Kuna siku nilikua na mtoto wa kiislam nimepiga tako all-night, sasa asubuhi tuko bafuni ananambia ooh kiislam ukizini inatakiwa ujimwagie maji sijui mara ngapi na blah blah nyingi...Nikasema usinitanie nikamvuta nikapiga cha mwisho.
 
Back
Top Bottom