cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Kukojoa kwa kusimama, kuchuchumaa, kukaa kulala kote ni kkukojoa so there is no difference labda ungesema gegedo au papuchi vikae kwa paji la uso ndo ingekuwa tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukojoa kwa kusimama, kuchuchumaa, kukaa kulala kote ni kkukojoa so there is no difference labda ungesema gegedo au papuchi vikae kwa paji la uso ndo ingekuwa tofauti
Waislam mnapenda kujali vitu vidogo vidogo sana.
Nimeona vijana twitter wakifurahi sana.
Hii dini bwana.
Hamna Cha msamaha nitasema kweli daima wallah. Kupiga kelele kwa msiba sio fair bana
Hayo ndiyo maisha yetu ya kuheshimiana hata kama tunatofautiana imani yanavyotakiwa, lakini kuna baadhi ya wanasiasa wanatumia platform za kisiasa katika kuwagawa watu katika tofauti zao za imani, kikabila, kikanda n.k.Kwakweli nimeshangaa sana. Kama alikuwa anasubiri adhana iishe maana yake anatuonesha tuishi huku tukijua kila mmoja ana imani yake na mawazo yake.
He is the best indeedMoja ya Marais bora kabisa barani Africa
Ningekuwa Mimi naendelea tu kwa kweli hyo kusubiria nilikuwa sijuii
Mm nakumbuka mwaka flan kipindi cha nyuma sana nilikuwa na girlfriend muslim bac iyo azana siku moja ina pigwa sie tuko busy tuna shiriki tendo
Hahaha ukiona hivyo bac copulation zako zilikuwa useless kwake yaan mpaka ana imba na kwayaaamimi nakumbuka mwaka fulani nyuma nilikuwa na girl friend mkatoliki tulikuwa kwenye tendo la ndoa utamu ulimzidi alianza kuniimbia kwaya huku akikatika
Dah apo kusema una kosa ni kukusingizia kosa ni la mwenye imani yakeKheri kk ingekuwa cha alfajir
Hapo ilikkuwa ngoma saa saba mchana
Mwenye imannyake hasikii mwazini wala mteka maji ...mie kosa langu liko wapi ?
Una akili za kwendea tu chooni maana huna akili udini umekupofusha kwa jinsi unavo comment pumba inaonyesha jinsi una akili mbovuwewe si ng'ombe sio binadamu
Mapenzi mazitoDah apo kusema una kosa ni kukusingizia kosa ni la mwenye imani yake
Inaonyesha una kibamia aisee na ilikuwa humfikishi tu, mtu akipewa mechi anasahau kila kitu sembuse hicho kitendo. Hapo umeongopeamimi nakumbuka mwaka fulani nyuma nilikuwa na girl friend mkatoliki tulikuwa kwenye tendo la ndoa utamu ulimzidi alianza kuniimbia kwaya huku akikatika
Ahahaaaa....Wangekuwa wao sasa, ungesikia Makafiri hayo, yanatupigia kelele.
Takbiiiiir!
Muislamu ni binadamu kama yeyote yule.Mm nakumbuka mwaka flan kipindi cha nyuma sana nilikuwa na girlfriend muslim bac iyo azana siku moja ina pigwa sie tuko busy tuna shiriki tendo
Yah akhy... 🤝Unatakiwa ukae kimya na ufuatilize maneno ya adhana.Mara baada ya adhana kwisha uombe dua kwani ni miongoni mwa nyakati dua zinapojibiwa zaidi.
Dah nasimulia sio kama mazuri laah!! Kuna siku nilikua na mtoto wa kiislam nimepiga tako all-night, sasa asubuhi tuko bafuni ananambia ooh kiislam ukizini inatakiwa ujimwagie maji sijui mara ngapi na blah blah nyingi...Nikasema usinitanie nikamvuta nikapiga cha mwisho.mimi nakumbuka mwaka fulani nyuma nilikuwa na girl friend mkatoliki tulikuwa kwenye tendo la ndoa utamu ulimzidi alianza kuniimbia kwaya huku akikatika