Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umehukumu japo mimi ni Mkristo ila hawa wenzetu pia ni watu wa HAKI SANA.Wangekuwa wao sasa, ungesikia Makafiri hayo, yanatupigia kelele.
Takbiiiiir!
Kwenye uislam hakuna dharura yoyote inayo sababisha ibada ihairishwe hata vitan unatakiwa uswali, kwahiyo haiwez kuacha kupigwa adhana kisa kuna mtu kafariki kwakua Mungu ni mkubwa kuliko viumbe.Wengine hawajui hzo imani pia na huyo mwadhini angetumia akili za kuvukia barabara na sio kupayuka misibani
KabisaInapo pigwa azana inatakiwa watu wote wanyamaze na waache kila wanacho kifanya kwaajili ya kusikiliza wito kwaajili ya ibada kwakua anaetajwa ni mwenyezi Mungu
Allah Akbar manaa yake ni Mungu mkubwa
Hivyo hata mafunzo ya kiislam yanaamrisha hivyo kuwa watu wanyamaze lakin hata waislam weng huwa hawafanyi hivyo , Kenyatta kunyamaza kwake kumetoa funzo kubwa hata kwa waislam wenyewe.
Uhuru ni chapombe lakini huwaga ni mmoja wa marais waungwana sana (distinguished gents) barani Africa.Wakati Mh Rais Uhuru Kenyetta anatoa hotuba yake kulikuwa na mwingiliano wa Adhana kutoka moja ya msikiti ulio karibu na uwanja ule. Cha kushangaza mara baada ya kusikia hivyo alilazimika kusubiri mpaka adhana ile iishe. Hii inaashiria nini wanabodi.? Au alitulia tu kwa huzuni yake.?
Sawa Shekhe.Umehukumu japo mimi ni Mkristo ila hawa wenzetu pia ni watu wa HAKI SANA.
Huwezi kusitisha ibada unajuaje pengine katika swala hiyo walikuwa wanamuombea pia Hayati JPM?Hao wa msikiti si wasingetumia hzo speaker kwa leo tu
Unateseka ukiwa wapi?Wamechemka hapo msikitini aisee kwa kweli shughuli ilikuwa muhimu, sio adhana kwa nguvu
Una matatizo kichwani,wahi matibabu kabla hujachelewa sana.Hamna Cha msamaha nitasema kweli daima wallah. Kupiga kelele kwa msiba sio fair bana
Mkuu unawaza kuwa kiongozi mzuri popote utakapochaguliwa coz hupendi unafiki, hongera sanaUmehukumu japo mimi ni Mkristo ila hawa wenzetu pia ni watu wa HAKI SANA.
Mkuu shukrani sana ni matumizi ya common sense tuu, wapo watu wanaishi karibu na makanisa na kuna kengele za kanisa na wana vumilia kwasababu vyote vinatukumbusha kumcha Muumba wetu.Mkuu unawaza kuwa kiongozi mzuri popote utakapochaguliwa coz hupendi unafiki, hongera sana
Kwa kawaida adhana inapopigwa hakuna mtu anayeruhusiwa kuongea na na miiko hii rais uhuru anaijua vyema sana kwasababu kenya kuna waislam na wanajua miiko katika ardhi yao.Hivyo kila mtu anapaswa kuepuka kuharibu ibada za wengine.Wakati Mh Rais Uhuru Kenyetta anatoa hotuba yake kulikuwa na mwingiliano wa Adhana kutoka moja ya msikiti ulio karibu na uwanja ule. Cha kushangaza mara baada ya kusikia hivyo alilazimika kusubiri mpaka adhana ile iishe. Hii inaashiria nini wanabodi? Au alitulia tu kwa huzuni yake?