Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Aiseee huo msikiti una majasir sn duh kwa hali ilivyo Dodoma upige adhana saiz mmmh
Sio ujasiri, Adhana lazima itolewe utake usitake. Na adhana muhimu kuliko hicho unachokifikiriaKipi. Huwezi acha kutoa adhana sababu ya msiba, itakua uwendawazimu huo.