Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

OK basically tuseme nyie ni wajanja
 
Kab is a

Kabisa
 
Pia katiba Salam za rambirambi zilizotolewa na Marais, yakwake naona itashika number moja
 
Adhana Sio kelele mkuu, ni wito wa kwenda kumuabudu Allah
 
Wengine hawajui hzo imani pia na huyo mwadhini angetumia akili za kuvukia barabara na sio kupayuka misibani

Hivi wewe dada, una wazazi kweli? Mbona unampinga aliekuumba!!! Je, Unamuogopa Mola wako aliekuumba ama binadamu? Eti asitishe adhana kupisha msiba, akili za wapi hizo wewe!!!! Umeniudhi sana dada yangu 😡 Muogope sana Mungu
 
Angekuwepo yule jamaa ungesikia RPC KARIKAMATE HIRO RINAPIGA MAKERERE KWENYE MKUTANO WANGU. Sijui kwa nini wakenya wanatuachaga kila idara.
 
Hivi wewe dada, una wazazi kweli? Mbona unampinga aliekuumba!!! Je, Unamuogopa Mola wako aliekuumba ama binadamu? Eti asitishe adhana kupisha msiba, akili za wapi hizo wewe!!!! Umeniudhi sana dada yangu [emoji35] Muogope sana Mungu
Wewe tumia akili umeelewa nilichoandika kweli, au upofu wa dini unakufanya usitumie akili.
Mimi sina wazazi nina jiwe ndo lililo nizaa wewe uliyezaliwa na binadamu hutaki kusikia kitu cha tofauti huoni wewe ni tatizo. Hafu sio unachoamini wewe wengine wanaamini na kukijua ndio maana nikasema ni kelele kwangu. Au na wewe wazazi wako walipata division five hadi na wewe huelewi
 
Kwa namna nyingine Kenyatta amemuonyesha muadhini kuwa awe anajiongeza kuheshimu shughuli kubwa za wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…