Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

Arguing with a fool only proves that there are two.

Indeed, two fools - kahtaan & cariha!
Hahahaha.
When did you get that "saying" nicompoop?
I never argue with you kaswende boy. I'm chatting with bigmama who need a man like me to remove some"not all" the burden she got.
Take a chill pill , relax and enjoy the game.
Don't hate a player bwatty boy
 
muumini wa kweli awr mkristo au muislamu enzi hizi hahitaji adhana wala kengele ya kanisa kumwambia ni wakati wa kusali na kuwasumbua wengine na kelele anatakiwa aweke alarm tu kwenye simu au saa tena aweza weka mlio wa kengele ya kanidsa au adhana ikamstu bila kusumbua wengine.
Ni maagizo ya Mwenyezi Mungu kukubushana mkuu, tena ametuamrisha sio ombiii kama wewe hufanyi utajua wewe na mungu wako?
 
Kweli na sura mbovu ka ya Bibi yako hujakosea kabisa, na Mimi huku JF sitafti basha, so kwangu umekosea njia
Mi sio basha cariha. Sasa mbona unaanza kuniogopa wakati hata hijaniona? [emoji1787].
Hilo jina kwanza inabidi tufanye mpango kulibadili. Manake kwa lugha ya kingoni maana yake chafu sana.
 
Anaheshimu adhana Dodoma huku huko Mombasaa ana damu ya watu aliowaua sababu ya uislamu wao!!

Labda mseme usikivu ulipungua tu uwanjani sababu ya adhana akaona anyamaze kwanza.
 
Mi sio basha cariha. Sasa mbona unaanza kuniogopa wakati hata hijaniona? [emoji1787].
Hilo jina kwanza inabidi tufanye mpango kulibadili. Manake kwa lugha ya kingoni maana yake chafu sana.
Sio naogopa sijajaja humu kutafta mabasha na sina huo uwezo wa kuyapanda maana Mimi sio dume, hafu hili jina ni vifupisho ya mambo yangu binafsi hyo tafsiri chafu baki nayo maana aliwazalo mjinga ndo humtokea
 
Kweli na sura mbovu ka ya Bibi yako hujakosea kabisa, na Mimi huku JF sitafti basha, so kwangu umekosea njia
Sorry sweet jelebi.
Nilikuwa likizo miaka kadhaa.
Uskonde kwa maneno yangu.
Jaribu kuheshimu tu imani za watu na wewe utaheshimiwa.
By the way my offer still stand.
 
Sababu ziko nyingi lkn moja tu ya fasta hii.
Mimi ni babu wa wajukuu sita.
Yeye ni mgumba hazai. Lkn bado nampenda hivyo hivyo.

I can carry on if you allow me boss man
Babu mzima una wajukuu hujiheshimu utakuja kufia kwenye k kama nzi kufia kwa kidonda utie aibu huo utitiri wa wake zako
 
Kwa sasa sidhani kama adhana muhimu mtu kama muumini kweli wa dini hahitaji mtu wa kuadhini kumwita kwenda kusali na kupigia kelele wengine wasio waislamu aweza set alarm kwenye saa ya ukutani au simu yake ikamuamsha bila kusumbua kwa kelele watu wengine wasio waislamu

Sasa hivi hakuna wadio na simu au saa mijini.Zamani enzi za Mohamed ilikuwa sawa lakini kwa sasa alarm inatosha haihitaji muadhini au kengele ya kanisa kusumbua wengin kumuambia mtu ni wakati wa kusali

Sasa unamuelezea nani hayo matakwa yako?
 
Sorry sweet jelebi.
Nilikuwa likizo miaka kadhaa.
Uskonde kwa maneno yangu.
Jaribu kuheshimu tu imani za watu na wewe utaheshimiwa.
By the way my offer still stand.
Kwahyo kwa vile ni Imani yako mna Force watu wafanye mtakavyo, tofautisha imani na maoni binafsi ya mtu anachoamimi
 
Aiseee huo msikiti una majasir sn duh kwa hali ilivyo Dodoma upige adhana saiz mmmh
Sio ujasiri.Nadhani wakati ulifika wakaendelea na ibada kama kawaida yao kwani ibada hapo ni kila kipindi kila siku.Hizi adhana ni ukumbusho wa ibada kwa watu walio karibu na ndio kitu cha msingi kuletwa duniani.Misiba ni mambo yanayojitokeza bila kutarajiwa.
Yawezekana huyo muadhini wa huo msikiti wala hakuwa na habari ya mambo mengine yaliyokuwa yakiendelea huko nje.Kumbuka misikitini hatuweki na haitikiwi redio wala runinga.
Lakini hata kama angejuwa kwa namna nyengine basi adhana hakuwa na sababu ya kuisitisha.Kufanya hivyo angekuwa amemdharau Muumba pakubwa na angekuwa amekosea.Na kufanya hivyo wala hakuitwi ujasiri
 
Mkuu shukrani sana ni matumizi ya common sense tuu, wapo watu wanaishi karibu na makanisa na kuna kengele za kanisa na wana vumilia kwasababu vyote vinatukumbusha kumcha Muumba wetu.

Religious tolerance ni kitu muhimu katika ustawi wa nchi yoyote.
Kabisa yaaani
 
Kwa sasa sidhani kama adhana muhimu mtu kama muumini kweli wa dini hahitaji mtu wa kuadhini kumwita kwenda kusali na kupigia kelele wengine wasio waislamu aweza set alarm kwenye saa ya ukutani au simu yake ikamuamsha bila kusumbua kwa kelele watu wengine wasio waislamu

Sasa hivi hakuna wadio na simu au saa mijini.Zamani enzi za Mohamed ilikuwa sawa lakini kwa sasa alarm inatosha haihitaji muadhini au kengele ya kanisa kusumbua wengin kumuambia mtu ni wakati wa kusali
Mpaka siku ya mwisho ikifika madhumuni ya adhana hayatabadilika.Na kila tukisonga mbele basi utaona hii kitu ndio inahitajika zaidi kwani watu enzi hizi wanazoziita za maendeleo ya kiteknolojia ndio wanajisahau zaidi kuwa kuna muumba.Hawa ndio wanaohitaji kukumbushwa. Hii alam unayosema ni kwa yule ambaye amekusudia kufanya hiyo ibada.Yule aliye kwenye mabanda ya video na kumbi za starehe ni lazima akumbushwa ili huko akhera akiulizwa na akiadhibiwa kusiwe na hoja nyengine juu kudharau kwake ibada.
 
Hivi huwa wanasahau ratiba hadi waitwe?
mfano rahisi tu, shule lazima ipigwe kengele kwa ajili ya kuhesabu namba au kwenda mstarini: je, wanafunzi hawajui ratiba?

na vp kuhusu huko kusahau, kwani hakupo? watu hawasahau? bila shaka wanasahau....wataachaje kwanza na kasi hii ya maisha!!!!!!!!
 
mfano rahisi tu, shule lazima ipigwe kengele kwa ajili ya kuhesabu namba au kwenda mstarini: je, wanafunzi hawajui ratiba?

na vp kuhusu huko kusahau, kwani hakupo? watu hawasahau? bila shaka wanasahau....wataachaje kwanza na kasi hii ya maisha!!!!!!!!
Na muadhini hajawahi kusahau ratiba kama wengine?
 
Na muadhini hajawahi kusahau ratiba kama wengine?
Nafikiri ni vigumu kwake sababu ya hofu na mshawasha mkuu anaokuwa nao juu ya jukumu hilo (kwamba atabeba mzigo mzito kiasi gani ikiwa atawakosesha watu sala na ni faida (thawabu) na raha kiasi gani kuwaona watu wakiitikia wito wa kumuabudu Mungu uliouita).

Kama hiyo haitoshi, nafikiri misikiti mingi (sina uhakika though) anaweza kuadhini muumini yeyote aliye karibu ikiwa muda umefika........wajuzi watanirekebisha hapa.
 
Back
Top Bottom