Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana

Aiseee huo msikiti una majasir sn duh kwa hali ilivyo Dodoma upige adhana saiz mmmh

Kila kitu kina nafasi yake mkuu, ibada/ swala ni jambo la muda mfupi tu. Hawakuona sababu ya kuahirisha kutimiza wajibu wa imani yao kwa woga/ hofu za kuogopa binadam amvao kimsingi wote tutakufa kila mmoja wetu kwa wakati wake siku ikifika.

Ibada jambo la kheri.
 
Wewe ulipodharau imani za watu unaona ulitumia akili na sio hisia?

Ulidhani kucomment matapishi yako hapa ungechekewa sio?
acha kua unatafuta sifa za kijinga,halafu acha kuniita "Bwana" kiazi wewe.
Wewe mjinga nini hayo ni maoni yangu binafsi na mtazamo wangu hayahusiani na kudharau hata ingekuwa kanisani vile vile huwa sio busara watu wako kwa msiba unawasha ma speaker huoni ni distraction. Acheni ujinga wa dini na mtofautishe mtazamo mna mihemko as if wengine hatuna dini. Msinichoshe na Mambo yenu bwana ya kijinga kama hamjui mitazamo tofauti huyo ni Miungu gani mnamwamini mfyuuuu.
Tena wote mnaoleta mihemko yenu nawaweka ignore list mfyuuuu.
 
Sasa hapo umepata somo gani zaidi ya ukiwa wahutubia kukitokea distraction una pose kidogo

Hilo somo halieleweki kwa wote rafiki, Kenyatta amefanya jambo la kiungwana.

Kwa watu wetu walivyo nisingeshangaa polisi/ vyombo vya usalama kukimbilia kwenye huo msikiti na kuwashurutisha kuzima spika ikiwezekana na kipigo juu.
 
Nyie huwa hamtusumbui hata kidogo, kwenye malumbano ya hoja mnafeli, humu mnafeli. Hebu mfuatilie huyu Professor habib othman Mazinge YouTube
Yani nifatilie mtu asiyenihusu Ili iweje sasa na comments kilichoandikwa humu
 
Hilo somo halieleweki kwa wote rafiki, Kenyatta amefanya jambo la kiungwana.

Kwa watu wetu walivyo nisingeshangaa polisi/ vyombo vya usalama kukimbilia kwenye huo msikiti na kuwashurutisha kuzima spika ikiwezekana na kipigo juu.
Ndio ilivo hata mitaani huwa tunaheshimiana kikawaida tu kwa common sense
 
Vingine nikutumie hekima, ibada hata mashetani wanafanya
Sikia shetani anakuzidi wewe kuanzia hekima mpaka akili. Una chochote ambacho unamzidi shetani.kwa hiyo kufanya ibada kwa shetani haiondoi utaribu wa Ibada za kidini. Nikwambie kitu hata makanisani wakati wa kusifu na kuabudu Kuna watu wanaona Ni sehemu ya kelele kwa hiyo tuache au tutumie hekima tusisifu sababu Kuna mtu anaona Ni kelele?. Na ndiyo Maana alichokifanya MH KENYATA kimekuwa Ni Heshima kubwa kwa kuheshimu Imani ya wengine na kiongozi mkubwa na yupo katika hotuba na akaheshimu adhana na ilipoisha adhana akaendelea. Wewe kwa alichokifanya Rais Kenyata umepungukiwa na nini kwa mfano?.
 
Wewe mjinga nini hayo ni maoni yangu binafsi na mtazamo wangu hayahusiani na kudharau hata ingekuwa kanisani vile vile huwa sio busara watu wako kwa msiba unawasha ma speaker huoni ni distraction. Acheni ujinga wa dini na mtofautishe mtazamo mna mihemko as if wengine hatuna dini. Msinichoshe na Mambo yenu bwana ya kijinga kama hamjui mitazamo tofauti huyo ni Miungu gani mnamwamini mfyuuuu.
Tena wote mnaoleta mihemko yenu nawaweka ignore list mfyuuuu.
Una tatizo upstairs ndio maana hata unachokiandika unajipinga wewe kwa wewe,IQ yako ni below normal na inaonekana maisha yamekupiga kisawa sawa mpaka umepoteza umakini,

Sasa unatakiwa utulie hivyo hivyo ili niendelee na dozi,matibabu ndio kwanza yameanza.
 
Sikia shetani anakuzidi wewe kuanzia hekima mpaka akili. Una chochote ambacho unamzidi shetani.kwa hiyo kufanya ibada kwa shetani haiondoi utaribu wa Ibada za kidini. Nikwambie kitu hata makanisani wakati wa kusifu na kuabudu Kuna watu wanaona Ni sehemu ya kelele kwa hiyo tuache au tutumie hekima tusisifu sababu Kuna mtu anaona Ni kelele?. Na ndiyo Maana alichokifanya MH KENYATA kimekuwa Ni Heshima kubwa kwa kuheshimu Imani ya wengine na kiongozi mkubwa na yupo katika hotuba na akaheshimu adhana na ilipoisha adhana akaendelea. Wewe kwa alichokifanya Rais Kenyata umepungukiwa na nini kwa mfano?.
Unajichosha tu na huyo shetani wako Baki naye sihitaji maelezo mimi
 
Mbona hapo ni kiswahili nimeandika una makengeza ya ubongo wewe
Umeanza kuhamisha magoli wakati ndio kwanza mechi imeanza? hapo kwenye red labda ni kiingereza chako wewe peke yako uliyechanganyikiwa.
 
Wewe mjinga nini hayo ni maoni yangu binafsi na mtazamo wangu hayahusiani na kudharau hata ingekuwa kanisani vile vile huwa sio busara watu wako kwa msiba unawasha ma speaker huoni ni distraction. Acheni ujinga wa dini na mtofautishe mtazamo mna mihemko as if wengine hatuna dini. Msinichoshe na Mambo yenu bwana ya kijinga kama hamjui mitazamo tofauti huyo ni Miungu gani mnamwamini mfyuuuu.
Tena wote mnaoleta mihemko yenu nawaweka ignore list mfyuuuu.

Rafiki, hao wanaweza kuwa na mapungufu yao na maoni yako yana tija sana tu. Lakini huu uzi umejikita kwenye kutambua hekima aliyoionyesha Rais Uhuru kutoka kwa akina MK254
 
Una tatizo upstairs ndio maana hata unachokiandika unajipinga wewe kwa wewe,IQ yako ni below normal na inaonekana maisha yamekupiga kisawa sawa mpaka umepoteza umakini,

Sasa unatakiwa utulie hivyo hivyo ili niendelee na dozi,matibabu ndio kwanza yameanza.
Wewe ndo uanze nadose wanaume wenzako wanapeleka vyombo nje ya sayari yetu wewe kidume unajifanya na uchungu na dini kuliko walioileta
 
Umeanza kuhamisha magoli wakati ndio kwanza mechi imeanza? hapo kwenye red labda ni kiingereza chako wewe peke yako uliyechanganyikiwa.
Kumbe unataka ligi katafte size yako Mimi hushindana na wanawake wenzangu
 
Rafiki, hao wanaweza kuwa na mapungufu yao na maoni yako yana tija sana tu. Lakini huu uzi umejikita kwenye kutambua hekima aliyoionyesha Rais Uhuru kutoka kwa akina MK254
Na Mimi nilijikita kwenye mtazamo wangu wa Hilo jambo
 
Back
Top Bottom