Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uwongo?Kwahiyo unaendeshwa na matukio kwa akili hii unaweza ukaja sema Harmorapa msanii bora kuliko Kiba akitoa nyimbo kali.
Mkuu edit kwenye attachment alaf uipige fullMkuu hii picha uliyoweka ni ya zamani sana picha yake ya jana akiwa msibani hii hapa..
Jamaa anajua, tatizo tumbo.Jamaa ana vocal moja matata Sana , hata barnaba anakaa Kwa vocal la mshikaji , kuna wimbo amepiga remix ya Ottu jaz band ule unaitwa Tanzania Yetu nchi ya furaha ..jamaa kaua Sana mle ...sema daah jamaa ana bonge la Obesity
Msechu ni kipaji halisi
Aliwahi kuwa mshindi wa tatu kule tusker project fame Kenya akiwa na hemed .halafu msechu anajichukulia powa ndo shida yake
Anaweza akakaa kimya hata mwaka ila akija kutoa nyimbo ya aina yoyote ile huwa inakubalika sana ..
Huu mtihani wa kutafuta ujazo kipenyo mara mzingo kutumia pai 3.14... 😱Mkuu hii picha uliyoweka ni ya zamani sana picha yake ya jana akiwa msibani hii hapa..
Mkuu huyu ni mtu au furushi?Mkuu hii picha uliyoweka ni ya zamani sana picha yake ya jana akiwa msibani hii hapa..
Umemaliza kila kitu thread ilitakiwa iishie hapa.Kwenye mziki wa kisasa, kipaji pekee ama vocals sio kitu tosha kitakachompa msanii mafanikio.
Nikupe mfano tu, Peter Msechu unamsikia kwenye matukio kama haya ya msiba, lakini rotation ya nyimbo zinazopigwa kila siku kwenye chat yupo?
Hana consistency kwenye game hawezi kupewa front row seats kama Diamond au mwingine...
Brother huwa najua unajua muziki na huwa tunaenda sambamba kabisa bravoJamaa anajua na kama nakumbuka fresh ndio mtanzania pekee aliyewahi kufika mbali kwenye hayo mashindano, maana aliingia kwenye danger zone mara moja tu na akaokolewa na kura za vocal coaches
Ila ndio hivyo, kipaji na kupata mafanikio ni vitu viwili tofauti haswa siku hizi ambapo watu wanauza kiki na nyimbo zitakazotrend
Brother huwa najua unajua muziki na huwa tunaenda sambamba kabisa bravo
AiseeHuwezi amini sijakuelewa