Kongole Yanga kwa kuushinda mtihani wa kwanza point 6 ngumu

Kongole Yanga kwa kuushinda mtihani wa kwanza point 6 ngumu

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Napenda niwapongeze benchi la ufundi na wachezaji wa yanga kwa kuondoka ugenini na point 6 muhimu, akuna asiyejua namna ratiba yanga ilivyopangwa msimu huu, kamaliza mechi ngumu ya dabi jumamosi ikambidi asafiri km nyingi kwenda arusha jumatatu na kucheza jumanne kwenye mechi ngumu dhidi ya polisi kwenye uwanja mgumu/

Kacheza mechi 3 ndani ya siku 7 ni hatari, ktk kipindi ambacho yanga alitegewa odondoshe point ni kwenye hizi mechi 2 za arusha lakini katoboa zote, kinachowabeba yanga ni quality ya kikosi walichonacho na si vinginevyo, mechi ya Polisi pamoja na refa kubet lakini mkeka wake ulichanika baada ya point zote 3 kuchukuliwa.

Kwa maana iyo yanga kwa namna walivyo msimu huu ni ngumu Sana kuwazuia kupata point kwenye uwanja wowote ule.

Ingekuwa ni simba ndo imepangiwa ratiba iyo wangekuwa washadondosha point ktk hizi mechi 2 za ugenini, kongole kwao gsm kwa usajili makini, akitoka mtu anaingia mtu🙌🙌🙌🙌
 
Ambayo nyie ni mabingwa watetezi
Ndo mnavyojifariji hvyo utakuwaje bingwa bila kuwa na achievement na progress kila mwaka manara si kashasema mtakuwa team ya kwanza kushinda Caf champions league na striker mayele mtu wa kazi pamoja na mdaka mishale.
 
Nataka kuwaona yanga wakikutana na river united
Uyo rivers unaemsema wapelekwe ata usiku wa manane pale kwa mkapa wakacheze na yanga hii habari yako utaipata, walifanikiwa kuifunga yanga kwa mbinde kagoli kamoja nyumbani na kagoli kamoja ugenini timu ikiwa haijapata muunganiko na ikiwa inawakosa baadhi ya key prayers kama mayele,bangala,djuma shaban, vipi sasa hivi timu iko on fire imekamilika kila idara hao rivers wako watapigwa mpaka watachakaa
 
Nabi kamshtukia mdaka mishale.
kila mechi anatoboka kaona isiwe tabu
 
Ndo mnavyojifariji hvyo utakuwaje bingwa bila kuwa na achievement na progress kila mwaka manara si kashasema mtakuwa team ya kwanza kushinda Caf champions league na striker mayele mtu wa kazi pamoja na mdaka mishale.

Stage gani mmefika hatujawahi kufika? Ambayo ni mpya kwetu ipi?
 
Kamati ya roho mbaya
1660838449151.jpg
 
Nataka kuwaona yanga wakikutana na river united
Sasa kama Rivers United ndiyo ya mchezaji kama OKWA ambaye kwenye mechi ya Ngao ya Jamii, sikumbuki kama aligusa hata mpira kwa dakika zote alizocheza, ndiyo ya kuitishia timu kama Yanga kweli!

Timu inayopasua kila kilichopo mbele yake!! Ngoja hayo mashindano ya kimataifa yaanze, halafu tuone mtakavyo jisikia aibu wakati hao mnao wasifia watakapoanza kupasuliwa na wananchi kwenye mechi za nyumbani na ugenini.
 
Back
Top Bottom