Kongole Yanga kwa kuushinda mtihani wa kwanza point 6 ngumu

Kongole Yanga kwa kuushinda mtihani wa kwanza point 6 ngumu

Sasa kama Rivers United ndiyo ya mchezaji kama OKWA ambaye kwenye mechi ya Ngao ya Jamii, sikumbuki kama aligusa hata mpira kwa dakika zote alizocheza, ndiyo ya kuitishia timu kama Yanga kweli!

Timu inayopasua kila kilichopo mbele yake!! Ngoja hayo mashindano ya kimataifa yaanze, halafu tuone mtakavyo jisikia aibu wakati hao mnao wasifia watakapoanza kupasuliwa na wananchi kwenye mechi za nyumbani na ugenini.

Natabiri simba atatoka mapema yanga atapita makundi mpaka quarter
 
Uyo rivers unaemsema wapelekwe ata usiku wa manane pale kwa mkapa wakacheze na yanga hii habari yako utaipata, walifanikiwa kuifunga yanga kwa mbinde kagoli kamoja nyumbani na kagoli kamoja ugenini timu ikiwa haijapata muunganiko na ikiwa inawakosa baadhi ya key prayers kama mayele,bangala,djuma shaban, vipi sasa hivi timu iko on fire imekamilika kila idara hao rivers wako watapigwa mpaka watachakaa
Vipers 2 – 0 yanga
 
Back
Top Bottom