Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
My family (me, wife & 2 kids) sisi sio maskini kwa jinsi maisha ya Kitanda yalivyo.Wewe pimbi mbona bado na wewe unanuka umaskini?,umeshindwa hata kuisaidia familia yako, kutwa kucha una tangatanga na kuzulula.
Ukiendelea kulalamika lalamika kibwege hivyo kuna kitu utakipata ,fanya kazi wewe miaka hii bado unalaumu vita ya kagera si upumbavu huo umekujaa utakufa njaa hapo useme sababu ya vita we mbona aibu sana weweStori za uongo zinawahadaa watu.
Nyerere alimpigania best yake Obote na si vingine.
Vita ile ndiyo iliyoleta ufukara Tanzania na ilibadili mfumo mzima wa maisha ya Watanzania.
Kabla ya vita tulikuwa tukiwasogelea wa Vietnam kimaendeleo.
Baada vita nchi haijatulia mpaka kesho.
Huduma za afya, elimu na baadhi ya huduma muhimu zilikuwa bure lakini Sasa kama huna pesa ukipatwa na ajali kubwa au ugonjwa mkubwa ujue mauti iko miguuni mwako.
Allah amrehemu idi amiinUkiendelea kulalamika lalamika kibwege hivyo kuna kitu utakipata ,fanya kazi wewe miaka hii bado unalaumu vita ya kagera si upumbavu huo umekujaa utakufa njaa hapo useme sababu ya vita we mbona aibu sana wewe
Haya afande, niambieWewe usie na mafunzo ya kijeshi unaongea
Akili zako unazijua mwenyeweStori za uongo zinawahadaa watu.
Nyerere alimpigania best yake Obote na si vingine.
Vita ile ndiyo iliyoleta ufukara Tanzania na ilibadili mfumo mzima wa maisha ya Watanzania.
Kabla ya vita tulikuwa tukiwasogelea wa Vietnam kimaendeleo.
Baada vita nchi haijatulia mpaka kesho.
Huduma za afya, elimu na baadhi ya huduma muhimu zilikuwa bure lakini Sasa kama huna pesa ukipatwa na ajali kubwa au ugonjwa mkubwa ujue mauti iko miguuni mwako.
Afadhali hawa .
Kwanza ni wachache sana
Pili, wana wa Yakobo wamejianga hata maiti zao zimebebwa na container maalumu lenye kiyoyozi.
Ndugu zako Watanzania waliotiwa ujinga na Nyerere kupigana vita isiyo na kichwa wala mkia walirudishwa na maloori makubwa wamepangwa kama kuni wakitoa harufu kama panya aliyekufa.
Nyerere mshenzi sana
Stori za uongo zinawahadaa watu.
Nyerere alimpigania best yake Obote na si vingine.
Vita ile ndiyo iliyoleta ufukara Tanzania na ilibadili mfumo mzima wa maisha ya Watanzania.
Kabla ya vita tulikuwa tukiwasogelea wa Vietnam kimaendeleo.
Baada vita nchi haijatulia mpaka kesho.
Huduma za afya, elimu na baadhi ya huduma muhimu zilikuwa bure lakini Sasa kama huna pesa ukipatwa na ajali kubwa au ugonjwa mkubwa ujue mauti iko miguuni mwako.
Mlisema hawafi. Hawa sio wanakufa bali wanateketea
Kafiri unashida sana weweNa upande ule wa magaidi wa Hamas si ndiyo wamepukutika wote na mji kubaki vifusi vya matofali na mabati! Akifa Muisraeli mmoja ujue mia moja ni hamas watakuwa wamepukutika! Kama wana ubavu wa kupigana na Israel si wangeingia na wao kule Tel Aviv au Jerusalemu? Mbona wamejificha kwenye mashimo kama alivyokuwa amejificha Sadam Hussein!
Israel ni mdobwedo km anapigana na "kikundi tu Cha kigaidi" na pamoja msaada wa mabwana zao Marekani hivi anaweza simama na Iran nikweli nguvu za Israel ni zakufikirika Zaid au ni za kutengenezwa tu LGBTQ hawana Marinda wanaume wanafanya yao
Kafiri unashida sana wewe
Kafiri wewe unashida sanaWewe nenda kwa wenye vibarakashia wenzio wa kiume kawasaidie kuvaa musuli wa kike ili muingie kazini chumbani!
๐๐ก๐ข๐๐ ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ค๐๐ซ๐ข๐ซ๐ข ๐ง๐๐ข๐จ ๐ก๐ข๐ข, ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐ง๐๐ข๐ฒ๐จ ๐ง๐๐ก๐ข ๐ฒ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ ๐๐ง๐ ๐ฏ๐ข๐ญ๐?Stori za uongo zinawahadaa watu.
Nyerere alimpigania best yake Obote na si vingine.
Vita ile ndiyo iliyoleta ufukara Tanzania na ilibadili mfumo mzima wa maisha ya Watanzania.
Kabla ya vita tulikuwa tukiwasogelea wa Vietnam kimaendeleo.
Baada vita nchi haijatulia mpaka kesho.
Huduma za afya, elimu na baadhi ya huduma muhimu zilikuwa bure lakini Sasa kama huna pesa ukipatwa na ajali kubwa au ugonjwa mkubwa ujue mauti iko miguuni mwako.
Sio vita labda ungesema uongozi ndio tatizoYes.
Akili za wananchi na viongozi wetu si unazijua.
Kuanzisha mindset mpya au hata kubuni wazo jipya hatuwezi.
Ukiona kitu kipya hicho si kipya, ni kiongozi amekopi huko Ulaya alivyokwenda kula bata.
Baada ya vita ile viwanda vya ndani vingi ambavyo vilikuwa vya serikali vikayumba na baadaye kufa kabisa.
Tangu hapo hakuna kiwanda kipya kikubwa serikali ilianzisha na kikastawi mpaka leo