Kontena la maiti za wanajeshi wa Israel kutoka Gaza

Ukiendelea kulalamika lalamika kibwege hivyo kuna kitu utakipata ,fanya kazi wewe miaka hii bado unalaumu vita ya kagera si upumbavu huo umekujaa utakufa njaa hapo useme sababu ya vita we mbona aibu sana wewe
 
Ukiendelea kulalamika lalamika kibwege hivyo kuna kitu utakipata ,fanya kazi wewe miaka hii bado unalaumu vita ya kagera si upumbavu huo umekujaa utakufa njaa hapo useme sababu ya vita we mbona aibu sana wewe
Allah amrehemu idi amiin
 
Akili zako unazijua mwenyewe
 

Uharo wako unanuka hata baada ya kujitawadha na makaratasi!
 

Ndiyo ukome hapo maana wewe hata akili ya panzi inakuwa bora kuliko unachoropoka hapa! Kama Amin alikuwa ndugu yako basi alikomeshwa kisawasawa hadi jeshi lake likasambaratika lote!
 
Mlisema hawafi. Hawa sio wanakufa bali wanateketea

Na upande ule wa magaidi wa Hamas si ndiyo wamepukutika wote na mji kubaki vifusi vya matofali na mabati! Akifa Muisraeli mmoja ujue mia moja ni hamas watakuwa wamepukutika! Kama wana ubavu wa kupigana na Israel si wangeingia na wao kule Tel Aviv au Jerusalemu? Mbona wamejificha kwenye mashimo kama alivyokuwa amejificha Sadam Hussein!
 
Kafiri unashida sana wewe
 
Israel ni mdobwedo km anapigana na "kikundi tu Cha kigaidi" na pamoja msaada wa mabwana zao Marekani hivi anaweza simama na Iran nikweli nguvu za Israel ni zakufikirika Zaid au ni za kutengenezwa tu LGBTQ hawana Marinda wanaume wanafanya yao

Sasa huyo Iran anaogopa nini kuingia Israel wakati ndugu zake wanazidi kupukutika kama nzige na hawana pa kuishi tena?
 
Unashangaa askari kufika vitani? Kikubwa ni kwamba Hamas wakishambulia IDF maana yake ni kwamba wameshaji expose hivyo shambulizi lao moja linaondoka na Hamas wote.
 
Unashangaa askari kufika vitani? Kikubwa ni kwamba Hamas wakishambulia IDF maana yake ni kwamba wameshaji expose hivyo shambulizi lao moja linaondoka na Hamas wote.
 
๐’๐ก๐ข๐๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข๐ซ๐ข ๐ง๐๐ข๐จ ๐ก๐ข๐ข, ๐“๐€๐๐™๐€๐๐ˆ๐€ ๐ง๐๐ข๐ฒ๐จ ๐ง๐œ๐ก๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ ๐š๐ง๐š ๐ฏ๐ข๐ญ๐š?
 
Sio vita labda ungesema uongozi ndio tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ