Konyagi zenye fleva ndani zinauzwa wapi?

Konyagi zenye fleva ndani zinauzwa wapi?

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Hivi kuna mtu ambaye amefanikiwa kuonja ladha ya hizi konyagi mpya ambazo zimejaa kwenye mabango barabarani? Maana ni muda mrefu naenda maeneo ila kila nikiagiza haiji yenye ndimu ndani?

Hebu tupeane muongozo wadau wapi inapatikana ili nikaonje ladha mpya.
 
imekua konyagi lite kwa sasa. haiwafanyi watu kama ile ya zamani. ie kwenda kuwasema wakwe, kujipupulia. etc.
 
Mi nimeitumiaa kwa kweli ni nzuri sababu haiitaj kuchanganyaa...ilaa haina mizukaa ilee ya nyagi@nyagi nyepesi af haileweshi Wala nn..mm nlitumiaa lakin haikunivutia
 
Back
Top Bottom