Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Unatapika vipi mkuu. Hapo ni mafleva tu! Yani vibe lake hapo unaweza kujikita unalia kama nyau🤣 Sasa hapo hutatapika kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatapika vipi mkuu. Hapo ni mafleva tu! Yani vibe lake hapo unaweza kujikita unalia kama nyau🤣 Sasa hapo hutatapika kweli
Ila kwenye pub zetu hz hazipoMbona madukani na kwenye Masuper market zipo sana Mkuu?
Zina ladha nzuri kweli, ila shida ni tu alcohol twake wameweka tuchache sana. Nadhani 15% tu. Hata ukinywa nne hamna kitu unasikia..
Acha kwenda glossary nenda Bar 😎😎😎Hivi kuna mtu ambaye amefanikiwa kuonja ladha ya hizi konyagi mpya ambazo zimejaa kwenye mabango barabarani? Maana ni muda mrefu naenda maeneo ila kila nikiagiza haiji yenye ndimu ndani? Hebu tupeane muongozo wadau wapi inapatikana ili nikaonje ladha mpya.
Acha pombe, jamaa kunywa juisiBar zipi hizo ambako ipo? 🤣 Maan bar zote kubwa nimeenda ila sijawahi letewa hio fusion
Wakuokoa hela😎Mfumo gani huo unanletea sasa😀???
Msaada tutani.Hivi kuna mtu ambaye amefanikiwa kuonja ladha ya hizi konyagi mpya ambazo zimejaa kwenye mabango barabarani? Maana ni muda mrefu naenda maeneo ila kila nikiagiza haiji yenye ndimu ndani? Hebu tupeane muongozo wadau wapi inapatikana ili nikaonje ladha mpya.
Eeeh imekaa kienyeji san😀 Kwahio Konyagi ni gongo au sio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah aiseeUnatapika vipi mkuu. Hapo ni mafleva tu! Yani vibe lake hapo unaweza kujikita unalia kama nyau