Korea Kaskazini imesema itatuma wanajeshi wake nchini Ukraine kuisaidia Urusi

Korea Kaskazini imesema itatuma wanajeshi wake nchini Ukraine kuisaidia Urusi

Mrusi ni mwanaume huwezi mfananisha na US hata siku moja, Mrusi anapigana na Nato hapo Ukraine pamoja na vibaraka wa US.

Kama North Korea akipeleka jeshi.lake kumsaidia Mrusi, mimi naona ni hatua nzuri, sababu South Korea wapo pia wanawasaidia Nato na Ukraine.
 
IMG_1293.jpeg


Ukrezoo wajipange, twajaaaaa!
 
Urusi kapiga hesabu za mbali hapo anawalenga Nato.
Wavaa makubaz na vipedo bhana....kwamba kiduku kuingilia ni kuwalenga nato 😃😃😃😃
Halafu ninakukumbusha tu Russia 🇷🇺 si wavaa kubaz ni wakristo wa orthodox ambao nyie huwaita makafiri
Nakukumbusha tu kiduku huko kwao si wavaa makubazi hiyo dini huko haipo kbs so nao mbawaita makafiri.
Nakukumbusha saudi 🇸🇦 kuna kambi ya jeshi la marekani.
Nakukumbusha kiduku hana ubavu hata wa kuzchapa na korea kusini.
 
Watu wengi hamjaelewa na ni kama hamuelewi kinachoendelea nje ya hio vita. Russia amefungiwa kufanya biashara na mataifa mengi duniani. Hivyo vyo kwa North Korea n nchi nyingine ambazo ni adui wa USA au na to kwa ujumla.

Huu muungani ni strategic move, hatua ya kimkakati inayokusudia kujenga a new world allience and the new world order. Kwa sasa, hakuna nchi yeyote inayoweza kumkingia USA au mabepari kwa ujumla kifua. Nchi nyingi sana duniani haswa za kiafrika zinaonewa bila kupewa fursa ya kujitetea. Sio maliasili, sio mabiashara makubwa au biashara za pesa nyingi zote zinamilikiwa au kuna mkono wa bepari.

Huu muungano ambao mrusi anasimamia kuuasisi unategemewa kuongoza na mrusi, mchina, Indians pamoja na wengine kama Korea... Nchi zenye uanachama zitakuwa zinafara biashara bila au kwa ushuru mdogo, zitakuwa zinategemeana kivita(ukimchokoza mmoja, umechokoza wanachama wote) na kusaidiana kupiga hatua kwenye maendeleo kama kwenye kiuchumi, technology na kusaidiana wakati mwanachama atakapokumbwa n janga.

Huu muungano unaundwa ili kuzilinda nchi zilizotengwa na muungano wa kibapari*nato. Huu muungano utakuja kwa kishindo kikubwa kwenye bara letu. Utazisaidia nchi nyingi za kiafrica kuanza kunifaika n maliasili zao kwa kuwapa soko huru ulaya bila kudhulumiwa.

Kwa sasa mrusi anajiweka sawa kiusalama kwanza. Ndio maana tunamuona kwenye mkataba huu n korea. Mchina kajisogeza afrika kwa kuwekeza kwa kishindo, akitafsiriwa kama anaununua uaminifu afrika kwa miradi mikubwa kwenye nchi zake alizozilenga. Pia, mrusi ameonekana akisupport kinachoendelea burkinabe, kudhihirisha yupo kihaki zaidi duniani.

Mwisho wa siku, hii ni dalili kubwa sana ya vita 3 ya dunia. Aidha uwe adui wa muumgano na mmarekani, au uwe adui. Aidha uisupport Russia au uwe adui. Mwisho wa siku, itakuwa team Russia v team united States. Itakuwa hizi sababu hizi ndio nchi pekee duniani zenye hazina kubwa ya mabomu ya nuklia"biggest nuclear warheads active.

Sio kule middle East kwa mwarabu, sio Asia kwa wa China, sio burkinabe kwa wenetu weusi, sio Ukanda wa East kwenye vita ya congo n waasi wa kinyarwanda, sio vita zote chini ya vikundi vya kivita. Wote wanamuelekeo mmoja, team Russia v team USA au team haki dhidi ya team ukoloni/uonevu. Nchi zetu zote zina pande. Jaribuni kulitathmini hili
 
Wavaa makubaz na vipedo bhana....kwamba kiduku kuingilia ni kuwalenga nato 😃😃😃😃
Halafu ninakukumbusha tu Russia 🇷🇺 si wavaa kubaz ni wakristo wa orthodox ambao nyie huwaita makafiri
Nakukumbusha tu kiduku huko kwao si wavaa makubazi hiyo dini huko haipo kbs so nao mbawaita makafiri.
Nakukumbusha saudi 🇸🇦 kuna kambi ya jeshi la marekani.
Nakukumbusha kiduku hana ubavu hata wa kuzchapa na korea kusini.
msemaji mwandamizi wa nato kutoka GAIRO MOROGORO
 
US claims North Korea will send troops to fight in Ukraine for Russia.

In case of any future war, Russia will send troops to fight for North Korea as well.

—Politico
Heading umeandika Korea ya kaskazini imesema, hapa tena unasema US claims...

Which is which, ni Korea ya kaskazini imesema au Marekani ndio wamedai..?!
 
Urusi ndo wa kuomba jeshi kusaidiwa kupigana na ka nchi ka Ukraine?


Acha kuwa na IQ ndogo sana, Ukraine pale sio kama Ukraine, kuna NATO na mercenaries kibao wa USA pale, so ni vita vya NATO vs Russia inside Ukraine, umeelewa? Hivyo Kim kumpa support Russia ni sawa kabisa, excellent…!!! Ni makubaliano halali ya nchi na nchi, kwani sisi Tanzania au Kenya unakuta wana majeshi DRC au Sudan ni makubaliano ya nchi kwa nchi, hivyo North Korea kupeleka jeshi Ukraine sio jambo la ajabu..!!

cc. Biden..!!
 
Wanaukumbi.

🇰🇵 🇷🇺 Korea Kaskazini kutuma wanajeshi Ukraine kupigana pamoja na Urusi.

Mkataba wa ulinzi uliotiwa saini kati ya Urusi na Korea Kaskazini mnamo Juni 19, 2024, unajumuisha kifungu cha usaidizi wa kijeshi wa pande zote katika tukio la vita. Muda mfupi baada ya mkataba huo kutiwa saini, Korea Kaskazini ilitangaza mipango ya kutuma kitengo cha kijeshi cha uhandisi kusaidia vikosi vya Urusi katika mkoa wa Donetsk nchini Ukraine, huku kukitarajiwa kutumwa ndani ya mwezi ujao.

Haya yanajiri kufuatia mkutano wa hivi majuzi kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un huko Pyongyang, kuashiria ziara ya kwanza ya Putin nchini Korea Kaskazini katika takriban miaka 25. Makubaliano hayo ya kijeshi yanaeleza kuwa iwapo nchi yoyote itavamiwa, nchi nyingine lazima itoe msaada wa kijeshi na msaada mwingine.

Korea Kaskazini tayari imekuwa msambazaji mkubwa wa misaada ya kijeshi kwa Urusi, ikiwa ni pamoja na risasi za kivita, roketi, na makombora yanayodaiwa kuwa ya balistiki, tangu mkutano wa viongozi hao nchini Urusi Septemba mwaka jana.

Pentagon imeelezea mashaka juu ya kutumwa kwa wanajeshi wa Korea Kaskazini, na kupendekeza kuwa wanaweza kuwa "kulisha kwa mizinga" katika mzozo huo. Marekani inafuatilia kwa karibu uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya Urusi na Korea Kaskazini.

Wachambuzi wengine wanaamini kuwa Korea Kaskazini inatumika kama daraja la kimkakati kati ya Urusi na Uchina, kuwezesha uhamishaji wa zana za kijeshi kutoka China hadi Urusi bila kukiuka vikwazo vya Magharibi. Jukumu la Korea Kaskazini katika ushirikiano huu linaonekana kuwa la manufaa ya kifedha na kijeshi.

Baraza la Usalama la Taifa la Marekani limeukosoa muungano unaoundwa na Urusi, Korea Kaskazini, Iran na Syria, na kuutofautisha na uungaji mkono mpana wa kimataifa kwa Ukraine na kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa.


View: https://x.com/bricsinfo/status/1805969506990219268?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

kwan si Urusi anateka Ukraine siku hadi siku , msaada wa nini tena ?
 
Acha kuwa na IQ ndogo sana, Ukraine pale sio kama Ukraine, kuna NATO na mercenaries kibao wa USA pale, so ni vita vya NATO vs Russia inside Ukraine, umeelewa? Hivyo Kim kumpa support Russia ni sawa kabisa, excellent…!!! Ni makubaliano halali ya nchi na nchi, kwani sisi Tanzania au Kenya unakuta wana majeshi DRC au Sudan ni makubaliano ya nchi kwa nchi, hivyo North Korea kupeleka jeshi Ukraine sio jambo la ajabu..!!

cc. Biden..!!
hv NATO wakitua hapo Urusi atachomoka kwel ? tumia akili acha story za vijiweni au hukuona bomu lilipotua Poland , Urus iliwai kujitetea
 
Wanaukumbi.

🇰🇵 🇷🇺 Korea Kaskazini kutuma wanajeshi Ukraine kupigana pamoja na Urusi.

Mkataba wa ulinzi uliotiwa saini kati ya Urusi na Korea Kaskazini mnamo Juni 19, 2024, unajumuisha kifungu cha usaidizi wa kijeshi wa pande zote katika tukio la vita. Muda mfupi baada ya mkataba huo kutiwa saini, Korea Kaskazini ilitangaza mipango ya kutuma kitengo cha kijeshi cha uhandisi kusaidia vikosi vya Urusi katika mkoa wa Donetsk nchini Ukraine, huku kukitarajiwa kutumwa ndani ya mwezi ujao.

Haya yanajiri kufuatia mkutano wa hivi majuzi kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un huko Pyongyang, kuashiria ziara ya kwanza ya Putin nchini Korea Kaskazini katika takriban miaka 25. Makubaliano hayo ya kijeshi yanaeleza kuwa iwapo nchi yoyote itavamiwa, nchi nyingine lazima itoe msaada wa kijeshi na msaada mwingine.

Korea Kaskazini tayari imekuwa msambazaji mkubwa wa misaada ya kijeshi kwa Urusi, ikiwa ni pamoja na risasi za kivita, roketi, na makombora yanayodaiwa kuwa ya balistiki, tangu mkutano wa viongozi hao nchini Urusi Septemba mwaka jana.

Pentagon imeelezea mashaka juu ya kutumwa kwa wanajeshi wa Korea Kaskazini, na kupendekeza kuwa wanaweza kuwa "kulisha kwa mizinga" katika mzozo huo. Marekani inafuatilia kwa karibu uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya Urusi na Korea Kaskazini.

Wachambuzi wengine wanaamini kuwa Korea Kaskazini inatumika kama daraja la kimkakati kati ya Urusi na Uchina, kuwezesha uhamishaji wa zana za kijeshi kutoka China hadi Urusi bila kukiuka vikwazo vya Magharibi. Jukumu la Korea Kaskazini katika ushirikiano huu linaonekana kuwa la manufaa ya kifedha na kijeshi.

Baraza la Usalama la Taifa la Marekani limeukosoa muungano unaoundwa na Urusi, Korea Kaskazini, Iran na Syria, na kuutofautisha na uungaji mkono mpana wa kimataifa kwa Ukraine na kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa.


View: https://x.com/bricsinfo/status/1805969506990219268?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hii ni zaidi ya ronaldo na messi!
 
Huyu bwana mdogo akili zake amezielekeza kwenye majeshi na vita tu uchumi ameachana nao.

Huyu bwana mdogo bwana akili zake anazijua mwenyewe.
Uchumi kuachana nao kivip? Kwan wana njaa au umeona korea ni taifa omba omba
 
Back
Top Bottom