Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
Acha waibrand tu maana wana record nzuri ya kupigana vita kuliko USASasa mbona warusi wa jf wanaibrand urusi kama one man army 😯
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha waibrand tu maana wana record nzuri ya kupigana vita kuliko USASasa mbona warusi wa jf wanaibrand urusi kama one man army 😯
Nato hawa hawa walioikimbia Afghanistan au NATO ipi?hv NATO wakitua hapo Urusi atachomoka kwel ? tumia akili acha story za vijiweni au hukuona bomu lilipotua Poland , Urus iliwai kujitetea
Ni omba omba kwa China.Uchumi kuachana nao kivip? Kwan wana njaa au umeona korea ni taifa omba omba
Na c juzi tu hao wakorea wametupa mkopo ?Ni omba omba kwa China.
Tunatofautiana viwango vya omba omba haiwezi kuwa sawa na nchi yako Tanzania.
Kuna SK na NK.Na c juzi tu hao wakorea wametupa mkopo ?
Kama taifa linauwezo wa kumiliki izo silaha za nukes bhc halina uchumi mdogo
Wanaukumbi.
🇰🇵 🇷🇺 Korea Kaskazini kutuma wanajeshi Ukraine kupigana pamoja na Urusi.
Mkataba wa ulinzi uliotiwa saini kati ya Urusi na Korea Kaskazini mnamo Juni 19, 2024, unajumuisha kifungu cha usaidizi wa kijeshi wa pande zote katika tukio la vita. Muda mfupi baada ya mkataba huo kutiwa saini, Korea Kaskazini ilitangaza mipango ya kutuma kitengo cha kijeshi cha uhandisi kusaidia vikosi vya Urusi katika mkoa wa Donetsk nchini Ukraine, huku kukitarajiwa kutumwa ndani ya mwezi ujao.
Haya yanajiri kufuatia mkutano wa hivi majuzi kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un huko Pyongyang, kuashiria ziara ya kwanza ya Putin nchini Korea Kaskazini katika takriban miaka 25. Makubaliano hayo ya kijeshi yanaeleza kuwa iwapo nchi yoyote itavamiwa, nchi nyingine lazima itoe msaada wa kijeshi na msaada mwingine.
Korea Kaskazini tayari imekuwa msambazaji mkubwa wa misaada ya kijeshi kwa Urusi, ikiwa ni pamoja na risasi za kivita, roketi, na makombora yanayodaiwa kuwa ya balistiki, tangu mkutano wa viongozi hao nchini Urusi Septemba mwaka jana.
Pentagon imeelezea mashaka juu ya kutumwa kwa wanajeshi wa Korea Kaskazini, na kupendekeza kuwa wanaweza kuwa "kulisha kwa mizinga" katika mzozo huo. Marekani inafuatilia kwa karibu uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya Urusi na Korea Kaskazini.
Wachambuzi wengine wanaamini kuwa Korea Kaskazini inatumika kama daraja la kimkakati kati ya Urusi na Uchina, kuwezesha uhamishaji wa zana za kijeshi kutoka China hadi Urusi bila kukiuka vikwazo vya Magharibi. Jukumu la Korea Kaskazini katika ushirikiano huu linaonekana kuwa la manufaa ya kifedha na kijeshi.
Baraza la Usalama la Taifa la Marekani limeukosoa muungano unaoundwa na Urusi, Korea Kaskazini, Iran na Syria, na kuutofautisha na uungaji mkono mpana wa kimataifa kwa Ukraine na kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
View: https://x.com/bricsinfo/status/1805969506990219268?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
putin hoi bin taabanUrusi ndo wa kuomba jeshi kusaidiwa kupigana na ka nchi ka Ukraine?
Ukraine hii hii ambayo imefeli counteroffensive au?Yaan mnyama hajaingia kwenye uwanja wa vita miaka yote 3 putini anaajiri vikosi kutoka North Korea..! nakubali sana Ukraine.
Kila mtu na washirika wake,Yaani Urusi isaidiwe? Hapana. Urusi ipo vizuri sana kijeshi. Haihitaji msaada.
Kwa Nini Ukraine asikubali kuachana na mpango wake wa kutaka kujiunga na NATO?Kwanini Putin asi withdrawal na kurudi Moscow. Akubali tu kuishi vizuri na jirani yake mwenye uhuru kamili.
Russia achunge mpaka wake na si kuuvuka.Kwa Nini Ukraine asikubali kuachana na mpango wake wa kutaka kujiunga na NATO?
Ambayo ni adui mkubwa wa Urusi ili aishi vizuri na jirani yake Urusi kwa amani na uhuru?
Kwani kwa mujibu wa ranki zenu kati ya Urusi na Marekani ni nchi Gani Ina jeshi kubwa ,bajeti ya ulinzi silaha Bora na sifa nyingine nyingi?Urusi ndo wa kuomba jeshi kusaidiwa kupigana na ka nchi ka Ukraine?
Ndio hivyo anavyouchunga sasa,maana USA katoka hukooo mbali kuja kumchungulia Urusi kupitia Ukraine.Russia achunge mpaka wake na si kuuvuka.
Awe tayari kwa gharama hiyo.Ndio hivyo anavyouchunga sasa,maana USA katoka hukooo mbali kuja kumchungulia Urusi kupitia Ukraine.
Unahisi ni nani?Vita Iko kwenye stalemate.
Hakuna anayesonga mbele... So now ni nani uchumi wake na Siasa za ndani zitaharibika mapema
Kwani nani kasema kuna ubaya kila mtu kuwa na washirika wake?Hawa mashabiki wa USA na NATO bana,ni watu wa ajabu sana.
Wako kama USA yenyewe yaani ni unafiki TU kwa kwenda mbele.
Hebu fikiria.
Marekani kwenda kupigana na Iraq,Watalaban, Yugoslavia na Sasa kuisaidia Ukraine alikokota na amekokota nchi Dunia nzima pamoja na NATO yake ili zimsaidie.
Je huyu si hua tunaambiwa kua ndio jeshi namba moja duniani na Wana bajeti kubwa hata ziungane nchi zote duniani haziwezi kuifikia bajeti ya USA ?
Je kwa Nini asiende vitani peke yake?
Urusi tunaambiwa na haohao pro NATO kua ni nchi masikini na Ina jeshi dhaifu,je kama ni nchi masikini mbona akisaidiwa na marafiki zake TU mnaanza kupiga kelele?
Au mmesahau kua wakati wa USSR kulikua Kuna NATO na Warsaw Pact?
Sasa Kuna ubaya Gani Kila mtu kua na washirika wake?
Hofu ya Nini?
Au ndo manapenda vita nyepesi?
Kama NATO wameamua kuisaidia Ukraine basi Urusi nayo Ina haki ya kusaidiwa na marafiki zake.
Mwabudu shetani allah toka masjid ya bonyokwa anakosoamsemaji mwandamizi wa nato kutoka GAIRO MOROGORO
Kwamba wewe umshauri Kim Mambo ya kiuchumi.Huyu bwana mdogo akili zake amezielekeza kwenye majeshi na vita tu uchumi ameachana nao.
Huyu bwana mdogo bwana akili zake anazijua mwenyewe.