Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kwa hali inavyoendelea Ukraine inaenda kufanywa kifusi muda si mrefu. Nadhani NATO wangemshauri Zelensky aachane na hii vita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa NATO wanapima kina cha maji na mguu.Dah! Kwa harakati za mitikasi inayoendelea, huenda wakubwa wa pande zote mbili hasimu wamepanga kupimana nguvu na kuumaliza mchezo kabla ya mwaka huu kuisha.
Mungu aepushie mbali!
Marekani na West Europe wanatafuta kitu wasichojua madhara yake.Kiwakeee!
Natamani iwe hivyo aisee,US ana ukuda mwingi Sana.Huu mwaka wa kufosi mpka bosi ajulikane...na nahisi zile meli na nuke sub kule Cuba hazitoki yaani ndo zimefika pale
Eeh zile zimefika na China mzigo upo njiani anasogeza Aircraft Carrier kwaajili ya ndege za kivita pale Cuba. Pale inajengwa kambi ya kudumu wanaichungulia Washington DC kwa dirishani.Huu mwaka wa kufosi mpka bosi ajulikane...na nahisi zile meli na nuke sub kule Cuba hazitoki yaani ndo zimefika pale
Kama ndo game itakuwa hivyo basi mawili: cold war politics inarudi kwa Kasi ama vita halisi itapiganwa Middle East or Eastern Europe.Eeh zile zimefika na China mzigo upo njiani anasogeza Aircraft Carrier kwaajili ya ndege za kivita pale Cuba. Pale inajengwa kambi ya kudumu wanaichungulia Washington DC kwa dirishani.
Safi US na mambwigila wenzake wa ulaya wanawaza kutenda waliyofanya Iraq,Libya etc, huo usenge wao utakoma soon, aendelee kuwaburuza majinga ya europeKwa hali inavyoendelea Ukraine inaenda kufanywa kifusi muda si mrefu. Nadhani NATO wangemshauri Zelensky aachane na hii vita.View attachment 3017569
Kwanini atumie meli kusafirisha hizo ammunition wakati Yeye na urusi wana land border na hata Kuna reli inayounganisha hizo nchi mbili?, Au we uliposoma anatuma container ukajua itakuwa Kwa meli.Kwa hali inavyoendelea Ukraine inaenda kufanywa kifusi muda si mrefu. Nadhani NATO wangemshauri Zelensky aachane na hii vita.View attachment 3017569
Kuna kila dalili hii vita itapigwa maana US na NATO bado hawataki kuachia Ukraine , lakini Taiwan nae anazidi kuleta kiburi anachopewa na marekani.Kama ndo game itakuwa hivyo basi mawili: cold war politics inarudi kwa Kasi ama vita halisi itapiganwa Middle East or Eastern Europe.
Mizigo Mizito inabebwa na meliKwanini atumie meli kusafirisha hizo ammunition wakati Yeye na urusi wana land border na hata Kuna reli inayounganisha hizo nchi mbili?, Au we uliposoma anatuma container ukajua itakuwa Kwa meli.
Kwani kuongezewa mzigo inakatazwa?Unapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
Nani kasema wameishiwa?Unapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
Zelensky amekubali kuwa kibaraka wa West acha aisome namba.Ukraine imegeuzwa maabara ya majaribio ya silaha halisi......