Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Si mlisema zimeisha tokea wanaanza tu kuingia ukraine,,,,,kila shetani na mbuyu wakeUnapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mlisema zimeisha tokea wanaanza tu kuingia ukraine,,,,,kila shetani na mbuyu wakeUnapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
Nchi 32 kuzitandika viboko akiwa peke Ake,akigiza wamletee vingine porini Kuna tatizo?Unapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
Mara ya mwisho US kupigana Vita Kama yeye bila washirika ilikua mwaka gani?Unapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
Ila wewe Muha wa kasulu unakijua?Marekani na West Europe wanatafuta kitu wasichojua madhara yake.
Mh netqnyahu anapigana na mgambo ambaye hana silaha na anazuia hadi waandishi wa habari wasione udhaifu wake mtoe kwenye kundi la wanaume, huyu putin anapigana na nchi 32 za dunia ya kwanza zenye silaha kali zote zinamchangia na miaka inaenda tu huku kamaintain uchumiputin na neta nyahu sanaa za mapigano ndio kitu wanachopenda hawanaga ugomvi mdogo
Wewe mpaka leo unaamin Russia anapigana na Ukrain tuu. Mbona mchezo ungeisha kitambo tuu! Wapo wanajeshi wakigen wanapigana upande wa Ukrain kwa kujifanya wanajitolea. Wapo wataalam wa usalama kiheshi na special force wanaoisaidia Ukrain . Na wapo wanajeshi 1000 out of 2000 toka Ufaransa. Hapo unasemaje Russia anapigana na Kanchi kadogo ?Unapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
huu nao ni uchochezi,kwamba ukwel unaupuuziaUnapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
Hata mtoto mdogo anajua madhara ya kulazimisha hii vita. Ni wewe tu na ujinga wako ndio hujui.Ila wewe Muha wa kasulu unakijua?
Hajawahi. Labda civil war ile aliyowapiga red Indians na kuwafukuza marekani ili atawale America.Mara ya mwisho US kupigana Vita Kama yeye bila washirika ilikua mwaka gani?
Unapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
Nchi moja tu(ukraine)Mkuu hilo tu?
Hata Marekani na NATO wako kwenye changamoto ya production ya artiliries za kutosha kuipa Ukraine.
Harafu jiulize lini US ilipigana bila washirika wake kuipa support?
Mwisho! Russia inapigana na nchi ngapi Ukraine?
madhara ya Wairaq yatawakuta nao, tujiandae kupokea wakimbizi mitaa ya Manzese na MbagalaEeh zile zimefika na China mzigo upo njiani anasogeza Aircraft Carrier kwaajili ya ndege za kivita pale Cuba. Pale inajengwa kambi ya kudumu wanaichungulia Washington DC kwa dirishani.
Hawayajui madhara ila wewe unayajua! Mswahili ni balaaMarekani na West Europe wanatafuta kitu wasichojua madhara yake.
Putin hawezi kukaa kizembe namna hiyo ilhali adui zake wakuu anawajuaUnapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
"If wishes were horses, beggars would ride"madhara ya Wairaq yatawakuta nao, tujiandae kupokea wakimbizi mitaa ya Manzese na Mbagala