Kuagiza kule kwa artilleries haimaanishi kuwa kaishiwa we jidanganye.Unapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
Hao ni washirika tu kupeana silaha kawaida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuagiza kule kwa artilleries haimaanishi kuwa kaishiwa we jidanganye.Unapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
Mkuu Russia na North Korea wana share mpaka toka lini!?Kwanini atumie meli kusafirisha hizo ammunition wakati Yeye na urusi wana land border na hata Kuna reli inayounganisha hizo nchi mbili?, Au we uliposoma anatuma container ukajua itakuwa Kwa meli.
Usimdhalilishe Putin kwa kumuweka na karumanzira kama Netanyahu ambaye wavaa kobazi amewashindwa.putin na neta nyahu sanaa za mapigano ndio kitu wanachopenda hawanaga ugomvi mdogo
We kweli uko nyuma ya muda.Nchi moja tu(ukraine)
Halaf marekani hayupo kwenye changamoto ya ammunitions! Anazo za kutosha kwa ulinzi wake.
Hizo anazozalisha ni za kupeleka ukraine na israel.
Ukraine hadi sasa hajakomboa hata thumni ya kipande cha ardhi alichobeba Russia.Ni ishara ya woga, urusi amefeli Ukraine sasa hii ni tapatapa tu
Russia anapigana na ukraine tu,Suala la ukraine kupewa msaada ni kawaida hata Russia anapewaWe kweli uko nyuma ya muda.
Ukraine anasaidiwa na NATO kisilaha na kijeshi.Kuna askari mpaka wa UK wamepenyezwa kwa kuitwa mercenaries mule ndani kumbe ni askari kamili wa UK.
Unaonesha una utindii wa ubongo.Russia anapigana na ukraine tu,Suala la ukraine kupewa msaada ni kawaida hata Russia anapewa
NETANYAHU VS HAMAS...neta nyahu vs
hamas
houth
hizbollah
syria
iran
tena hawa wako wazwaz bora hata NATO wanashiriki kisirisiri pale ukrain
think again rasta lile jamaa linania ovu na wale watu pale gaza kila anaeingilia lazima achabangwe hamas lazima watumie hekima waachie hao mateka halafu wa regroup tena kivingine wanaoteseka ni raia wao wapo kwenye mashimo sponsor yupo qatar anakula mihadarati sio haki kwa wale wanawake wazee na watoto
Kwakifupi haya mapendekezo aloyatoa Putin ni kama kuwambia hao NATO kuwa hapa hampati kitu 🤣Na mabomu ya huyu mkorea yanavyotifua aiseee lamamayeee😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙆🏿♂️🙆🏿♂️Ukraine kazi anayo.
Ila juzi Vladimir Putin aliongea akisema yuko tayari kusitisha vita kama Ukraine atakubaliana na masharti mawili kama ifuatavyo;
1)Aondoe vikosi vyake katika miji ambayo Russia kainyakua.
2)Atambue maeneo aliyonyakua Russia kipindi cha mapigano kuwa nk sehemu ya mipaka ya Russia ikiweml Crimea sio sehemu za Ukraine tena.
Je,haya makubaliano yatawezekana kweli!?
Wewe huna akili! Naongea short short tu kwasababu naona hujui chochote!Unaonesha una utindii wa ubongo.
Russia hapewi msaada popote hizo silaha ananunua,hata zile drone za shaheed kwa Iran alinunua.
Japo hayo mabomu ya N.Korea sijajua kama kanunua ama kapewa.
Ukraine hapigani peke yake kuna askari wamepenyezwa wa USA,UK na France wakipachikwa jina la Mercenaries kumbe ni askari halisi wa hayo mataifa.
Mbona hilo linajulikana na kuna video zilisambaa Kharkiv zikionesha Russia ikiua askari wa kimarekani!?
Au unaishi dunia gani wewe!?
anawatembezea jando wagaigai wa nchi tano bado na yuko tayari kupeleka moto kwa yeyote atakae ongezekaUsimdhalilishe Putin kwa kumuweka na karumanzira kama Netanyahu ambaye wavaa kobazi amewashindwa.
hahahq sawa mkuuNETANYAHU VS HAMAS...
Hao wengine wanachokozana tu.... Ila NETANYAHU yupo vitani na HAMAS.
Embu bishana na MAFALA wenzako let me save my prestige.Wewe huna akili! Naongea short short tu kwasababu naona hujui chochote!
Apewe msaada au asipewe ujinga ni wake na hizo story za mamluk hazina ukwel wowote,Russia anapigana na ukraine na anaelekea kupoteza,vita ya siku 3 inaelekea mwaka wa 3
Kafeli vibaya vita ya siku 3 inaelekea mwaka wa 3 hii ni nini? Sialisema atamaliza ndani ya saa 72Ukraine hadi sasa hajakomboa hata thumni ya kipande cha ardhi alichobeba Russia.
Unasemaje Russia kafeli!?
Nani huyu anawatembezea moto!?anawatembezea jando wagaigai wa nchi tano bado na yuko tayari kupeleka moto kwa yeyote atakae ongezeka
Huna akili fala wewe ushabiki umekujaa! Huna kitu kichwanEmbu bishana na MAFALA wenzako let me save my prestige.
Naona naongea na kilaza mpumbavu asiyejua anajifanya anajua.
Ndo maana sitaki kupoteza muda na kilaza kama ww (wavaa kobazi amewashindwa)Usimdhalilishe Putin kwa kumuweka na karumanzira kama Netanyahu ambaye wavaa kobazi amewashindwa.