Korea Kaskazini Yatuma Meli ya kontena Elfu 10 za mabomu Nchini Urusi

Korea Kaskazini Yatuma Meli ya kontena Elfu 10 za mabomu Nchini Urusi

Unaonesha una utindii wa ubongo.
Russia hapewi msaada popote hizo silaha ananunua,hata zile drone za shaheed kwa Iran alinunua.
Japo hayo mabomu ya N.Korea sijajua kama kanunua ama kapewa.
Ukraine hapigani peke yake kuna askari wamepenyezwa wa USA,UK na France wakipachikwa jina la Mercenaries kumbe ni askari halisi wa hayo mataifa.
Mbona hilo linajulikana na kuna video zilisambaa Kharkiv zikionesha Russia ikiua askari wa kimarekani!?
Au unaishi dunia gani wewe!?
Mkuu usipoteze muda wako kubishana na huyo kuruti. Hakuna anachoelewa kwenye hizi medani
 
Ukraine hadi sasa hajakomboa hata thumni ya kipande cha ardhi alichobeba Russia.
Unasemaje Russia kafeli!?
Soma hapo chini hii ni kauli ya Putin juzi, hiyo ndio miji usema putin amechukua anawaomba Ukraine kwa huruma waondowe majeshi yao aachiwe yeye.,
d21349e4-6ce3-4af3-873c-8bf5211d3ef9.jpg
 
Netanyahu bado mdogo sana kwa Putin labda ungesema kaka yake aliyekuwepo kwenye operation Entebe
bro nilisema wanapenda vita ukiwazingua haya kanusha sasa neta nyahu hapendi vita ila putin ndio anapenda
 
Soma hapo chini hii ni kauli ya Putin juzi, hiyo ndio miji usema putin amechukua anawaomba Ukraine kwa huruma waondowe majeshi yao aachiwe yeye.,
View attachment 3018197
Acha mbwembwe za twitter we kijana.
Katika kikao cha G7 Italy juzi suala la amani ya Ukraine ilijadiliwa.
Vladimir Putin alitoa majibu kuhusu kilichojadiliwa Italy kuhusu amani ya Ukraine akasema yuko tayari kujadili amani kwa masharti mawili;
1)Ukraine iondoe vikosi vyake katika miji ambayo Russia kainyakua.
2)Ukraine itambue kuwa miji aliyoinyakua Russia ipo ndani ya mipaka ya Russia ikiwemo Crimea.

Inamaana Ukraine hajakomboa mji hata mmoja bali ana vikosi vinavyojaribu kuikomboa hiyo miji.
Na Russia kakomaa hatoiachia hiyo miji ambayo tayari kashainyakua kama vipi vita iendelee.
Unakaa unaokoteza mbwembwe za Mitandaoni!?
 
Acha mbwembwe za twitter we kijana.
Katika kikao cha G7 Italy juzi suala la amani ya Ukraine ilijadiliwa.
Vladimir Putin alitoa majibu kuhusu kilichojadiliwa Italy kuhusu amani ya Ukraine akasema yuko tayari kujadili amani kwa masharti mawili;
1)Ukraine iondoe vikosi vyake katika miji ambayo Russia kainyakua.
2)Ukraine itambue kuwa miji aliyoinyakua Russia ipo ndani ya mipaka ya Russia ikiwemo Crimea.

Inamaana Ukraine hajakomboa mji hata mmoja bali ana vikosi vinavyojaribu kuikomboa hiyo miji.
Na Russia kakomaa hatoiachia hiyo miji ambayo tayari kashainyakua kama vipi vita iendelee.
Unakaa unaokoteza mbwembwe za Mitandaoni!?
watu wako less informed sana halaf wana confidence za ushabiki wa hatari 😁
 
Marekani na West Europe wanatafuta kitu wasichojua madhara yake.
.................... Ambacho wewe unayeuza magimbi hapo Tandale sokoni ndio unayejua na elimu yako ya madrassat ambayo haina hata cheti 🤣🤣🤣🤣😛😛
 
.................... Ambacho wewe unayeuza magimbi hapo Tandale sokoni ndio unayejua na elimu yako ya madrassat ambayo haina hata cheti 🤣🤣🤣🤣😛😛
Lala uwahi kanisani kesho asubuhi ukatoe fungu la 10 paroko akagonge mvinyo na kitimoto na warembo.
 
Kwanini atumie meli kusafirisha hizo ammunition wakati Yeye na urusi wana land border na hata Kuna reli inayounganisha hizo nchi mbili?, Au we uliposoma anatuma container ukajua itakuwa Kwa meli.
Kwa hiyo wewe unaweza kumpangia KIDUKU njia ya kupita? US alishashindwa sasa wewe unayeishi na wachawi huku utaweza kumshawishi KIDUKU?
 
Mkuu usipoteze muda wako kubishana na huyo kuruti. Hakuna anachoelewa kwenye hizi medani
Nakuonea huruma ww na huyu zezeta mwenzako! Ukiachilia kumilik account JFs hamna mnachojua ni ushabiki tu,Na mm sitak kuongea na nyie sana kwasababu hamna akili👎
 
Back
Top Bottom