Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Netanyahu vs Hamas ( Panya Road )putin na neta nyahu sanaa za mapigano ndio kitu wanachopenda hawanaga ugomvi mdogo
Tupo wengi wa kasulu tena kule Shungulibha...lakini haiondoi ukweli huoIla wewe Muha wa kasulu unakijua?
Ni ishara ya woga, urusi amefeli Ukraine sasa hii ni tapatapa tuKwa hali inavyoendelea Ukraine inaenda kufanywa kifusi muda si mrefu. Nadhani NATO wangemshauri Zelensky aachane na hii vita.
View attachment 3017569
neta nyahu vsNetanyahu vs Hamas ( Panya Road )
Kuwa serious kijana....Netanyahu ni kilaza kwa Putin.
hizbollahMh netqnyahu anapigana na mgambo ambaye hana silaha na anazuia hadi waandishi wa habari wasione udhaifu wake mtoe kwenye kundi la wanaume, huyu putin anapigana na nchi 32 za dunia ya kwanza zenye silaha kali zote zinamchangia na miaka inaenda tu huku kamaintain uchumi
kwahiyo anapigana na iran tu, nchi moja tena yenye vikwazo kwa zaidi ya miaka 30 na hadi leo hajafaulu kuokoa mateka wake hadi anakubali majadiliano ya kuwaachiahizbollah
houth
iran (backdoors)
syria
anakanda wote hao awamu kwa awamu tusiwe vipofu wakuu
Unamfananisha sadam na Putin unaakili sawa wewe?Hizo Mbwembwe hata Saddam alikua nazo..kilichotokea akadakwa shimoni
mmi nilichosema ni kwamba neta nyahu hana vita ndogo hata green brigade wakimzingua analeta vifaru , manowari za kivita submarines na wahuni kibao wa special forces yeye haangalii wewe unauwezo namna gan that was my point kwamba putin na neta nyahu ni war mongers iwe wanashinda au wanashindwa ila ni watu wa vitakwahiyo anapigana na iran tu, nchi moja tena yenye vikwazo kwa zaidi ya miaka 30 na hadi leo hajafaulu kuokoa mateka wake hadi anakubali majadiliano ya kuwaachia
Huku putin anapigana na nchi 32 za dunia ya kwanza na hadi sasa kazishinda huo ndio uanaume tunaozungumzia
Vita sio kabisa lo
U r rightmmi nilichosema ni kwamba neta nyahu hana vita ndogo hata green brigade wakimzingua analeta vifaru , manowari za kivita submarines na wahuni kibao wa special forces yeye haangalii wewe unauwezo namna gan that was my point kwamba putin na neta nyahu ni war mongers iwe wanashinda au wanashindwa ila ni watu wa vita
Nonsense! Hizo anazotumia ukrain for more than 2 yrs umempa ww?Unapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
Sina muda na viazNonsense! Hizo anazotumia ukrain for more than 2 yrs umempa ww?
PatheticUnapigana na ukraine unaishiwa artelleries ukipigana na USA
KiazPathetic
Kiazi ni wewe tena magimbi hujui chochote unabwata tuSina muda na viaz
KiazKiazi ni wewe tena magimbi hujui chochote unabwata tu
Na mabomu ya huyu mkorea yanavyotifua aiseee lamamayeee😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙆🏿♂️🙆🏿♂️Ukraine kazi anayo.Kwa hali inavyoendelea Ukraine inaenda kufanywa kifusi muda si mrefu. Nadhani NATO wangemshauri Zelensky aachane na hii vita.
View attachment 3017569