Korea Kusini nchi yenye hifadhi kubwa ya silaha duniani wakataa kutoa silaha zaidi kwa Ukraine

Utata huu .....una maana gani hapa ?
 
Una uhakika na hili ? Yaani Poland, Baltic states zote zinaamini zimeingizwa mkenge na US na zinaogopa kuvamiwa na Urusi ?.......you are not serious

Kuundwa na BRICS na ukuaji wa wanachama wake ni tishio kubwa kwa ustawi wa bara la Ulaya na Marekani katika uimarishaji uchumi wake na mahusiano yake ya kimataifa kati yake na mabara mengine.
Maybe ?...
 
Katiba yao hairuhusu wao kupelekea silaha kwenye nchi zenye mgogoro, na ndiyo maana watapeleka artillery shells zaidi ya 500,000 kwa serikali ya Marekani, kisha Marekani atazipeleka Ukraine.
Wazungu hamuwajui.
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] haya ni makopa[emoji175][emoji175]au mahaba??!!!!
 
Katiba yao hairuhusu wao kupelekea silaha kwenye nchi zenye mgogoro, na ndiyo maana watapeleka artillery shells zaidi ya 500,000 kwa serikali ya Marekani, kisha Marekani atazipeleka Ukraine.
Aisee
 
Kuna baadhi ya Vijana ni wa hovyo aisee...!! Mungu lisaidie Taifa letu...hapo utakuta na akili hz uko ofisini fulani kama mtoa maamuzi na kuna watu wanakuita Boss!

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Vijana wa hovyo zaidi katika taifa hili liliponga uvamizi wa Iddi Amini ni wanaoshangilia uvamizi wa nchi moja kwa nchi nyingine.
 
Kuna kitu flani nashindwa kuelewa, naomba nieleweshwe.
BRICS ni neno linalotokana na nchi tano wanachama, sasa hizi nchi zingine zinazoomba uanachama wakikubaliwa neno BRICS inavunjika na kuundwa neno lingine lenye maana na kuakisi jumuiya isiyotaja hizo nchi tano pekee?
 
Wanaweza kufanya hivyo au wakaweka BRICS & Alliances au wakabaki na neno hilo kama symbol tu ila yenye wanachama wengi zaidi au wakaja na jina ambalo litakuwa la kudumu hata mwanachama akiongezeka!Hilo tunabaki tunabashiri!
 
Wanaweza kufanya hivyo au wakaweka BRICS & Alliances au wakabaki na neno hilo kama symbol tu ila yenye wanachama wengi zaidi au wakaja na jina ambalo litakuwa la kudumu hata mwanachama akiongezeka!Hilo tunabaki tunabashiri!
Na iwapo nchi za Ulaya pamoja na USA wakiomba kujiunga na BRICS wanaweza kukataliwa? Au kuna sehemu wamesema exactly nchi ambazo wanaruhusiwa kujiunga kwenye BRICS? Naomba kujua pia.
 
Na iwapo nchi za Ulaya pamoja na USA wakiomba kujiunga na BRICS wanaweza kukataliwa? Au kuna sehemu wamesema exactly nchi ambazo wanaruhusiwa kujiunga kwenye BRICS? Naomba kujua pia.
Mkuu kwenye hilo,hizo nchi zimeanzisha umoja huo kupunguza Dominance ya US hasa baada ya US kutumia dola kama silaha kuziadhibu nchi zilizo kinyume naye!Ukiangalia hata waanzilishi hao,unaona wazi kabisa hawana ndoa na US!
So kusema US au UK kujiunga BRICS ni suala lisilowezekana!Sijui kuhusu nchi nyingine za Ulaya!
 
Kwani mkuu, unafikiri US au UK wakituma maombi kujiunga na BRICS wanaweza kukataliwa kwasababu tu uanzilishi wa BRICS ilikuwa ni kuiondoa monopoly ya dola sokoni.
Ila sijui, kwani kukimbia tatizo ndo njia ya kutatua tatizo? Matumizi ya Dola nadhani ikikimbiwa na wengi na kuanzishwa kwa kitu kingine then tatizo lingine linaenda kuzaliwa tena...tena yawezekana ikawa kubwa zaidi kuliko kulikokimbiwa huku.
 
Kikubwa hapo kinachojaribu kutengenezwa ni balance of power!
Yaani unachosema ni sawa na Russia atume maombi kujiunga NATO!Huo utakuwa utani maana NATO iko zaidi kujikabili dhidi ya Russia!
 
Umeandika vizuri lakini kuna Makosa muhimu (technical errors) kwenye bandiko lako. Habari yako inatakiwa asome mtu ambaye ni mjuvi wa mambo otherwise can swallow wrong information. Kijana wa leo atajua Russia na Korea Kusini ni marafiki , Korea Kusini ni Member wa NATO.
ALL IN ALL umeandika kitu muhimu sana hasa kwa zama hizi ambazo nchi za Ulaya zikipitia magumu kwa mgongo wa msaada kumbe ni misheni ya USA kupanua soko la siraha zinazotoka kwenye viwanda vyake.
 
Russia hana lolote huyo ni joka la kibisa tu, leo hii akipewa hata Poland tu anammaliza kama Ukraine tu mwaka wa pili amemshinda na hajui vita vitaisha lini yaani yuko gizani kabisa.
Hongera kwa kuchangia
 
Jipe moyo...anakuita.
Walimwambia kipofu Bathelomayo.
Maneno ya kwenye khanga kama haya huwa Urusi anayafumu kwa artillery vidogo dogo na akitokea muingreza au USA Mrusi hutumia Kynzal hypersonic missile na zile Strategic bombers like TUPOLEV 160 hazijaguswa bado huyo ndiye Mrusi taarabu peleka US
 
Utata huu .....una maana gani hapa ?
Mkuu, samahani ni typing error hii.

Russia ni rafiki wa chanda na pete wa Korea Kaskazini.

Hawa wakorea watuchanganya sana na mambo yao.
 
Una uhakika na hili ? Yaani Poland, Baltic states zote zinaamini zimeingizwa mkenge na US na zinaogopa kuvamiwa na Urusi ?.......you are not serious


Maybe ?...
Mkuu Russia ikishinda hii vita, usalama wa NATO countries utakuwa mashakani.
 
Ahsante mkuu, "please accept my sincere apologies" hiyo ni typing error najitahidi kuwa na editor nzuri. Kwa urafiki ni Russia na Korea Kaskazini;.

Kuhusu Korea Kusini kuwa member ni kwamba hawa ni (Invited members).

Wanachama wa kukaribishwa wa NATO katika vikao vyao muhimu ni pamoja na Korea Kusini, Japan, Israel na nchi zingine zonijificha.

Hawa ndo wanoongoza kwa kusaidia NATO kuweka vikwazo vya kiuchumi kwa Russia na kusaidia mambo mengine muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…