Korea yanunua ardhi "kwa mkopo" Tanzania, Serikali yasita kuthibitisha

Korea yanunua ardhi "kwa mkopo" Tanzania, Serikali yasita kuthibitisha

Tatizo letu wengi hatujui maana ya neno ukoloni hivi jamamani tunaweza pata mtu akazungumzia defination ya ukoloni in very simple language labda watu wataelewa.

Watu wanadhania ukoloni ni bendera ya mkoloni ipepee kila mahali, wengine wanadhania ni magwanda na makofia ya PC na DC na au office attendant kuitwa messenger, wengine wanadhania ni kodi ya kichwa na baiskeli, lakini majority hawajui hii concept ya ukoloni.

Naomba mdau mmoja atueleze maana ya ukoloni

Naweza kusema UKOLONI ni hali ya mtu au kikundi cha watu wanaowakilisha matakwa ya taifa fulani lenye nguvu (kiuchumi, kijamii, kisiasa ma kiutamaduni) kulaghai wakuu wa taifa lingine (lenye raslimali zenye maslahi kwa taifa lao) au kutumia nguvu kuzimiliki au kuendelea kuzimiliki kwa manufaa yao.

Mfano, mikataba iliyofanywa na akina Karl Peters zamani kati yao na watemi wetu, inafanywa leo pia kati ya mabalozi/mawaziri au wakuu wa nchi zenye nguvu na viongozi wetu kwa lengo lilelile ila katika mazingira mapya.

Ndiyo maana unaona wananchi wanahamishwa kwa nguvu ili kumpisha mwekezaji fulani amiliki ile ardhi bila ya wao kushirikishwa. Kama wakati wa Nyerere tulishindwa kilimo cha Wachina, leo tutaweza kilimo cha Wakorea Kusini, Wahindi, Waindonesia nk? Matokeo yake Watz walio wengi watakosa ardhi hapo baadaye na watakuwa na maisha duni zaidi ya wananchi wa Zimbabwe.

Halafu kwa hapo baadaye atakuja mtawala atakayesema ana uchungu na watu wake ataanzisha sera za kuwanyang'anya wageni hayo mashamba ili wapewe wananchi na hali hiyo italeta mtafaruku mkubwa nchini kwani hao wawekezaji watakuwa wameishajiimarisha sana na pia watakuwa wameshatenga maeneo ambako watu wa kawaida watakuwa hawaruhusiwi kwenda kwa kisingizio cha kuzuia kuiba mali zao! Hii ndiyo 'prophesy' yangu kutokana na hali ninaoona inaendelea hapa nchini.
 
Inatisha zaidi unaposikia watawala wakisema kuwa hakuna njia mbadala ya kupata maendeleo isipokuwa kuuza nchi kwa hao wageni!
 
hii nchi mahali walipoifikisha hawa watawala wetu, inaashiria au inatutaka wote tuwe wezi kila mtu kwa nafasi yake
 
Nina shaka na hiyo shule unayodai ulipelekwa na wazazi wako! Kuna mahakama gani ya rushwa ya kimataifa? Nitajie moja tu ambayo ipo kwa ajili ya kusikiliza kesi za rushwa. Msipende kudai usomi halafu maandishi yenu yakawashushua!

Amandla.....

Ama kweli hujui yaendayo duniani, ni juzi wa Kenya maarufu wamehukumiwa ''kunyimwa kuingia U.S.A'' na moja ya Mahakama za rushwa duniani.

Au unafikiri mahakama mpaka itowe adhabu ya kifo au kifungo?



Usije ukashushuka wewe tu, soma hapa:

http://www.unodc.org/unodc/en/corruption/index.html

http://www.againstcorruption.org/

http://geographicalmedia.com/anti-corruption-court/activity

http://www.america.gov/stamping_out_corruption.html?gclid=CMu_6rT2kZ0CFYIA4wodgUhp0w
 
Well, nnachojifunza hapo ni kwamba uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana ukilinganishwa na wa Nyerere. Au ni hii pia unakataa?

Mimi naona wewe ndie usie na fikira kabisa? Angekuwa na fikira angetufikisha Mwinyi alipotukuta? au hukuwepo huko?
 
Ama kweli hujui yaendayo duniani, ni juzi wa Kenya maarufu wamehukumiwa ''kunyimwa kuingia U.S.A'' na moja ya Mahakama za rushwa duniani.

Au unafikiri mahakama mpaka itowe adhabu ya kifo au kifungo?



Usije ukashushuka wewe tu, soma hapa:

http://www.unodc.org/unodc/en/corruption/index.html

http://www.againstcorruption.org/

http://geographicalmedia.com/anti-corruption-court/activity

http://www.america.gov/stamping_out_corruption.html?gclid=CMu_6rT2kZ0CFYIA4wodgUhp0w

mfano: unhcr ni organisation na the hague kuna mahakama, na hata arusha kuna mahakama za kushughulikia wakimbizi

hizo link zote hapo juu hamna mahakama ya kimataifa ya kushughulikia rushwa bali kuna org ya ant corruption

kuhusiana na kina uhuru kenyatta: hiyo mahakama ya kimatafia iliyo wahukumu kwa nini imewakataza kuingia marekani peke yake na sio nchi zote duniani. ni mahakama gani hiyo???

dokezo la travel ban ya kina uhuru
The Kenyan government has expressed concern over a US threat to impose travel bans on 15 Kenyan officials who do not promote political reforms.
Key reforms demanded by the US include: “Decisive, bold anti-corruption steps, reforms to ensure the rule of law, police reform, judicial reform, reforms of the Attorney General’s office, meaningful constitutional revision, accountability for perpetrators of post-election violence, land reform including adoption of a national policy and implementation of it and establishment of a permanent independent electoral commission.’’


dsm jumapili njema
 
The reddish part is the insult of highest order. Nways, pamoja na matusi haya maafisa wa serikali ya Tanzania tena kwa wahka na pupa kabisa wataenda kusaini hiyo mi-memorandum yao. Hii nchi kweli haina mwenyewe..lol

Tehe tehe kumba wakoloni hawajatufundisha kusindika matunda!! Hawajatufundisha mengi sana nadhani.
 
Ama kweli hujui yaendayo duniani, ni juzi wa Kenya maarufu wamehukumiwa ''kunyimwa kuingia U.S.A'' na moja ya Mahakama za rushwa duniani.

Au unafikiri mahakama mpaka itowe adhabu ya kifo au kifungo?



Usije ukashushuka wewe tu, soma hapa:

http://www.unodc.org/unodc/en/corruption/index.html

http://www.againstcorruption.org/

http://geographicalmedia.com/anti-corruption-court/activity

http://www.america.gov/stamping_out_corruption.html?gclid=CMu_6rT2kZ0CFYIA4wodgUhp0w

1.
UNODC is a global leader in the fight against illicit drugs and international crime. Established in 1997 through a merger between the United Nations Drug Control Programme and the Centre for International Crime Prevention, UNODC operates in all regions of the world through an extensive network of field offices. UNODC relies on voluntary contributions, mainly from Governments, for 90 per cent of its budget.

Hii ni ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya rushwa na madawa ya kulevywa. Inafanya hivi kwa kushirikiana na nchi wanachama. Haikamati mtu wala kuhukumu mtu. Kazi yake ni kutoa taarifa na ushauri tu.

2.
UNICORN works with trade unions around the world to combat bribery and corruption

Hii ni taasisi inayoshirikiana na vyama vya wafanyakazi duniani kupambana na rushwa na ufisadi. Na chenyewe kazi yake ni kutoa ushauri na taarifa.

3.
News Quote: "The recent imprisonment of individuals convicted of stealing Global Fund cash has compelled other suspects to return the cash they allegedly stole even before they are arraigned in the Anti-Corruption Court, Parliament heard yesterday." - Uganda

Hii ni Mahakama ya Rushwa Uganda. Mtu aliyefanya kosa Tanzania hawezi kwenda kushitakiwa huko.

4. Website ya serikali ya Marekani ikizungumzia rushwa. Na yenyewe si Mahakama.

Hakuna mahakama Marekani na kwingineko duniani iliyozuia Mkenya kuingia Marekani. Mahakama zote hazitoi viza na hazina mamlaka ya kuzuia au kutoa viza kwa mtu yeyote. Na mbaya zaidi unadai ni Mahakama moja duniani. Unataka kutuambia kuwa kuna mahakama nje ya Marekani ambayo inauwezo wa kumnyima mtu viza kuingia Marekani? Hayo magazeti unasoma au unasomewa?

Kwa kubandika uliyobandika ni dhahiri kuwa hata kiingereza kinakupiga chenga. Zote hapo juu hakuna hata moja inazungumzia Mahakama ya Kimataifa inayoshughulikia Rushwa. Ndiyo maana nilikuasa kuwa bora unyamaze. Elimu dunia imekupiga chenga.

Amandla......
 
1.

Hii ni ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya rushwa na madawa ya kulevywa. Inafanya hivi kwa kushirikiana na nchi wanachama. Haikamati mtu wala kuhukumu mtu. Kazi yake ni kutoa taarifa na ushauri tu.

2.

Hii ni taasisi inayoshirikiana na vyama vya wafanyakazi duniani kupambana na rushwa na ufisadi. Na chenyewe kazi yake ni kutoa ushauri na taarifa.

3.

Hii ni Mahakama ya Rushwa Uganda. Mtu aliyefanya kosa Tanzania hawezi kwenda kushitakiwa huko.

4. Website ya serikali ya Marekani ikizungumzia rushwa. Na yenyewe si Mahakama.

Hakuna mahakama Marekani na kwingineko duniani iliyozuia Mkenya kuingia Marekani. Mahakama zote hazitoi viza na hazina mamlaka ya kuzuia au kutoa viza kwa mtu yeyote. Na mbaya zaidi unadai ni Mahakama moja duniani. Unataka kutuambia kuwa kuna mahakama nje ya Marekani ambayo inauwezo wa kumnyima mtu viza kuingia Marekani? Hayo magazeti unasoma au unasomewa?

Kwa kubandika uliyobandika ni dhahiri kuwa hata kiingereza kinakupiga chenga. Zote hapo juu hakuna hata moja inazungumzia Mahakama ya Kimataifa inayoshughulikia Rushwa. Ndiyo maana nilikuasa kuwa bora unyamaze. Elimu dunia imekupiga chenga.

Amandla......

Jee wewe ushawahi kuzilalamikia hizo taasisi?

Jee, kuzuia mKenya fulani asiingie Merekani, hiyo si hukumu? au unafikiri hukumu ni mpaka usimamishwe kizimbani?

Napenda ufahamu kuwa kwa jinai ya rushwa kwa kiongozi yeyote yule na wa nchi nchi yoyote ile hata the Hague unaweza kumshitaki.

Nakusikitikia sana kuwa ufahamu wako ni mdogo sana na hata maana ya tribunal huielewi. Na maana ya hukumu huielewi. Maana ya Mahakama vile vile inakupiga chenga.

Kiingereza ndio lugha yangu ya kwanza, nazungumza, naandika nasoma na nnaota kiingereza. ni wewe, unaeshangaza ni wewe, ambae huelewi kuwa Taasisi hizo nilizozitaja hapo juu, na wewe kuzinukuu, zinaweza kutoa hukumu kwa wahalifu wa rushwa, tatizo ni jee, nchi husika itafuata amri ya hizo taasisi?
 
Last edited by a moderator:
Jee wewe ushawahi kuzilalamikia hizo taasisi?

Jee, kuzuia mKenya fulani asiingie Merekani, hiyo si hukumu? au unafikiri hukumu ni mpaka usimamishwe kizimbani?

Nikazilalamikie kwa sababu gani wakati najua mipaka ya nguvu zao?

Hajazuiwa mtu. Na kumzuia mtu kuingia Marekani sio hukumu. Unaweza kuzuiwa kwa sababu nyingi tu sio zote zinausiana na uhalifu. Serikali ya Marekani imeandika barua ya tahadhari kuwa wahusika wanaweza kuzuiwa kuingia Marekani.

Huko nje ulikopelekwa kusoma ni wapi huko? Tuambie ili tusipeleke wanetu na wajuu zetu.

Amandla.......
 
Napenda ufahamu kuwa kwa jinai ya rushwa kwa kiongozi yeyote yule na wa nchi nchi yoyote ile hata the Hague unaweza kumshitaki.

Nitajie mmoja ambae amewahi kushitakiwa huko the Hague kwa kosa la rushwa! Unazidi kujichimbia!

Amandla........
 
Nitajie mmoja ambae amewahi kushitakiwa huko the Hague kwa kosa la rushwa! Unazidi kujichimbia!

Amandla........

Kwa unae mjuwa wewe, Mkapa, wapemba washa peleka madai, moja wapo ni la rushwa.
 
Kwa unae mjuwa wewe, Mkapa, wapemba washa peleka madai, moja wapo ni la rushwa.

The International Court of Justice (French: Cour internationale de justice; commonly referred to as the World Court or ICJ) is the primary judicial organ of the United Nations. It is based in the Peace Palace in The Hague, Netherlands. Its main functions are to settle legal disputes submitted to it by states and to give advisory opinions on legal questions submitted to it by duly authorized international organs, agencies, and the UN General Assembly.

The International Criminal Court (ICC or ICCt)[1] is a permanent tribunal to prosecute individuals for genocide, crimes against humanity, war crimes, and the crime of aggression (although it cannot currently exercise jurisdiction over the crime of aggression).[2][3]
The court came into being on 1 July 2002 — the date its founding treaty, the Rome Statute of the International Criminal Court, entered into force[4] — and it can only prosecute crimes committed on or after that date.[5] The official seat of the court is in The Hague, Netherlands, but its proceedings may take place anywhere.[6]

Mashtaka hayo wamempelekea nani huko the Hague? Ya kwanza yanapokea mashtaka kutoka kwa nchi huru. Ya pili haijishughulishi na rushwa. Au wanadhani yaliyotokea Pemba ni Genocide? Wataliwa sana na wajanja mwaka huu. Na washauri wenyewe ndiyo nyinyi! Iko kazi.

Amandla.......
 
Mambo kama haya hayakubaliki kabisa. Viongozi hawa hawana Imnani na nchi. Sasa mujue kuwa sisi wazanzibari tunauchungu sana na nchi kwa sababu kama hizi. Wanachukua ardhi (utajiri wa wanachi na rasilimali yao) na kuwauzia taifa la nje kwa kisingizio cha kuleta maendeleo. Kwa ufupi, wakiuza,pesa wanatia mifukoni. Woote hawa ni wezi wa uchumi wa nchi na kizazi kijacho. Jamani amkeni ndugu zetu wabara. Musikubali nchi yenu kuibiwa. Muatajikuta kama sisi wazanzibari.
 
Mashtaka hayo wamempelekea nani huko the Hague? Ya kwanza yanapokea mashtaka kutoka kwa nchi huru. Ya pili haijishughulishi na rushwa. Au wanadhani yaliyotokea Pemba ni Genocide? Wataliwa sana na wajanja mwaka huu. Na washauri wenyewe ndiyo nyinyi! Iko kazi.

Amandla.......

Mkuu Fundi Engineer, habari za masiku tele? Huyu jamaa uelewa wake wa mambo ni finyu sana. Aliniacha hoi pale alipotaka kuonyesha eti utendaji wa Kikwete ni bora kuliko wa Mwalimu. Huyu inelekea ni RA siku zote atapigia debe mafisadi na maswahiba wao wanaowakingia kifua ili kuendelea kuiangamiza Tanzania.
 
Mkuu Fundi Engineer, habari za masiku tele? Huyu jamaa uelewa wake wa mambo ni finyu sana. Aliniacha hoi pale alipotaka kuonyesha eti utendaji wa Kikwete ni bora kuliko wa Mwalimu. Huyu inelekea ni RA siku zote atapigia debe mafisadi na maswahiba wao wanaowakingia kifua ili kuendelea kuiangamiza Tanzania.

Weka vitu wazi Mwalim kafanya hiki na hiki na hiki, tukuoneshe na JMK kafanya hiki na hiki na hiki.

Ni open Challenge. Hutokuwa cha kuonesha.

Wewe mwenye uelewa mpana hii ni open challenge kwako. Leta vitu
 
hii debate inapoteza mwelekeo, kama kawaida kukiwa na mambo muhimu ya kujadili drifters hawakosekani.

issue hapa ni serikali imewauzia Korea ardhi au la? haya mengine ya nyumba za mabati na makuti ni irrelevant, na ndiyo maana hatupati solution.
 
Weka vitu wazi Mwalim kafanya hiki na hiki na hiki, tukuoneshe na JMK kafanya hiki na hiki na hiki.

Ni open Challenge. Hutokuwa cha kuonesha.

Wewe mwenye uelewa mpana hii ni open challenge kwako. Leta vitu

Kwa taarifa yako Kikwete hajafanya lolote na ndiyo maana unayasikia malalamiko toka kona mbali mbali hata viongozi wa kidini kwamba nchi inaeleka pabaya. Kwa hiyo hakuna chochote unachoweza kuandika hapa kilichofanywa na Kikwete hata yale aliyoahidi kwenye kampeni zake ameyashindwa kuyatimiza.
 
hii debate inapoteza mwelekeo, kama kawaida kukiwa na mambo muhimu ya kujadili drifters hawakosekani.

issue hapa ni serikali imewauzia Korea ardhi au la? haya mengine ya nyumba za mabati na makuti ni irrelevant, na ndiyo maana hatupati solution.

Very Good.

La, Haijawauzia na anaesema Serikali imeuza Ardhi atuwekee ushahidi hapa na asituletee pumba za chuki, hio ndio zinafanya tuhame kwenye mada.

Nijuavyo, hawa wa Korea wanataka kuwekeza kwenye Ardhi ya kilimo kama ilivyo kwa wengine wengi wa kutoka Kenya, SA, EU, US na ME. Mbona wapo hapa Tanzania na wanalima na si issue.
 
yaani sio kidogo na mh.wala hana habari yeye trip tu-please delegate.
 
Back
Top Bottom