Korogwe: Bodaboda wadaiwa kuchoma basi la Saibaba baada ya mwenzao kugongwa

Korogwe: Bodaboda wadaiwa kuchoma basi la Saibaba baada ya mwenzao kugongwa

Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa kundi la waendesha bodaboda, leo Februari 27, 2024 wamelichoma moto na kuliteketeza basi linalodaiwa kuwa ni mali ya Kampuni ya Saibaba, lililokuwa linatoka jijini Dar es Salaam kuelekea Arusha, baada ya kudaiwa kumgonga bodaboda mmoja na kusababisha kifo chake.

Habari zilizotufikia hivi punde, zimeeleza kuwa tukio hilo limetokea katika eneo la Kona ya Semkiwa, Korogwe mkoani Tanga na kusababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya pande mbili za barabara hiyo, jambo lililosababisha foleni iliyodumu kwa takribani saa mbili.

Kwa mujibu wa mashuhuda, baada ya ajali iliyosababisha kifo cha mwendesha bodaboda, wenzake walijikusanya na kulizingira basi hilo, wakawaamuru abiria wote kushuka na kushusha mizigo yao kabla ya kuliteketeza kwa moto.
Asila zimepanda
 
Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa kundi la waendesha bodaboda, leo Februari 27, 2024 wamelichoma moto na kuliteketeza basi linalodaiwa kuwa ni mali ya Kampuni ya Saibaba, lililokuwa linatoka jijini Dar es Salaam kuelekea Arusha, baada ya kudaiwa kumgonga bodaboda mmoja na kusababisha kifo chake.

Habari zilizotufikia hivi punde, zimeeleza kuwa tukio hilo limetokea katika eneo la Kona ya Semkiwa, Korogwe mkoani Tanga na kusababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya pande mbili za barabara hiyo, jambo lililosababisha foleni iliyodumu kwa takribani saa mbili.

Kwa mujibu wa mashuhuda, baada ya ajali iliyosababisha kifo cha mwendesha bodaboda, wenzake walijikusanya na kulizingira basi hilo, wakawaamuru abiria wote kushuka na kushusha mizigo yao kabla ya kuliteketeza kwa moto.
Amin amin nawaambia, boda boda ni janga la kutaifa!!
 

Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa kundi la waendesha bodaboda, leo Februari 27, 2024 wamelichoma moto na kuliteketeza basi linalodaiwa kuwa ni mali ya Kampuni ya Saibaba, lililokuwa linatoka jijini Dar es Salaam kuelekea Arusha, baada ya kudaiwa kumgonga bodaboda mmoja na kusababisha kifo chake.

Habari zilizotufikia hivi punde, zimeeleza kuwa tukio hilo limetokea katika eneo la Kona ya Semkiwa, Korogwe mkoani Tanga na kusababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya pande mbili za barabara hiyo, jambo lililosababisha foleni iliyodumu kwa takribani saa mbili.

Kwa mujibu wa mashuhuda, baada ya ajali iliyosababisha kifo cha mwendesha bodaboda, wenzake walijikusanya na kulizingira basi hilo, wakawaamuru abiria wote kushuka na kushusha mizigo yao kabla ya kuliteketeza kwa moto.
Wake up call kwa vyombo vya ulinzi na usalama kuangalia ulinzi wa nchi badala ya kuwalinda viongozi pekee.

Wake up call kwa nchi kwamba matukio haya yanaonesha ujasiri usio wa kawaida kwa raia waliojichokea na maisha na wanaweza kuamua lolote wasijali matokeo.

Tuendelee kula nyama mtori upo chini.
 
Safi sana maafisa usafirishaji wa Korogwe jana dereva wa frester alikuwa anatuletea bodi tuingie mtaroni na bajaji makusudi kabisa.

Dereva wetu akasema hawa jamaa tumewapania sana tunasubiri tuwajae tutavunja vioo kila siku maana ni mabasi ya mawaziri wavaa skafu za bendera hakuna kitu unaweza kumfanya kwa sheria za nchi ila kwa sheria za mtaa anakalishwa tu.
 
Madereva wa mabasi waache uhuni, madereva bodaboda ni watu, lazima dereva ujali thamani ya uhai wa watumiaji wengine wa barabara.

Next time wamkamate dereva, hilo basi litalipwa tu na bima.
You must be out of your senses. Boda boda are very rough in driving, wanasaabisha ajali sana! He is very likely to be the cause of his death!
 
Nawakubali sana wanangu wa boda wana umoja na uthubutu kuliko wasomi wetu siku wa kiamka hawa ndio tutapata mapinduzi ya kweli.

Kuna siku mwanajeshi aligonga mwanafunzi halafu hakisimama wakamfukizia mpaka akasimamisha gari wakaenda nae kituo cha police wana mapungufu yao ila ni watu ambao poa sana wana umoja sana.
 
Back
Top Bottom