Korogwe: Bodaboda wadaiwa kuchoma basi la Saibaba baada ya mwenzao kugongwa

Korogwe: Bodaboda wadaiwa kuchoma basi la Saibaba baada ya mwenzao kugongwa

Ilitwahi tokea Uganda,jamaa na gari yake akaagongwa na bodaboda taa ikapasuka nyuma.kijana boda akasimama anaomba sana msamaha wamalizane ajue gharama za kufidia..jamaa mwenye gari akamdharau boda na majibu mabivu kibao akaanza kumpiga.akamsukuma huko Kisha akaingia kwenye gari akawasha na kwenda kumkanyaga kwenye miguu kijana wa boda.kisha akamwacha kijana anagaragara Kwa maumivu akasepa.kumbe Kuna boda wengine walivyoshuhudia lile tukio wakawa wanapeana ishara wanamkimbiza.kufika mbele kundi jingine likaunga tela wakawa wengi wanamkimbiza walivyomkamata walitafuta Kila walichoona.nondo,mawe,vyuma wanachakaza gari wakati jamaa yupo ndani.walivomtoa nae wakamuua hapohapo wakaenda zao.

Cheza na wote sio boda.wana umoja na vichwa vibovu
 
Ilitwahi tokea Uganda,jamaa na gari yake akaagongwa na bodaboda taa ikapasuka nyuma.kijana boda akasimama anaomba sana msamaha wamalizane ajue gharama za kufidia..jamaa mwenye gari akamdharau boda na majibu mabivu kibao akaanza kumpiga.akamsukuma huko Kisha akaingia kwenye gari akawasha na kwenda kumkanyaga kwenye miguu kijana wa boda.kisha akamwacha kijana anagaragara Kwa maumivu akasepa.kumbe Kuna boda wengine walivyoshuhudia lile tukio wakawa wanapeana ishara wanamkimbiza.kufika mbele kundi jingine likaunga tela wakawa wengi wanamkimbiza walivyomkamata walitafuta Kila walichoona.nondo,mawe,vyuma wanachakaza gari wakati jamaa yupo ndani.walivomtoa nae wakamuua hapohapo wakaenda zao.

Cheza na wote sio boda.wana umoja na vichwa vibovu
Asante wachatuendelelee kula kabangi
 
Ni wakati sasa madereva wa mabasi wapewe bunduki ili kujihami dhidi ya magenge ya wahuni kama hayo. Dereva alikosea sana kusimamisha basi wakati amegonga ilitakiwa akimbize basi kulipeleka sehemu yenye usalama zaidi ili kuepuka hasira na taharuki za wananchi.
 
Tuheshimu sheria za barabarani, pia madereva tue na Ni dhamu, Dereva Bus, Gari ndogo na Boda Boda. Wote mnatumia Vyombo vya Moto, Tuwapo barabarani Tuheshimu Sheria na tusiwe na haraka zisizo za Lazima.
 
Amna watu washenzi kama boda boda ..leo tu mmoja kagonga site mirror yangu kwa kujichomeka kati kati wakati gari zime simama kwenye mataa.nikiona boda boda kafa kwa ajali amini ni sawa na suicide usione huruma
 
Amna watu washenzi kama boda boda ..leo tu mbwa mmoja kagonga site mirror yangu kwa kujichomeka kati kati wakati gari zime simama kwenye mataa.nikiona boda boda kafa kwa ajali amini ni sawa na suicide usione huruma
[/QUOTE
Usiseme hivyo Broo, Gari, au pikpk Ni material tu, Wanadamu tupendane, pia tue na Nidhamu barabarani haijalishi unatumia Chombo gani Cha Moto.
 
Basi la Kampuni ya Sai Baba linalofanya Safari kutoka Dar es Salaam kuelekea Mkoani Arusha limeteketezwa kwa Moto mara baada ya kusababisha Ajali kwa kumgonga Dereva wa Bodaboda na kudaiwa kusababisha kifo kwa dereva huyo wa Bodaboda katika eneo la Msambiazi wilayani Korogwe mkoani Tanga leo Februari 27, 2024.

Waendesha Pikipiki (Bodaboda) katika eneo hilo wamejichukulia sheria mkononi mara baada ya kushuhudia ajali hiyo ikitokea kwa kulichoma basi hilo moto kwa kutumia mafuta ya Petroli.





View attachment 2918376View attachment 2918378View attachment 2918377
Wanajua bei ya Scania hao nguruwe kwa Kisambaa?
Kwanini mafukara mna chuki sana na matajiri?
 
Nawalaani kwa nguvu zote waliohalalisha pikipiki kubeba abiria, nawalaani askari wa usalama barabarani kwa kutofuatilia na kuangalia mwenendo wa bodaboda hapa nchni, nawalaani wanasiasa wote hasa wa ccm kuwatumia bodaboda kisiasa. Majanga wanaosababisha bodaboda na hayaripotiwi Au kuupuuziwa na mamlaka ni makubwa mno
Nakulaani wewe kuwa na akili mbovu.
 
Bodaboda wamefanya makosa sana kujichukulia sheria mkononi.
Ila nako madereva wa magari hasa mabasi hawapendi kuwaheshimu wenye vyombo vya moto vingine(magari madogo).
Naimani tunasheria nzuri ila hazifuatwi na kutekeleza kwani tungeondoa madereva wote wazembe barabarani.
 
Nawalaani kwa nguvu zote waliohalalisha pikipiki kubeba abiria, nawalaani askari wa usalama barabarani kwa kutofuatilia na kuangalia mwenendo wa bodaboda hapa nchni, nawalaani wanasiasa wote hasa wa ccm kuwatumia bodaboda kisiasa. Majanga wanaosababisha bodaboda na hayaripotiwi Au kuupuuziwa na mamlaka ni makubwa mno
Inasikitisha sana
 
oya ilishatokea kigamboni jamaa aligongwa na bonda taa za nyuma zikapasuka alikua na crown boda akataka kusepa jamaa akampelekea ngoma basi boda wakaanza kumkimbiza alikua anawafuta anakimbiza anawasubiri wakitaka kumpita anawapeleka mtaroni tukio lilikua usiku road ya kutoka mikadi mpka mji mwema kile kipande watu walilazwa sana mtaroni ....
jamaa wa crown alitoa sadaka maana kagongwa akaona bora apeleke moto nilikua naenda ferry tukio lilikua kama movie ilibidi niingie lembeni ya barabara kupisha maana nilikua naona toka mbali wanavyopigwa pembeni
Mi nayaua tu. Huyu aliyenigonga nilimkimbiza akajificha. Nilitaka nimlambe fimbo kweli.
 
Back
Top Bottom