Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sio likizo tu wahame ila haitowasaidia watakamatwa kama kukuIkithibika kwamba bodaboda ndio waliochoma hilo basi nashauri vijiwe vya boda vilivyopo karibu na eneo la tukio wajipe likizo au watafute pahala pengine pa kufanyia shughuli zao kwa muda.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app