HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Watakamatwa wachache watatajana kisha watapewa kesiPole kwa familia ya mfiwa na mwenye bus ila naiona hali ngumu watakayopitia boda boda baada ya tukio hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakamatwa wachache watatajana kisha watapewa kesiPole kwa familia ya mfiwa na mwenye bus ila naiona hali ngumu watakayopitia boda boda baada ya tukio hilo.
Asilimia 99 ni wapumbavu wasiojitambuaNawakubali sana wanangu wa boda wana umoja na uthubutu kuliko wasomi wetu siku wa kiamka hawa ndio tutapata mapinduzi ya kweli.
Kuna siku mwanajeshi aligonga mwanafunzi halafu hakisimama wakamfukizia mpaka akasimamisha gari wakaenda nae kituo cha police wana mapungufu yao ila ni watu ambao poa sana wana umoja sana.
Hawa dawa yao ukiona anakufata pembeni we mzibie tu njia atadondoka mwenyeweYule aliyosema bodaboda ni LAANA naanza kumuelewa.
Kwa hapa DAR sijaona sehemu yenye shida kuendesha gari kama hii barabara ya kutoka mbagala - chamazi kama wewe ni dereva ebu njoo kwenye hii barabara hakika unaweza kupaki gari pembeni ili bodaboda wapite
Shehe ilikuaje hapo manake ni nyumbani kabsa ndo maana kuna bodaboda wengne maarufu hawapo tenaWaulize kilichowakuta bodaboda wa Mbezi Jogoo.
Kijiwe chote kilipukutika kwa Ahl Lbadri (albadri).
Ilikuwa vivyo hivyo.
Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa kundi la waendesha bodaboda, leo Februari 27, 2024 wamelichoma moto na kuliteketeza basi linalodaiwa kuwa ni mali ya Kampuni ya Saibaba, lililokuwa linatoka jijini Dar es Salaam kuelekea Arusha, baada ya kudaiwa kumgonga bodaboda mmoja na kusababisha kifo chake.
Habari zilizotufikia hivi punde, zimeeleza kuwa tukio hilo limetokea katika eneo la Kona ya Semkiwa, Korogwe mkoani Tanga na kusababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya pande mbili za barabara hiyo, jambo lililosababisha foleni iliyodumu kwa takribani saa mbili.
Kwa mujibu wa mashuhuda, baada ya ajali iliyosababisha kifo cha mwendesha bodaboda, wenzake walijikusanya na kulizingira basi hilo, wakawaamuru abiria wote kushuka na kushusha mizigo yao kabla ya kuliteketeza kwa moto.
Shehe ilikuaje hapo manake ni nyumbani kabsa ndo maana kuna bodaboda wengne maarufu hawapo tena
Shuhuda aliyeshuhudia alisema jamaa wa bus alimgongea boda nyuma kule kwenye corner inayoonekana baada ya ku-overtake akakutana nae akamzoa.Kwa hizi picha zilizoambatanishwa basi lipo kwenye sait yake kabisa hivyo makosa yake hayapo wazi ....japo yaweza kuwa Boda kachomekea basi na dereva wa basi hakupunguza kumsaidia apite???
Hapo hamna case,Hawajui Bima wanalipa ila roho ya aliyekufa hairudi?
Inatakiwa ioneshwe mfano kwa kurekodiwa kisha wapigwe miaka 30 kutokana na arson
Yaani uhai wa boda uliopotea Bure Hauna thamani kama scania?Wanajua bei ya Scania hao nguruwe kwa Kisambaa?
Kwanini mafukara mna chuki sana na matajiri?
Ndugu mropokaji unajua thamani ya uhai wa mtu kulinganisha na hilo lichuma. Naamini huna hata baskeli zaidi ya masufuria ndani kwako ,lasivo ungewajua dereva wa mabasi walivyo mbwa .Huo ni unyasaji wa kijinsia hata km umegongwa Sawa lakini haikufaa kufanya Jambo km hilo wanakuaje km vichaa namna hio unachomaje Gari unajua gharama yake wewe?
Hio clip ionyeshe pia waliofanya tukio hilo alafu Jeshi la Polisi lidili nao hao vichaa waliojificha kwenye kichaka cha ubodaboda
Washadakwa wote waliohusika na wanafikishwa mahakamani nyuma ya nondo panawahusu hasira za kisengerema zinaenda kuwafanya wakale maharage ya Jela, wapo 13 na wote wapo rupanga mda huuNdugu mropokaji unajua thamani ya uhai wa mtu kulinganisha na hilo lichuma. Naamini huna hata baskeli zaidi ya masufuria ndani kwako ,lasivo ungewajua dereva wa mabasi walivyo mbwa .
Wote waliohusika kuchoma hilo bus wameshadakwa, wameshaanza kunyea debeNa hivi hai boda hawana ekimu yoyote juu ya sheria za usalama barabarani ni tatizo kubwa. Je walujua nani mwenye kosa?
Sheria Kali zingetungwa kwa bodaboda maana nao wanagonga wanaua wanasababisha ulemavu wa watuSafi sana. Juzi nikiwa stendi ndani , alikuja dereva n'a basi lake alitaka kuniua. Imagine gari kilo ndani ya stendi Tena ametoka kuosha gari anarudi kupaki stendi lakini jamaa anakimbiza gari utadhani anaenda mkoani. Ilibasi sentimika chache anikanyage bila sababu, bahati nzuri niliruka sana. Raia walimzinguka akidhani labda amepata kichaa. Next time wale na dereva .
Hio njia napita sana bodaboda na Bajaj wa Msambiazi huwa wanaendesha pembeni,nje kabisa kwa pedestrian, hata ukiovateki wanakuwa nje. Ni wazi bus lilitoka nje kwenye kona ndio akamgonga na kuamsha hasira za wenzie.Shuhuda aliyeshuhudia alisema jamaa wa bus alimgongea boda nyuma kule kwenye corner inayoonekana baada ya ku-overtake akakutana nae akamzoa.
Hapo bus alitaka kukimbia tukisema ajali ilitokea hapo kwenye tambalale tutakuwa tunajidanganya kwamba pikipiki Haujue ilitaka kucheza chicken sport na Scania tena Marcopolo kitu ambacho hakiwezekani.
Mkuu em tuambie kiwango chako cha elimu kwanza na tuambie nini unachojua kuhusu traffic accidentsSheria Kali zingetungwa kwa bodaboda maana nao wanagonga wanaua wanasababisha ulemavu wa watu
Sheria Kali zingetungwa kwa wenye kuendesha Bajaj maana nao wanagonga wanaua wanasababisha ulemavu
Sheria Kali zingetungwa kwa madereva wa mabus na madereva wa malori ya mizigo wanaua tena hawa ndio vinara wanajeruhi na kusababisha ulemavu wa kudumu
Sheria hio sio nyingine ikibanika bodaboda, Bajaj au dereva wa Lori la Mizigo au bus la abiria akibainika ameua kwa uzembe Sheria iwe na yeye anyongwe mpaka kufa au afungwe Maisha Jela,
Kwa Sheria hio nadhani hawa madereva wote wataacha kuua abiria na wataheshimiana wao kwa wao maana wanajua nikiua naenda kuishi Maisha yangu yote Jela
Maana hii Sheria ya sasa wanaidharau maana akiua hata watu 100 Sheria inasema apokonywe leseni kisha itafungiwa kwa Muda fulani alafu akishafikishwa mahakamani na ikibainika kweli amesababisha ajali hio na kuua watu aidha atafungwa miezi 6/12 pamoja na faini au ataambiwa alipe faini kisha ataachiwa kwenda kusubiri kifungo cha leseni yàke kiishe kisha ataenda kuchukua leseni na kuendelea kuingia barabarani na kuua tena watu wengine
Sheria hio inabidi ibadirishwe dereva akiua basi moja kwa moja Jela akanyongwe au akafungwe Maisha,
Nimesema madereva wote wanaoua wafungwe Maisha full stop,Mkuu em tuambie kiwango chako cha elimu kwanza na tuambie nini unachojua kuhusu traffic accidents