Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Kuchelewa kurudi home mkuu..nilikuwa nachezea stiki za kutosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hah ulikuwa unakuw wap muda huo unachelew hme?Kuchelewa kurudi home mkuu..nilikuwa nachezea stiki za kutosha
Asee hata mimi ishanitokea,ivo...unakuta sometimes wew ndio umemuudh mama then unakasirika,au kununa wew afu mama badae anaamua kwenda kushtaki kwa baba il mambo yaishe,nyie mama anaupendo mkubwa sana kwa mwanae acha tu.Mama yangu ni mpole sanaaa! Ata kumfanyia kosa utaona aibu. Ila kuna siku aliniudhi nikamnunia... Nikaenda kwenye migomba na kukaa huko mpaka giza likaingia. Baba aliporudi mama akanisemelea eti nimemnunia sababu amenisema (ata sikumbuki alinisema nini)... Baba akaja kunisema zaidi. [emoji1][emoji1] eti kwa nini unamliza mama yako? Akanitaka nikaombe msamaha. Nikaenda kishingo upande na kweli nikamkuta mama macho mekunduu huku anajishughulisha jikoni. Akawa hanitumi kumsaidia chochote... Nikapiga magoti kumuomba msamaha, na kujiliza juu ndo akarudi katika hali ya kawaida.
Saana! Yaani sasa ivi sipendi kumuudhi kabisa! Ukimuudhi tu analia!Asee hata mimi ishanitokea,ivo...unakuta sometimes wew ndio umemuudh mama then unakasirika,au kununa wew afu mama badae anaamua kwenda kushtaki kwa baba il mambo yaishe,nyie mama anaupendo mkubwa sana kwa mwanae acha tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji121] [emoji125]kutandika kitanda, maana nilikua naamka km mbuzi katoka zizini😀😀
Itabidi muanzishe Uzi wenuHahah tupo weng mkuu,dah ilikuw n kwenda t kula kila shereh mtaani hata ka ikiwa mbali na hme.
kabisa mkuu,itabidi tukutane tulokuwa wadau w sekta hyo.......hahahaItabidi muanzishe Uzi wenu
umekumbuka nini sana mkuu?Mmmh umenkumbsh mbal sana
hahah...bhas si kwa kichapo achokupa mama siku izooo ase.Mara kwa mara kabla sijaanza shule, washkaji zangu nyumba za jirani walikuwa wananialika kwa breakfast na lunch, bahati mbaya Mama yangu akatafsiri vibaya kwamba "nakula kwa watu" [emoji3] mpaka leo at 20's ukinialika lunch nafikiria mara 2, sio kwa fimbo zile za miaka ya 90.
hahaha....mama yenu alikuwa kauzu mbayaa ase,ulipona sana bhas vipigo ivoooUle ukauzu wa mabimkubwa wetu ukiu apply kwa kizazi hiki jela inakuita maana kulikuwa na vile visosi vya udongo vigumu hivi kuna siku dogo kamkorofisha bimkubwa basi alikirusha kile kama wale jamaa wa olimpic dogo akainama kikachimba ukuta nacho kikameguka kidogo.
hhaha...pole mkuu,kweli inakuaga ivo ukipoteza mali ya watu mama au baba atalipa vizur tuu ila anaenda kukupa kipigo homee hatar...sema mi nilipona mana nishaga pasua kioo kwa nyumba ya watu nikiwa najarbu kumbonda na jiwe ndege alikuwa kwenye maua,ase nikaenda home kuwaambia,huku nikiwa na wasi2 kweli yani kwamba siku iyo nafwaa kwa chapo...good luck baba na mama nikakuta wamelipa kioo cha watu kiroho safi hata hawakuniadhibu wala kunisema.Mim nilipoteza mbuzi zikala mashamba ya watu mama akalipa weeeeee hahaha ile fimbo maarufu ya kuchungia mbuzi ilinirudia
hahah..pole sana mkuu,Niliiba hela nikaenda movie, tivoli mwanza,nilichezea kichapo cha mbwa
hahaha...nadhani mama alikupa ulichostahili ase......kuna siku nikiwa mbeya tulikwenda na mother kusaka kuni. mimi nilikuwa kiburi sana nadhani. nilikuwa nyuma katika msafara wa kurudi na kuni kichwani. nikadhani wamenionea wamenibebesha kuni nyingi. basi nikaamua kuzitua na kuanza kuwafuata. kilichofuata baada ya kufika maskani nakijua mwenyewe