Kosa gani unalijutia na limeharibu maisha yako?

Kosa gani unalijutia na limeharibu maisha yako?

trojan92

Member
Joined
May 18, 2024
Posts
91
Reaction score
276
Mimi najuta kwanini nilioa mapema. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na nimepoteza mwelekeo kabisa.

Tumepima afya yake wanasema hormones imbalance, ametumia dawa za kila aina, za hospital na kienyeji ila bado.

Kumbukebi mimi Kabla ya kumuoa tayari nilishakuwa na mtoto ambaye kwa sasa ana 10 years. Pia baada ya kuona yeye hapati mtoto kuna mchepuko nilidate nae, nikapata nae mtoto. So ninao watoto wawili wa mama tofauti. Wazuri wanafanana, ila siipendi hii hali ya kuwa na watoto nje ya mke wangu na Bado nataka watoto.

Nifanyaje hapa wadau. Nina mpenda huyu mke, ni wife material ndiye anayelea mtoto wangu wa kwanza. Shida ndio hiyo haoni siku kabisa na hashiki mimba

Najuta, kutoka nashindwa. Nifanyaje?
 
Mimi najuta kwanini nilioa mapema tena huyu mwanamke ni nuksi. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na nimepoteza mwelekeo kabisa.

Tumepima afya yake wanasema hormones imbalance, ametumia dawa za kila aina, za hospital na kienyeji ila bado.



Kumbukebi mimi Kabla ya kumuoa tayari nilishakuwa na mtoto ambaye kwa sasa ana 10 years. Pia baada ya kuona yeye hapati mtoto kuna mchepuko nilidate nae, nikapata nae mtoto. So ninao watoto wawili wa mama tofauti. Wazuri wanafanana, ila siipendi hii hali ya kuwa na watoto nje ya mke wangu na Bado nataka watoto.



Nifanyaje hapa wadau. Nina mpenda huyu mke, ni wife material ndiye anayelea mtoto wangu wa kwanza. Shida ndio hiyo haoni siku kabisa na hashiki mimba







Najuta, kutoka nashindwa. Nifanyaje?
Kutembelea ⅓ haifai ila maisha bado kuharibika.
 
Back
Top Bottom