Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mizimu inasema ivyoUmempatia kweli 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mizimu inasema ivyoUmempatia kweli 😂😂
Kwamba anaotaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huna mtoto wala demu ni stress tuu
mda wote anafungua nyuzi za uongo uongo tuuKwamba anaotaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dogo upo?Nimeisoma sehemu hii.
Chaiiiii
No regrets...Life goes on.
Ukiujua ulanzi bado kuna pingu. Utakapoijua pingu hutohitaji kujifunza zaidi juu ya vileo. Utakuwa umefika end point kama titration, hakuna color utaacha onaUlanzi ni pombe gani tena mkuu😁😁
Sawa master nitajaribu siku moja ,ipo mkoa gani?Ukiujua ulanzi bado kuna pingu. Utakapoijua pingu hutohitaji kujifunza zaidi juu ya vileo. Utakuwa umefika end point kama titration, hakuna color utaacha ona
Hata huko ipo, inauzwa kwa password tu. Jitahidi kufunga suruali miguuni kwa kamba na ukaze kabisaSawa master nitajaribu siku moja ,ipo mkoa gani?
Kama ni hivyo hapana mkuu😁😁😁Hata huko ipo, inauzwa kwa password tu. Jitahidi kufunga suruali miguuni kwa kamba na ukaze kabisa
Ulanzi ni juice mkuuUtakapokuja kujua Kuna ulanzi hakika utajihisi ukichelewa pia
Kwa watoto wa 2000 Ila kwasisi wazee ni kileoUlanzi ni juice mkuu
Kwa watoto wa 2000 Ila kwasisi wazee ni kileo