Miaka ya 2000 ndio umechelewa? DuhππππNilianza na castle milk staut miaka ya 2000 mkuuππ
πKabisa kwani 2000 si juzi tu mkuu?Miaka ya 2000 ndio umechelewa? Duhππππ
Nakusikitikia kwa kuwa una mawazo ya namna hii. Chunga sana kauli unazozitoa maana hicho ndicho ulichokipanda ndani yako.huyu mwanamke ni nuksi.
Mbege ni pombe nzuri Ila shida haikawii kukujaza tumbo na watu waanze kusema Hana hela Ila ana kitambi Cha minyooInafikia mbege mkuu?
Acha kufuru, yamewezekana wewe ndiyo mwenye hiyo nuksi na unampitisha binti wa watu kwenye matatizo.Mimi najuta kwanini nilioa mapema tena huyu mwanamke ni nuksi. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na nimepoteza mwelekeo kabisa.
Tumepima afya yake wanasema hormones imbalance, ametumia dawa za kila aina, za hospital na kienyeji ila bado.
Kumbukebi mimi Kabla ya kumuoa tayari nilishakuwa na mtoto ambaye kwa sasa ana 10 years. Pia baada ya kuona yeye hapati mtoto kuna mchepuko nilidate nae, nikapata nae mtoto. So ninao watoto wawili wa mama tofauti. Wazuri wanafanana, ila siipendi hii hali ya kuwa na watoto nje ya mke wangu na Bado nataka watoto.
Nifanyaje hapa wadau. Nina mpenda huyu mke, ni wife material ndiye anayelea mtoto wangu wa kwanza. Shida ndio hiyo haoni siku kabisa na hashiki mimba
Najuta, kutoka nashindwa. Nifanyaje?
Utakuwa mtu wa makamo around 50's kama 2000's unaona karibu maana hyo miaka wengine tuna vidumu na mfagio tunawahi shuleππKabisa kwani 2000 si juzi tu mkuu?
Siku moja nitajaribu ulanzi kabla sijafa mkuu.Mbege ni pombe nzuri Ila shida haikawii kukujaza tumbo na watu waanze kusema Hana hela Ila ana kitambi Cha minyoo
MtogwaNi pombe fulani Unapatikana pande za kusini ,wao wanasema inagemwa kwenye mianzi ,itoshe kusema ndiyo pombe iliyonitenganisha na bia na kwenda bar hakika naipenda na daima nitaienzi
Haujakosea mkuu .Utakuwa mtu wa makamo around 50's kama 2000's unaona karibu maana hyo miaka wengine tuna vidumu na mfagio tunawahi shuleπ
Ikitokea ukafanya hivyo ,hakika nitafurahi maana ninayo kazi kuhamasisha umma juu ya vilevi vyetu vya asili .Siku moja nitajaribu ulanzi kabla sijafa mkuu.
Pombe zetu za asili ni nzuri sana , pia zinatuunganisha na wahenga wetu kiasi kabisa kwa wale wakushi.Ikitokea ukafanya hivyo ,hakika nitafurahi maana ninayo kazi kuhamasisha umma juu ya vilevi vyetu vya asili .
Jf kuna watuMimi nimechungulia hapa kwenye chungu mizimu inaniambia ivyo